Mapunda Simba

562 posts

Mapunda Simba banner
Mapunda Simba

Mapunda Simba

@MapundaSimba

Katılım Kasım 2025
24 Takip Edilen13 Takipçiler
Mapunda Simba
Mapunda Simba@MapundaSimba·
@FKihamu Aliomba 50M kapewa 5M sasa kwanini asilalamike😂
Filipino
1
0
0
552
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
Hivi Abdul Nondo kapewa mkopo gani? Naona kaita press analalamika wanamnanga😀
Indonesia
6
12
186
6.8K
BARADHULI
BARADHULI@Baradhuli2·
Huyu Linda Utamu Ni Gen Z Au Millenials Ili Nijue Nakaa Upande Gani.😂
Indonesia
5
11
13
870
Veesmart2🌹
Veesmart2🌹@Veesmart2·
Millennials huwaambii kitu kuhusu zile nguo za ndani TMK😅
Indonesia
10
9
40
661
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Gen Z ni kizazi cha Madevoliwoshipa hawawezi kujilinganisha na sisi millennials 😭😭😭
WHYMYCATISSAD tweet media
हिन्दी
18
16
135
2K
Thomas J. Kibwana
Thomas J. Kibwana@thomasjkibwana·
Hii vita na Gen Z tushashindwa. Tuvue tu nguo tuwaachie laana.
Filipino
9
7
11
1.1K
Mapunda Simba
Mapunda Simba@MapundaSimba·
@ChademaTZ2 Ambacho sijaelewa kwenye OP yenu, ni mnakusanya maoni ya katiba mpya au mnafanya nn kwenye operation yenu? au mnapikia kichaka hicho kujipatia fedha?
Indonesia
0
0
0
3
Mapunda Simba
Mapunda Simba@MapundaSimba·
@lwaitama1 Sona Jina lako mara 2 afu wambie watanzania maana ya jina lako
Filipino
0
0
0
44
Dr Lwaitama
Dr Lwaitama@lwaitama1·
Kuna mtu anasemwa kiana kwa namna alivyokosa uvumilivu wa kisiasa kwa wapinzani wake waliomzidi uwezo. Nape naona unamshughilikia Msumi
Filipino
1
16
115
3.2K
Mapunda Simba
Mapunda Simba@MapundaSimba·
@mwananchidr 😀😀😀 yani taarifa za kuiondoa CCM zitokee mara??? Mbona waandishi mnakosa adabu na uweledi wa kazi zetu? Mtu akitoa taarifa kama hiyo mfungulieni mashitaka kama muhaini tu
Indonesia
0
0
0
14
mwananchidr
mwananchidr@mwananchidr·
Kwa yanayoendelea hii inaweza kuwa kweli kabisa
Indonesia
5
26
167
4.3K
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
UWAJIBIKAJI NI MSINGI WA UADILIFU. Ukipewa dhamana ya kuongoza watu, huongozi kwa hisia, matamanio binafsi au mihemko ya muda. Uongozi hujengwa juu ya Katiba, Sheria, Kanuni na misingi ya Utu na haki. Kiongozi hapaswi kufanya maamuzi kwa hofu ya vitisho, ushawishi wa marafiki, makundi ya maslahi au shinikizo la kisiasa, bali kwa uadilifu, busara na wajibu kwa Umma. Maamuzi ya Kiongozi lazima yawe na ubora, weledi na uhalali unaostahili, yakilenga maslahi mapana ya Taifa na watu wake anao waongoza , siyo kuridhisha nafsi au kundi fulani. Kiongozi mwenye maono hutambua kuwa mamlaka ni dhamana, na dhamana hiyo hupimwa kwa haki anayotoa, usawa anaousimamia na ukweli anaouthamini.Kiongozi anawajibika kwa kiapo chake kupitia dhamiri kwa Mungu. Fanya maamuzi kwa kiwango ambacho hata Mungu akichungulia duniani, aone haki imetendeka, ukweli umeheshimiwa na utu wa mwanadamu umepewa thamani yake kisha atabasamu. Je wewe katika nafasi yako Mungu akichungulia Duniani atatabasamu? au atasikitika na kujuta kukuumba? UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI NDIYO DAWA YA KULIPONYA TAIFA. BAK Mwabukusi.
Boniface Mwabukusi tweet media
Indonesia
11
128
508
6.3K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Leo tarehe 10/5/2026 nimeshiriki harambee ya kuchangisha fedha kwaajili ujenzi wa ofisi ya Chama wilaya ya Bunda. Katika harambee hiyo tumekusanya sh milioni 15 cash, bando 6 za bati na vifaa vingine. Nimekabidhi fedha hizo kwa katibu wa kanda, ili kuanza ujenzi wa ofisi ya Chama chetu iliyobomolewa na ccm. Pia nimepokea wanachama 30 kutoka ccm, miongoni mwao ni wale waliofungwa, ccm ikawatelekeza na mawakiliwa wa chama chetu wakawatetetea.
John Heche tweet mediaJohn Heche tweet mediaJohn Heche tweet mediaJohn Heche tweet media
Indonesia
17
161
951
17.3K
Mapunda Simba
Mapunda Simba@MapundaSimba·
@ChademaTZ2 @HecheJohn Wasomi!!!!! Mnamaanisha nini? Hivi CHADEMA hamnaga THINK TANK? Kuna vitu mnafanya kama watoto, sasa kongamano la wasomi ndo nini? Mnaenda kukusanya watu walioenda shule au wanaoendelea na shule? Lini mtakuwa na team yenye uwezo wa kuzalisha jambo lililonyooka?
Indonesia
0
0
0
14
Mbunge Wa Taifa
Mbunge Wa Taifa@taifa_mbunge·
“Tunaitaka mahakama isikilize kesi ya Lissu kwa haraka na kama hawana nia ya kusikiliza wamuachie huru” Boniface Mwabukusi - RAIS WA TLS
Indonesia
6
74
317
5.2K
Mapunda Simba
Mapunda Simba@MapundaSimba·
@MachumuKadutu Afu anadai walimuita kumuhoji, yeye alishuhudia vifo vingapi ili tujue idadi kamili?
Indonesia
0
0
0
18
MWANAMAPINDUZI
MWANAMAPINDUZI@MachumuKadutu·
"Mimi naamini vifo vilikuwa vingi kuliko wanavyosema"- Mzee Joseph Warioba
Filipino
3
28
110
1.8K
Mapunda Simba
Mapunda Simba@MapundaSimba·
@AdvMatata Maara zote unaambiwa mbwa ikikaribia kufa uwa inazengea barabarani muda ote, sasa huyu mzee anadhani madudu yake anayoyafanya pale Mkapa Foundation hayafaamiki. Bandugu tuendelee kumstiri asijekufa na aibu.
Indonesia
1
0
1
169
Mturi, C. ✨
Mturi, C. ✨@ChachaWegelo·
-Tunaweza kutofautiana kwenye mitizamo na ufuasi lakini ukweli ni kuwa kama nchi tunamiliki wanasiasa WAWILI TU wanaoaminika na umma. 1.TUNDU ANTIPASS LISU 2.JOHN WEGESA HECHE -Hawa ni hadhina inayotembea tuwalinde kwa wivu mkubwa sana. GOODMORNING MY FAMILY.!
Filipino
4
7
50
544
Mapunda Simba
Mapunda Simba@MapundaSimba·
@zittokabwe Kaka najua wewe ni mtu unatumiaga sana akili kuliko mihemko, unaamini kwamba Kenya wanatupenda sana kuliko wao mwenyewe? Yani kwa unemployment iliyopo Kenya ilitakiwa Marais wa EAC waugombanie mradi, lakini Rais wa Kenya anaonesha anataka ajira zije uku kuliko kwake.......
Indonesia
1
0
2
1.6K
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Mradi wa EACOP unasafirisha mafuta ghafi kwenda masoko ya duniani. Dangote anaweza kuyanunua mafuta hayo na kuyasafisha popote atakapo. Kaamua kuwa Afrika isiuze tena mafuta ghafi bali yeye ashirikiane na nchi zetu hayo mafuta ghafi yawe safi hapo Tanga. Hamtaki! Sasa atayanunua hayo hayo mafuta yenu ghafi atayashusha Mombasa, atayasafisha na mtanunua petroli, dizeli, mafuta ya taa na mafuta ya ndege kutoka Mombasa. Mtanunua mbolea ya UREA, Salfa ya Korosho na lami kutoka Mombasa!
cousin 420@420Cousin

Alaaaa Watu hawajui na wanachanganya mradi wa Hoima crude na biashara ya Dangote. Hivi ni vitu viwili tofauti kimkakati kabisa. Hoima crude ni resource ya Uganda na njia yake kubwa tayari imefungwa kupitia EACOP kwenda Tanga kwa soko la nje. Dangote refinery ni biashara binafsi ya usafishaji na usambazaji unaotafuta crude supply, fursa za masoko na uwezeshwaji Afrika Mashariki. kifupi Aliko kanusa fursa EAC watu wapo desperate washaanza kubabaika. Si kwamba Dangote ndiye anakuja kuokoa mradi wa Hoima au ndiye owner wa crude ya Uganda hapana. Uganda na Tanzania tayari walishafanya maamuzi yao ya kimkakati kuhusu Bomba la mafuta. Njia ya usafirishaji, pamoja na malengo ya mbeleni kuhusu refinery pamoja na nani wa kushirikiana naye. Mnapaswa kuelewa kenya kuwa na refinery hakubadilishi moja kwa moja control ya Hoima crude wala haifuti strategic advantage ya bomba la mafuta kupita Tanga. Wacha inyeshe tuone panapo vuja 😂😂😂

Filipino
33
44
246
31.2K
Yunus Abdul Wallace
Yunus Abdul Wallace@mwanakijiji2·
@420Cousin Wewe ni mbumbumbu jipige kifua na useme mimi ni mjinga. Biashara ya crude oil na refinery products ni sawa na biashara ya mkate na siagi huwezi kuzitofautisha. Wewe unatoka ukoo Gani? Kwenu mna biashara hata ya kuuza genge?
Indonesia
5
0
12
1.9K
cousin 420
cousin 420@420Cousin·
Alaaaa Watu hawajui na wanachanganya mradi wa Hoima crude na biashara ya Dangote. Hivi ni vitu viwili tofauti kimkakati kabisa. Hoima crude ni resource ya Uganda na njia yake kubwa tayari imefungwa kupitia EACOP kwenda Tanga kwa soko la nje. Dangote refinery ni biashara binafsi ya usafishaji na usambazaji unaotafuta crude supply, fursa za masoko na uwezeshwaji Afrika Mashariki. kifupi Aliko kanusa fursa EAC watu wapo desperate washaanza kubabaika. Si kwamba Dangote ndiye anakuja kuokoa mradi wa Hoima au ndiye owner wa crude ya Uganda hapana. Uganda na Tanzania tayari walishafanya maamuzi yao ya kimkakati kuhusu Bomba la mafuta. Njia ya usafirishaji, pamoja na malengo ya mbeleni kuhusu refinery pamoja na nani wa kushirikiana naye. Mnapaswa kuelewa kenya kuwa na refinery hakubadilishi moja kwa moja control ya Hoima crude wala haifuti strategic advantage ya bomba la mafuta kupita Tanga. Wacha inyeshe tuone panapo vuja 😂😂😂
Indonesia
8
21
35
33.6K
Mapunda Simba
Mapunda Simba@MapundaSimba·
@safarimlevi Sijuagi CAG anakwama wapi kutokuishauri serikali kukifuta hiki chama....kwani ni SACCOS au ni chama cha siasa?? Mwenye akili ndo anijibu, ukija kichwa kichwa nakulisha via vya uzazi wa mzazi wako.
Indonesia
1
0
0
69
SafariMlevi
SafariMlevi@safarimlevi·
Ndugu zangu hii si kwaajili ya Chadema, ni kwaajili ya Watanzania wote Toa ushirikiano wako hata Tsh 100 ni mchngo mkubwa Chadema wana Fanya kazi ya kitume
SafariMlevi tweet media
Indonesia
3
43
103
901