🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪

18.4K posts

🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 banner
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪

🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪

@Pweza254

Katılım Eylül 2025
3.1K Takip Edilen1.9K Takipçiler
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
Kigogo Media
Kigogo Media@kigogo2014·
Kheee Kyoma sasa hii ndiyo Strait of Hormuz of YUDIZIMU.. 😰
Kigogo Media tweet media
Indonesia
1
4
22
4.2K
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪
matumaini yanatukumbusha kuthamini tulipotoka na kuendelea kupambana bila kuchoka. Safari yetu ni mfano bora kwa wengi.
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿@nguchiro47

👉Tumekulia katika maisha ya dhiki na changamoto zilizotufundisha thamani ya uvumilivu na ustahimilivu. Kila siku ilikuwa somo jipya la kupambana na kila hatua tuliyopiga ilijengwa juu ya misingi ya juhudi na matumaini. 👉Safari ya elimu haikuwa nyepesi hata kidogo, tuliifuata kwa gharama kubwa ya muda na nguvu. Tulitembea zaidi ya kilomita saba kila siku, tukivuka milima na mabonde ya maisha, tukiamini kuwa elimu ni mwanga utakaotuondoa gizani. 👉Licha ya vikwazo vilivyotuzunguka, hatukuwahi kukata tamaa. Mioyo yetu ilibaki thabiti, tukijifunza kuinuka kila tulipoanguka, tukiongozwa na ndoto zetu na ari ya kubadili hatima yetu. 👉Katika kila hatua ya maisha yetu, tulihisi uwepo wa jah, Allah, Mwenyezi Mungu ukituongoza, Alitupa nguvu ya kusonga mbele, akatupa tumaini pale tulipokaribia kukata tamaa na akatufundisha kuwa kila jambo lina wakati wake. 👉Familia zetu hazikuwa na kipato cha kutosha kuendesha maisha kwa urahisi. Tulikua katika hali ya uhitaji, tukijifunza mapema thamani ya kuvumilia, kushirikiana na kuthamini kila fursa ndogo tuliyopata. 👉Hata tulipokuwa tunaendelea na masomo, hatukuchagua kazi za kufanya, tulifanya kazi yoyote halali iliyopatikana ili kuendesha maisha na kusaidia safari yetu ya elimu. Tulijifunza kuwajibika mapema, tukitambua kuwa hakuna kazi ndogo ilimradi inaleta heshima na mchango chanya katika kufikia ndoto zetu. 👉Elimu yetu ilijengwa juu ya moyo wa huruma wa wafadhili waliotuamini. Kupitia msaada wao, tuliweza kufungua milango ya maarifa ambayo kwa hali yetu isingekuwa rahisi kuifikia. 👉Tunatoa shukrani za dhati kwa wale wote waliotusimamia na kutusaidia katika nyakati ngumu. Mchango wao umeacha alama isiyofutika katika maisha yetu, na umeweka msingi wa ndoto zetu kuendelea kukua na kutimia. 👉Katika maisha yangu @nguchiro47 nimepata mafunzo mengi yaliyotokana na safari ndefu ya changamoto na mapambano. Nimepitia nyakati ngumu zilizonijenga kuwa imara, zikanifundisha subira na kunipa hekima ya kuyaelewa maisha kwa kina zaidi. Kila jaribu limekuwa darasa na kila anguko limekuwa mwanzo wa kuinuka tena kwa nguvu zaidi. 👉Hata hivyo safari bado inaendelea, mapambano hayajaisha, bali yananipa hamasa mpya kila siku ya kusonga mbele kwa imani, ujasiri na matumaini ya kesho iliyo bora zaidi Kwasababu pale ambapo hatukuwa na kitu kabisa hatukukata tamaa, iwaje Leo tumejipata kiasi tukate tamaa✍️

Indonesia
0
0
0
7
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿
👉Tumekulia katika maisha ya dhiki na changamoto zilizotufundisha thamani ya uvumilivu na ustahimilivu. Kila siku ilikuwa somo jipya la kupambana na kila hatua tuliyopiga ilijengwa juu ya misingi ya juhudi na matumaini. 👉Safari ya elimu haikuwa nyepesi hata kidogo, tuliifuata kwa gharama kubwa ya muda na nguvu. Tulitembea zaidi ya kilomita saba kila siku, tukivuka milima na mabonde ya maisha, tukiamini kuwa elimu ni mwanga utakaotuondoa gizani. 👉Licha ya vikwazo vilivyotuzunguka, hatukuwahi kukata tamaa. Mioyo yetu ilibaki thabiti, tukijifunza kuinuka kila tulipoanguka, tukiongozwa na ndoto zetu na ari ya kubadili hatima yetu. 👉Katika kila hatua ya maisha yetu, tulihisi uwepo wa jah, Allah, Mwenyezi Mungu ukituongoza, Alitupa nguvu ya kusonga mbele, akatupa tumaini pale tulipokaribia kukata tamaa na akatufundisha kuwa kila jambo lina wakati wake. 👉Familia zetu hazikuwa na kipato cha kutosha kuendesha maisha kwa urahisi. Tulikua katika hali ya uhitaji, tukijifunza mapema thamani ya kuvumilia, kushirikiana na kuthamini kila fursa ndogo tuliyopata. 👉Hata tulipokuwa tunaendelea na masomo, hatukuchagua kazi za kufanya, tulifanya kazi yoyote halali iliyopatikana ili kuendesha maisha na kusaidia safari yetu ya elimu. Tulijifunza kuwajibika mapema, tukitambua kuwa hakuna kazi ndogo ilimradi inaleta heshima na mchango chanya katika kufikia ndoto zetu. 👉Elimu yetu ilijengwa juu ya moyo wa huruma wa wafadhili waliotuamini. Kupitia msaada wao, tuliweza kufungua milango ya maarifa ambayo kwa hali yetu isingekuwa rahisi kuifikia. 👉Tunatoa shukrani za dhati kwa wale wote waliotusimamia na kutusaidia katika nyakati ngumu. Mchango wao umeacha alama isiyofutika katika maisha yetu, na umeweka msingi wa ndoto zetu kuendelea kukua na kutimia. 👉Katika maisha yangu @nguchiro47 nimepata mafunzo mengi yaliyotokana na safari ndefu ya changamoto na mapambano. Nimepitia nyakati ngumu zilizonijenga kuwa imara, zikanifundisha subira na kunipa hekima ya kuyaelewa maisha kwa kina zaidi. Kila jaribu limekuwa darasa na kila anguko limekuwa mwanzo wa kuinuka tena kwa nguvu zaidi. 👉Hata hivyo safari bado inaendelea, mapambano hayajaisha, bali yananipa hamasa mpya kila siku ya kusonga mbele kwa imani, ujasiri na matumaini ya kesho iliyo bora zaidi Kwasababu pale ambapo hatukuwa na kitu kabisa hatukukata tamaa, iwaje Leo tumejipata kiasi tukate tamaa✍️
Filipino
4
6
8
483
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
Mkombozi Digital
Mkombozi Digital@MkomboziHabari·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana kuhakikisha vijana wananufaika kikamilifu na fursa zitokanazo na ukuaji wa Teknolojia
Mkombozi Digital tweet mediaMkombozi Digital tweet mediaMkombozi Digital tweet mediaMkombozi Digital tweet media
Indonesia
0
1
3
309
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
Haki Ngowi
Haki Ngowi@Hakingowi·
📍 Dar es Salaam Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. Jaji Mstasfu Francis Mutungi amekuta na kufanya mazungumzo na Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola. Kikao hicho ni sehemu ya ziara ya Mhe. Chakwera nchini ambapo anakutana na makundi mbalimbali ya wanasiasa, taasisi na viongozi wa Serikali.
Haki Ngowi tweet media
Indonesia
3
2
10
1.7K
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
Magogoni Daily
Magogoni Daily@magogonidaily·
ZXX
0
8
9
238
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Umeelewa nini katika hizi picha mbili? Mzee wangu @omarkashera Somo la Protoko linatakiwa sana kuhimizwa kwa viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa kijamii na watu maarufu na mashuhuri. Hii ndio tofauti kubwa ya Viongozi wa kisiasa na wanaharakati uchwara wahuni waliovamia siasa. Picha gani hii ya kihuni kwa kiongozi wa taasisi anayopiga na kiongozi wa kimataifa huku umelazimisha kumshika mkono kama mko baa? Kweli maadili ya kisiasa na kiuongozi yametoweka! Na Yericko Nyerere
Yericko Nyerere tweet media
Indonesia
89
5
38
16K
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿
Manaibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI wakiwasili Bungeni leo Aprili 10,2026 kwenye Bunge la kumi na tatu, Mkutano wa Tatu,Kikao cha Sita✍️🇹🇿
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿 tweet media𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿 tweet media
Indonesia
0
1
4
424
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
Ngadu
Ngadu@1ngadu1·
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwenye moyo wa upendo, huruma na anayejali wananchi wake kwa vitendo zaidi.
Ngadu tweet media
Indonesia
1
11
13
165
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
cousin 420
cousin 420@420Cousin·
Tanzania ya Prof Samia Suluhu Hassan ni njema atakaye na aje.
cousin 420 tweet mediacousin 420 tweet mediacousin 420 tweet media
Indonesia
2
14
21
590
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
Kilwafinest 🦈
Kilwafinest 🦈@Kilwafinest·
Mtoto Mpuuzi sana huyu, anaonyeshaje mali kizembe namna ile 🚮
Kilwafinest 🦈 tweet media
11
17
22
3.5K
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
WAZIRI NDEJEMBI AKUTANA NA KAMPUNI ZA EQUINOR NA SHELL KUJADILI UTEKELEZAJI WA MRADI WA LNG NCHINI. Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Kampuni ya Equinor Tanzania AS pamoja na Shell Exploration and Production Tanzania Ltd kuhusu utekelezaji wa uchimbaji wa gesi ya LNG katika mikoa ya kusini, leo tarehe 10 Aprili 2026, jijini Dar es Salaam. Katika kikao hicho, Waziri alikutana na viongozi wa makampuni hayo, akiwemo Menno Bax, Mkurugenzi Mtendaji na Mwenyekiti wa Shell Exploration and Production Tanzania Ltd, pamoja na Hilde Merete Nafstad, Makamu wa Rais na Meneja wa Nchi wa Utafutaji na Uzalishaji wa Kimataifa (EPI) wa Equinor Tanzania AS. Mazungumzo hayo pia yaliwashirikisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dkt. James Mataragio, na Kamishna wa Mafuta na Gesi kutoka Wizara ya Nishati, Goodluck Shirima. Makampuni haya yanajihusisha na utafiti, uchimbaji na uendelezaji wa gesi asilia baharini, pamoja na kushiriki katika maandalizi na utekelezaji wa mradi wa gesi iliyoyeyushwa (LNG) nchini Tanzania.
MR BEN tweet mediaMR BEN tweet mediaMR BEN tweet mediaMR BEN tweet media
Indonesia
0
5
9
1.1K
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿
👉Luhaga Mpina ameendelea kuwa mtetezi wa wanyonge kwa kusimama kidete kupigania haki na usawa✍️🇹🇿
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿 tweet media
Filipino
0
3
5
132
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
TAARIFA KWA UMMA
ikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet media
Indonesia
5
10
24
3K
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Usiache Kufuatilia Matangazo haya ya Moja kwa moja..!!
MR BEN tweet media
Indonesia
8
4
19
2.1K
🇩 🇷 - 🇵 🇼 🇪 🇿 🇦🩺🇰🇪 retweetledi
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿
👉Luhaga Mpina amekuwa akivunja ukimya pale ambapo wengi wanachagua kunyamaza✍️🇹🇿
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿 tweet media
Indonesia
0
3
53
2.6K