Masanja PN🌻
44.7K posts

Masanja PN🌻
@MasanjaPN
Shabiki @ManUtd || @SimbaSCTanzania https://t.co/2VK2YeNZBs
Ally's star HQ Katılım Haziran 2015
2K Takip Edilen4.8K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet

@ThomasMwakagil1 @taita_tz Milongoine kwenda hadi Komolo, Nadunjuki nk
Indonesia

@taita_tz Huyu jamaa ni muongo napita Kila siku kuelekea Simanjiro kwa kupitia JKT aljoro hata picha ya eneo siyo yenyewe.
Indonesia

Baadae unasikia vijana Fanyeni kazii kumbe yeye anapewa 😁😁
kijana mpole@BesteNicolas
Nani Kasema wanawake hawapendani??🤔😁
Indonesia

@MasanjaPN @Bekanho06 @Cargo_1911 @AllyAssed13070 @AmRosalinee @Binamu01 @CavityDamas23 @CwcChampion @Danford_tz @DanyeMufasa @DenyTheDr @danyobryan Hizo 20 ni offa ya mwezi mkuu baada ya hapo unanunua unlimited 70k
Indonesia

@Luvandalugano47 @Bekanho06 @Cargo_1911 @AllyAssed13070 @AmRosalinee @Binamu01 @CavityDamas23 @CwcChampion @Danford_tz @DanyeMufasa @DenyTheDr @danyobryan Hizo 20 GB bei gani?
Lietuvių

@Bekanho06 @Cargo_1911 @AllyAssed13070 @AmRosalinee @Binamu01 @CavityDamas23 @CwcChampion @Danford_tz @DanyeMufasa @DenyTheDr @danyobryan Hii kianzio 20gb mkuu
Indonesia
Masanja PN🌻 retweetledi

@INFLUENCERjr Jamaa aliuliza wakazi wa Tanga wanaishije na zile barabara
Nilicheka sana 😂
Indonesia

@bajabiri Lakini zamani ualimu na walimu walikuwa na hadhi kubwa sana na hakuna hata mmoja aliyethubutu kuwakejeli
Imekuwaje katikati hapa kejeli zikaanza?

Indonesia

@MarekaMalili Kuna makabila pia ni wajuzi na wataalamu wa kucheza ngoma za utamaduni!! Hii nayo sifa mbaya—kutunza mira na tamaduni. Sasa Huwezi kuzuia tafsiri za watu. Kuna mtu ukimpa ushauri au facts anachukia; anachukulia personal
Indonesia

Messi ni best player kwenye football, ukimpeleka NBA basi anakua kituko.
Kama kuna makabila wazuri kwenye Ufugaji na Biashara kwanini tukisema kuna makabila ni mazuri kwenye leadership watu wanatafuta angle negative?
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿@k_mjege
Kuna makabila ambayo huwezi kuwakuta kwa wingi kwenye makundi ya wasomi; viongozi wala wafanyabishara wakubwa. Mada kama hizi huwa zinazua sana hisia; jamii haipendi kuzijadili.
Filipino

Kitachezea Makwenzi kitajuta kmmmk
The mandevu@ze_mandevu
"Ndiyo alivyo huyo shemeji mzoee tu, usimtoe mguu hapo ataanza kulia".💔😂
Indonesia

Wakati Dimitar Berbatov anacheza ulikua na umri gani?
MJUKUU (Fan)@WideEdson
Kwenye First touch tukiachana na Lionel Mess, Ronaldinho and Neymar kuna wakumzidi Marcelo!!? Kuna mtu kanambia Riyad Mahrez ni mnyama kuliko wote. 🤭
Indonesia

















