

Manengelo Aman
12K posts










Jiunge na Chama Cha Mapinduzi kwa kuchukua kadi ya uanachama ili uweze kushiriki kuijenga Tanzania ukiwa mwanachama halali wa CCM. Hii ni kwa kila raia wa Tanzania mwenye umri usiopungua miaka 18. CCM tunaimarisha Umoja, Mshikamano na kuleta Maendeleo kwa Watanzania. #ChamaBora




Uchumi wa kati...






Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania kitatoa mafunzo ya urushaji wa ndege zisizo na rubani (Drones) kwa muda wa wiki nne kuanzia Januari 4, 2021. Mwombaji awe na umri kuanzia miaka 21, awe amemaliza kidato cha nne au zaidi, ajue kusoma na kuandika Kiingereza. Ada ni TZS 1,980,000.

Watoto 70,000 watakosa kujiunga Form 1 mwakani kwa upungufu wa madarasa na vifaa. Swali 1. Serikali ilikuwa haijui kuna watoto wangapi Std. 7? 2. NBS ilishindwa kutoa takwimu ya watoto wanaotegemea kufaulu ili Serikali ijiandae kujenga madarasa? 3.kwanini Serikali haijajiandaa?


