mapindu_mkuki
710 posts


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kawaida cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 07 Januari, 2026.









Leo imekuwa siku ya kihistoria kwa nchi yetu ambapo nimezindua Sera ya Mambo ya Nje ya Mwaka 2001 (Toleo la Mwaka 2024). Hatua hii ni utekelezaji wa maelekezo niliyotoa bungeni Aprili 2021, ambapo maboresho haya yamelenga kuiwezesha nchi yetu kuendana na mabadiliko makubwa yaliyotokea kwa miongo miwili ndani na nje ya nchi. Ninawapongeza wote mlioshiriki kuandaa sera hii, hasa wananchi mliotoa maoni, kwani mmeshiriki katika kujenga hatma ya nchi yenu na mmeweka alama isiyofutika. Aidha, nimeielekeza Wizara ya Mambo ya Nje pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kuchukuwa hatua za haraka, ikiwemo kutoa ufafanuzi, pindi kauli au matamko yanapotolewa kuhusu nchi yetu ili kudhibiti upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu. Nchi yetu itaendelea kubaki salama, yenye amani, umoja na utulivu, na hakuna mtu yeyote atakayetuondolea nguzo hizi muhimu.
















Our counterparts in Tanzania have filed objections in a case seeking to block CHADEMA's activities. A ruling is expected on 10 June. Meanwhile, Tundu Lissu's cases return on 19 May.





















