kiongoz

52 posts

kiongoz

kiongoz

@Issa49808189

Katılım Mayıs 2021
795 Takip Edilen326 Takipçiler
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Wafanyabiashara jijini Accra, Ghana wamefunga maduka ikiwa ni sehemu ya mgomo kupinga hali mbaya ya kiuchumi ambapo Rais Nana Akufo-Addo amesema imetokana na vita vya Ukraine na Urusi na UVIKO19. Thamani ya fedha ya Ghana imeshuka kwa kasi na mfumuko wa bei umefikia 37%. 📸 AFP
Swahili Times tweet media
Indonesia
5
9
49
0
EastAfricaRadio
EastAfricaRadio@earadiofm·
#HABARI Naibu Waziri wa Elimu, Omary Kipanga, amesema kuwa katika sera mpya inayotarajiwa kuzinduliwa hapo baadaye, elimu ya msingi itakomea darasa la 6 na hakutakuwa na mtihani wa mwisho wa elimu ya msingi na kwamba mtihani utakuwa ni kidato cha nne tu. #EastAfricaRadio
EastAfricaRadio tweet media
Indonesia
459
189
2.3K
0
CHAMPION TIPS🌟
CHAMPION TIPS🌟@champion___10·
Unatumia muda gani kupanga hii..😂😂🙌
CHAMPION TIPS🌟 tweet media
Indonesia
3
2
24
0
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
NIGERIA: WAVAMIA HOSPITALI NA KUTEKA MADAKTARI, WAGONJWA Tukio limefanywa na Watu wenye Silaha za Moto. Pia, wamewateka Ndugu waliokuwa wakiuguza wagonjwa katika Jimbo la #Niger Inadaiwa waliotekwa ni 20 na Watu watatu wameuawa Soma jamii.app/UtekajiHospita… #HumanRights
Jamii Forums tweet media
Filipino
6
20
262
0
kiongoz
kiongoz@Issa49808189·
@JamiiForums Akuna serikal ya maana nchi hii wote waarifu tu
Indonesia
0
0
0
0
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
MDAU: SERIKALI KUTOWEKA WAZI RIPOTI ZA UCHUNGUZI KUNALINDA UHALIFU Anasema kumekuwa na usiri wa Matokeo ya Uchunguzi au kutojulikana hatua zilizochukuliwa akitolea Mfano matukio ya Soko la Kariakoo kuungua, Mtuhumiwa na Askari kufia Polisi Mtwara Soma jamii.app/Uchunguzi
Jamii Forums tweet media
Indonesia
11
6
58
0
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
TCRA imeizuia DarMpya Blog na DarMpya Online TV kutoa huduma kwa kosa la kuendelea kufanya kazi wakati leseni yake ikiwa imeisha muda wa matumizi. Aidha, chombo hicho kinakabiliwa na mashtaka mengine juu ya habari iliyorusha kuhusu Masai walioandamana kwenda Ubalozi wa Kenya.
Swahili Times tweet mediaSwahili Times tweet mediaSwahili Times tweet media
Indonesia
34
33
256
0
kiongoz
kiongoz@Issa49808189·
@ikulumawasliano @venusnyota Sa unaandika kiingereza hil iweje mbon nyie watumwa sana alafu hapo juu umeandika kwa Kiswahili Taarifa kwa vyombo vya habar
Indonesia
1
0
4
0
kiongoz
kiongoz@Issa49808189·
@Tigo_TZ Mi nimesajil lain leo lakin sms kila mara nikifungua data
Indonesia
1
0
0
0
Yas Tanzania
Yas Tanzania@YasTanzania_·
Saizi Yako Bado iko Tigo Pekee! Furahia vifurushi vya saizi yako vilivyo na dakika na MB's/GB's kibao kutoka Tigo. Piga *147*00# Chagua Saizi Yako au Tembelea kwa muuzaji wa Tigo Rusha.
Filipino
268
50
1.3K
0
Salafi✨
Salafi✨@Salaph1·
🧵Story Wakati wa wizi nchini Zimbabwe, majambazi hao wa benki walipiga kelele kwa kila mtu katika benki: "Usisogee. Pesa ni ya Serikali. Maisha yako ni yako." Kila mtu katika benki alilala kimya. Hii inaitwa "Dhana ya Kubadilisha Akili" Kubadilisha njia ya kawaida ya kufikiria
Salafi✨ tweet media
Indonesia
162
393
1.8K
0
mwasi kondoa
mwasi kondoa@EliasaYahaya1·
@swahilitimes Kwa walokamilisha leo siku 30 , hivi inakuwaje mwezi wa 30 unakuwa wa kutafuta tena? Imana kama umetimiza 30 bas ungeonekana wazi tu tena mkubwa tu, labda niulize hata kama umefunga 30 huna haja ya kuendelea je mwezi wa 30 na leo mwezi 1 umeuona?
Indonesia
5
0
3
0
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Ofisi ya Mufti Mkuu Zanzibar imetangaza kuwa mwezi haukuandama.
Swahili Times tweet media
Suomi
80
85
1.2K
0
ThinkBig
ThinkBig@ThinkBi80655747·
@darmpya_ Mwakalebela anaelemewa na Tumbo, ulitegemea mtu abebe mavi kias hiko awe na akili?
Filipino
5
2
23
0
kiongoz
kiongoz@Issa49808189·
@dna_bongo @MwanzoTv Kweli yaan familia ya kikwete aina huruma na watanzania wanafiki wanataman tanzania pesa zote ziwe zao
HT
0
0
0
0
Levocatus Mganga
Levocatus Mganga@dna_bongo·
@MwanzoTv She is selfish,mlafi mkubwa,hana haya kabisa,Mke wa raisi na hivi sasa mbunge,mtoto mbunge,familia ya walafi wasio tosheka,hata mpewe utajiri wa dunia nzima hamtatosheka. Hana imani huyu,haonei huruma watanzania wengi masikini. Mwisho wa siku kuna umauti na utaacha kila kitu
Indonesia
3
3
44
0
MwanzoTV
MwanzoTV@MwanzoTv·
#TANZANIA: Mke wa Kikwete ataka walipwe stahiki wenza wa Rais, Makamu na Waziri Mkuu mara tu mwenza wake anapostaafu Bofya: youtu.be/HSW_SGd89XU
YouTube video
YouTube
Indonesia
234
44
375
0