INTERIOR ZOO🛋️

30.8K posts

INTERIOR ZOO🛋️ banner
INTERIOR ZOO🛋️

INTERIOR ZOO🛋️

@InteriorZoo

Transform your space with bold and beautiful designs.. Discover the magic of eclectic interiors.🛋️🛋️🦜✨ #InteriorStyle #DecorTips . DM for Credit/Remove

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mayıs 2012
1.2K Takip Edilen1.7K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
INTERIOR ZOO🛋️
INTERIOR ZOO🛋️@InteriorZoo·
OYA MAPENZI HISIAAAAA🤣📢📢 PROTECTORS zipooooooo📢🏃‍♂️ 📌📌Kuanzia PCS 50 tunakuletea mpaka dukani kwako (DAR)📌📌 📍3D (za kawaida) - 700/= @ 📍Privacy - 1500/= @ 🚚Mikoani tunatuma pia🚚 Tucheck WhatsApp: wa.me/message/RTVQM4… KARIBUNI SANA🙏
INTERIOR ZOO🛋️ tweet mediaINTERIOR ZOO🛋️ tweet mediaINTERIOR ZOO🛋️ tweet media
Filipino
0
2
3
1.4K
INTERIOR ZOO🛋️
INTERIOR ZOO🛋️@InteriorZoo·
Unahoji kama nani mzee? Nani kakupa mamlaka ya kuhoji mambo ya waslamu, kama unata elimu nenda madrasa mzee, humu utapata engagement ila sio elimu ambayo watu wabaisoma miaka uipate kwa tweet yako moja.
CHOLLO@nassor_01

@Muddyaforeal @InteriorZoo Kama ni hivo yeye ndio angekuwa na uwezo mzuri wa kujiandika,vipi kwa Hawa wengine nani aliwasomesha mpka wasisahau hadi kuamua kujiandika! Nani aliwapa mamlaka ya kuiandika

Indonesia
0
0
0
7
CHOLLO
CHOLLO@nassor_01·
Sheikh anasema Quran inaposomwa majini husogea karibu kwa furaha, Pastor anasema Bible inaposomwa majini hukimbia mbali kwa hofu, hii imekaaje watu wa Mungu..?! Nani anaweza kunielewesha kwa undani.😁
Indonesia
38
21
158
13.5K
INTERIOR ZOO🛋️
INTERIOR ZOO🛋️@InteriorZoo·
@kitunani @nassor_01 Hakuna hoja mloiandika mazee, mmejibiwa kwa wema mnaleta ujuaji, sa unaumiaje kuitwa KAFIRI tu, mbona ni jina tu la hadhi yako bro.
Indonesia
1
0
0
13
CHOLLO
CHOLLO@nassor_01·
@kitunani Ndio hivohivo mkuu,labda kama unataka kubishana
2
0
0
19
INTERIOR ZOO🛋️
INTERIOR ZOO🛋️@InteriorZoo·
@nassor_01 @Muddyaforeal Table Teaching.. Malaika alikuwa anashuka kumpatia maaniko alotuma kwa siku hiyo na kumfundisha. Then yeye anawafundisha Maswahaba, mpaka Quran ikatimia na hapo pia aliambiwa kuwa hapa ndio mwisho.
Filipino
1
0
0
16
killo_Killotz
killo_Killotz@killo_killo11·
Sema kuna muda Makonda anakuaga mtu sana.😂🙌
killo_Killotz tweet media
Indonesia
15
19
136
8.7K
INTERIOR ZOO🛋️
INTERIOR ZOO🛋️@InteriorZoo·
Mpaka mtu anawaza kwenda nje tayari ana muamko ndani yake.
George Mwiga@GeorgeMwiga3

@Mudimabiriani Anayewadanganya kwamza ukihama kwenu na kwenda nchi nyingine maisha yanakuwa mazuri mnatakiwa kumkamata na kumkabidhi polisi. Kama huna juhudi za kutafuta, hata uende wapi, maisha yatakuchapa tu.

Indonesia
1
0
0
20
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Ilikuwa game ya kuondoka na points tatu basi tu uzembe wetu
WHYMYCATISSAD tweet media
Indonesia
42
14
500
11.6K
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Oyaaa riverpool karudii 😂😂
Indonesia
9
0
36
1.7K
INTERIOR ZOO🛋️
INTERIOR ZOO🛋️@InteriorZoo·
Means hata Vunja Bei anagemleta Mond au Zuchu jamaa angeendelea na dili, pamoja na ngonjera zote zile.
Rashda Zunde@RashdaZunde

@InnocentJLS Na sasa wanawashirikisha wasanii ambao ni wanachama wa CCM kwenye kazi zao🤣🤣🤣 Kweli maskini hana kiapo

1
0
0
116
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Nitakuwa serious kidogo✍💔,. Kuna siku nilikuja humu X na kupost natafuta kijana wa kufanya nae kazi , well, Dm ikawa busy sana na vijana wengi wakaja so katika ile pool nliselect mmoja, ambaye kwenye kuzungumza nae nlihisi imani kumsaidia, ..ila kwa kuwa hakuwa na Guarantor wala makazi ya kudumu akiwa amepanga na rafiki yake sinza, for security nikamuomba kitambulisho OG (nida) na cheti nikawa nimehold Bhas, kwa kuwa ofisi ilikuwa tayari , nikampa training na kuingia kazini,.. But kila siku vioja, ndani ya week moja ana loss kubwa tu,. nidhamu zero, nikaona sio kesi nimvumilie, hiyo siku kaingiza loss halafu anataka kuacha kazi,.. Sikudai hata mia, nikamwambia aje achukue kitambulisho na cheti, .. Kwa kifupi akaondoka vibaya sana while nlikuwa namtreat kama mdogo wangu wa damu,.. Leo anatuma hii sms, !! hivi ukipata kazi ndio uondoke hovyo mahali ulipo!? .. Vijana wenzangu, fursa ikija hata kama inakupa mia, we kuwa na adabu, maana hicho kidogo kwako ni ndoto ya mwingine na hata wewe hukuwa nacho ndio maana ulitafuta kazi . Sitamtag handle yake ila nadhani iwe somo kwa kuwa mnatufundisha kuwa na roho mbaya na watu tuliowaona ukubwani🚮💔. nb. nimeileta humu coz kijana nlimpata humu.
The champ👑 tweet media
Filipino
65
29
129
10.8K