mapindu_mkuki

710 posts

mapindu_mkuki

mapindu_mkuki

@Makindoo

Katılım Ocak 2019
583 Takip Edilen67 Takipçiler
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
𝐍𝐀𝐉𝐈𝐔𝐋𝐈𝐙𝐀 : Julai 2025 Bwana Vunja aligombea Ubunge mahali alipozaliwa huko Kalenga, lakini hakupitishwa hata kura zamaoni maanake alikua hakubaliki, ila ajabu kaenda kuongoza kura za maoni jimbo la ISIMANI ambalo si mzaliwa. Inawezekanaje upate kura nyingi UGENINI
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
66
9
213
28.3K
NTOBI
NTOBI@Ntobi_·
Kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya Tanganyika, Baraza la Mawaziri halina hata Waziri mmoja kutoka Kanda ya Ziwa—mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Geita, Tabora na Simiyu. Cha kushangaza zaidi, mkoa mmoja wa Dodoma una Mawaziri wanne. Hii ni dhihirisho la wazi la kutengwa kwa Wasukuma na wakazi wa Kanda ya Ziwa katika uamuzi wa masuala nyeti ya Taifa, licha ya kanda hii kuwa kubwa kwa idadi ya watu, eneo na mchango wake wa kiuchumi. Nahene —ndoho tabu!
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kawaida cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 07 Januari, 2026.

Indonesia
208
46
450
98.8K
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿
👉January Makamba alipata nafasi ya kusoma Masters chuo kikuu cha George Mason huko USA ila hakuwa na ada, Akaandika barua kwa watu maarufu wengi wakiwemo Bill Gates, Kofi Annan, Oprah Winfrey, Salim A Salim na Benjamin Mkapa kuomba ufadhili, Mwisho akapata, anatufundisha tusikate tamaa✍️
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿 tweet media
Filipino
13
9
164
25.2K
Ofisi ya Makamu wa Rais
Ofisi ya Makamu wa Rais@vpo_tanzania·
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amtembelea na kumjulia hali, Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein katika makazi yake Unguja, Zanzibar, leo tarehe 03 Januari 2026.
Ofisi ya Makamu wa Rais tweet mediaOfisi ya Makamu wa Rais tweet mediaOfisi ya Makamu wa Rais tweet media
Indonesia
8
9
40
3.2K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Kuficha taarifa za wizi na ufisadi Sio uzalendo… watumishi wanaowaweka wazi mafisadi ndio wazalendo.
Indonesia
41
279
1.3K
27.9K
mapindu_mkuki
mapindu_mkuki@Makindoo·
@Sativa255 Sativa mdogo wangu Siasa ni kubwa kuliko Maria Sarungi ndo imetoka hiyo hakuna kusimama
Filipino
0
0
0
5
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Mzee wangu RUNGWE anashangaa VIBAKA washaingia kazini wanapeana MAJUKUMU TUU. Yeye ndio kageuka kuwa MGENI. Sidhani kama tutakula UBWABWA mwaka huu. TUTAKUWEPO🫵🏾😂
Indonesia
238
83
916
84.4K
mapindu_mkuki
mapindu_mkuki@Makindoo·
@ayubu_madenge Hao ni watu wenye heshima wanaojaribu kupambana ili CCM isipite bila kupingwa! Ni hatua bora sana kisiasa
Indonesia
0
0
0
19
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Leo Mzee atajiona Shujaa sana, amefanya usajili bora katika historia ya chama chake. Ndani ya siku moja amesajili aliyekuwa Mgombea mwenza wa Uchaguzi Mkuu 2020, aliyekuwa Naibu katibu Mkuu wa Chama, aliyekuwa Mwenyekiti wa kanda nk. Swali ni je jamii inawatazama vipi watu hawa?
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
193
92
1.6K
73.9K
Rose Mayemba
Rose Mayemba@rose_mayemba·
Madam President @SuluhuSamia Ni rahisi tu, Ondoa Mabalozi wako katika nchi zao. Futa mikataba yote ya kimataifa ambayo nchi yetu imeingia na nchi zote duniani. Halafu ichukue Tanzania ipeleke kwenye safari ya Jupiter ukaishi huko kwa kadri utakavyotaka.
Rose Mayemba tweet media
Indonesia
86
122
597
21.7K
mapindu_mkuki
mapindu_mkuki@Makindoo·
@MarthaKarua @SuluhuSamia @jumuiya Pumbavu sana wewe bibi! Hapo kwenu shida za kisiasa ndo zimejaa pambaneni na shida zenu huku hatutaki upuuzi na harakati uchwara ukija tena si tu tutakufurusha Ila utapigwa makofi na Wananchi
0
0
0
5
mapindu_mkuki
mapindu_mkuki@Makindoo·
@usembassytz Kuna wajinga wanaitwa CHADEMA wamegoma wenyewe kujaza fomu za maadili alafu kwasasa wanatafuta kufanya vurugu wanasema ninyi ndo mnawapa kichwa
Indonesia
0
0
0
157
US Embassy Tanzania
US Embassy Tanzania@usembassytz·
Marekani inajivunia kushiriki wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipokuwa akizindua sera mpya ya mambo ya nje inayotoa kipaumbele kwa diplomasia ya kiuchumi, upanuzi wa uchumi wa bluu, uchumi wa kidijitali na uwekezaji wa diaspora.
US Embassy Tanzania tweet media
Indonesia
167
68
369
50.5K
mapindu_mkuki
mapindu_mkuki@Makindoo·
@ChiefLumanyika Takataka bombei! Mmoja ya viumbe vinavyotumika kwa maslai ya mashoga na wasagaji
Indonesia
0
0
0
10
Shasila Nabipa
Shasila Nabipa@Shasilanabipa·
To be honest Mimi harakati za huyu mwana Mama sijawahi hata kuzielewa,
Shasila Nabipa tweet media
Indonesia
428
29
837
110.9K
millardayo
millardayo@millardayo·
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kujiandikisha au kuboresha taarifa katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ambapo amesema kutofanya hivyo ni kukosa uzalendo kwakuwa inamnyima Mtu haki ya kupiga kura na kuchagua Kiongozi anayemtaka. Rais Samia ameyasema hayo leo May 17, 2025 baada ya kuboresha taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura katika Kata ya Chamwino, Jijini Dodoma, ambapo pia ameongea na Wananchi waliokusanyika kwenye kituo cha uandikishaji. “Niwaombeni sana Wananchi wenzangu tuje kwa wingi tupige kura, huu ni mzunguko wa pili waambieni pia ambao hawajaja, mzunguko wa kwanza umepita tuko kwenye mzunguko wa pili tukikosa mzunguko wa pili mwezi huu na ujao huko mbele hatuna tena nafasi ya kurudia, kwahiyo ili usipoteze haki yako niombe Wananchi wote wawahi kwenye mzunguko huu wa pili, ili twende tujiandikishe tupate haki ya kupiga kura, turudishe Serikali inayoleta maendeleo kwa nchi irudi madarakani” “Kutokujitokeza kujiandikisha ni kukataa mwenyewe haki yako ya kikatiba na unapokataa haki ya kikatiba jiulize je wewe ni Mzalendo? Mzalendo wa aina gani ambaye Katiba imekupa fursa nenda kajiandikishe, piga kura, weka Kiongozi unayehisi atakuja kukuhudumia, wewe unaikataa, ukiikataa wenzio wataenda kuweka wanayemtaka na utakosa fursa ya kushawishi wengine kuweka yule mnayemtaka kwahiyo unakuwa wewe wa kubabaisha tu na kulalamika” “Jiulizeni mwenyewe uzalendo wangu uko wapi?, hii ni fursa kubwa inatokea kila baada ya miaka mitano haiji kila siku ni vema kila Mtanzania ajitokeze atumie fursa hiyo” #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
625
131
1.4K
175.8K
mapindu_mkuki
mapindu_mkuki@Makindoo·
@HecheJohn Unamwambia nani na ili iweje? Wewe si unajitoa ufahamu kuua Chama chetu na demu wako Maria Sarungi tutapambana na nyingi mpaka kieleweke
Indonesia
0
0
0
3
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Nafikiri Nchi hii inaongozwa na watu wa ajabu sana … Taratibu za kisheria za kusafiri nje ya Nchi ni zipi? Taratibu ni kuwa na Passport yako . Taratibu ni kuwa na VISA ya Nchi unayokwenda. Na amekua akipa wapi bila kufuata taratibu? Polisi polisi eleza hizo taratibu za kisheria ambazo Amani amekua akivunja na amefanya hivyo lini na lini? Hivi hawa watu wanaweza kuwa viongozi wa Nchi hii? Eleweni tu kwamba hakuna wa kurudisha mapambano ya kudai mabadiliko nyuma. Tutawashinda.
John Heche tweet media
Indonesia
247
369
1.7K
92.9K
mapindu_mkuki
mapindu_mkuki@Makindoo·
@Sativa255 Hivi dogo kabisa yaani mtoto wa kiume umeamua kuwa kibaka wa Maria Sarungi na Wazungu ili udhalilishe Nchi yako?
Filipino
8
0
0
912
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
MBUNGE WAKO ANAITWA NANI? Hili ni bunge la BAJETI linaendela ila nina uhakika MBUNGE WAKO HAYUPO HUMU NDANI. Hawa hawezi kuhudhuria vikao vya msingi kwa WANANCHI kwasababu wanajua wewe mwananchi ni TAKATAKA TUU yeye atarudi tuu bungeni. Kiufupi hili ni BUNGE LA SAMIA. Ndiomaana tunataka #NoReformsNoElection wawakilishi wetu wawe kweli wamepatikana kwa kura zetu. Sio hivi ilivyo sasa. Hapa wanajua hata wasipohudhuria mwaka mzima uchaguzi ujao watarudi tuu kwasababu wao ni CHAWA WATIIFU KWA SAMIA. Lazima tufikie mwisho kwenye hili. Haiwezekani na haiwezi kuwa nchi inaenda kifala fala hivi. #NoReformsNoElection #TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet media
Indonesia
80
106
737
69.6K
mapindu_mkuki
mapindu_mkuki@Makindoo·
@robertamsterdam Can you first help the people in Gaza and Ukrain? Tanzania is cool always exercising its right of the rule of Law and democracy! Different measures are taken to the violators who violet rule of Rule of Law.
English
1
1
1
189
Robert Amsterdam
Robert Amsterdam@robertamsterdam·
Following the European Parliament's resolution, we are watching closely to ensure that in the absence of popular support, the CCM in #Tanzania does not further engage in lawfare and violence to shut down the will of the people.
Amsterdam & Partners@amsterdamllp

Our counterparts in Tanzania have filed objections in a case seeking to block CHADEMA's activities. A ruling is expected on 10 June. Meanwhile, Tundu Lissu's cases return on 19 May.

English
16
128
414
14.9K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Asubuhi ya leo tumefanya mkutano jimbo la Geita vijijini katika ziara yetu ya #NoReformsNoElection kazi inaendelea.
John Heche tweet mediaJohn Heche tweet mediaJohn Heche tweet mediaJohn Heche tweet media
Indonesia
42
242
1.6K
28.4K