Sama Gallya
530 posts


@noel9620 @mentor209 Aisee hata sijawahi jua kwanini😀😀, ni wazito kuanzia akili mpaka mwili mzee.
Indonesia

@mentor209 Nasimamia ofisi fulani uku Zenji na 3 of my stuffs ni wazanzibar itoshe kusema ni wazito jamaaaaanii kumamae sijapata kuona
Suomi

@chapanombombwi @BinKombo3 Unavulia wapi Mangapwani niwe nakuja kuchukua samaki.
हिन्दी

Ukiingia kusini ndani ndani kabisa huko, gunia la mkaa ni shilingi 8,000 (elfu nane), gunia hilo hilo Dar es Salaam ni shilingi 100,000 (laki moja).
Ukichukua shilingi 3,000,000 (milioni tatu) kama mtaji ukaingia Rukwa, unarudi Dar es Salaam ukiwa na gunia 125 za mkaa, ambazo ukiziuza unapata 12,500,000 (milioni kumi na mbili na laki tano)
Gharama za uendeshaji;
Ununuzi wa mkaa, shilingi 1,000,000 (milioni moja) sawa na gunia 125.
Usafiri: gunia moja ni shilingi 10,000 (elfu kumi), kwahiyo gunia 125 ni sawa na 1,250,000 (milioni moja laki mbili na elfu hamsini).
Maliasili: kila gunia utahonga shilingi 5,000 (elfu tano), ambayo kwa yote ni 625,000 (laki sita na ishirini na tano elfu).
Kupakia na kushusha: shilingi 1,000 (elfu moja) kwa kila gunia, jumla ni 125,000 (laki moja na ishirini na tano elfu).
Kwa mtaji wa shilingi 3,000,000 (milioni tatu), unatengeneza faida ya takribani 9,500,000 (milioni tisa na laki tano).
Kusini fursa zipo wazee!

Indonesia

@Innocen89950594 Watu wenye vipilipili na akili tofauti kabisa.
Indonesia

@Mwinshehe07 Wewe nae kuma tu,. Mambo ya kuchagua upande na kushindwa kusema ukweli. Acheni usenge na urafiki wenu wa kisenge.
Indonesia

Taivina hajawahi kujitangaza kama mwanaharakati hata chama chake cha siasa. tunachojua sisi jamaa amekuwa akisimama na watu kutetea haki na kusaidia wahitaji
Unachofanya nikama kumuangushia jumba bovu ila watu wanamjua humu taivina ni mtu wa namna ni ngumu kumuangusha
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid
#TajiriLaKihaya WANAHARAKATI UCHWARA…. Walituaminisha kwamba Tuachane na Wana CCM na Products zao… Hadi kutulazimisha Tuwa BLOCK Wana ccm mtandaoni… kuachana na Ushabiki wa mpira wa SIMBA/YANGA…. Ila Kuanzia leo kuendelea hao hao ndio Watakuwa wanaPromote VUNJABEI BETTING! Ikumbukwe VunjaBei ni CCM lia lia… amechanga hela kibao tu kwenye kampeni na hata juzi tu alikua anawania UBUNGE kabla ya kukatwa 😅 NJAA na MSIMAMO havikai meza moja 😂🙌🏽
Indonesia

@Sativa255 Shida sio hiyo shida ni kwanini wengine wakifanya inakua tatizo?
Indonesia

Watu wanamaindi TAIVINA kualiwa kwenye event ya VUNJA BEI maana yake hairuhusiwi kabisa kuhusika na VUNJA BEI.
Vunja bei kila siku anashusha mizigo na anafungua maduka kila mkoa mpaka mnamuita mkinga mchawi—ni SISIEMU tuu ndio wanamuungisha kwenye hiyo biashara?
Kipindi TAIVINA anasema kesho tukutane kanisani kwa GWAJIMA mlikuwa hamsemi kwamba anahamasisha muende kwa MASISIEMU.
Kipindi TAIVINA anamtafuta POLEPOLE au anasapoti live za Polepole mlikuwa hamsemi anasapoti SISIEMU.
Kuhusu tukio la JANA hamueleweki kwamba jamaa mnakataa jamaa kualikwa au jamaa amelipwa afanye kazi?
Na kama amelipwa wapi amesema yeye ni BALOZI, na kama ni BALOZI hayo mabango ana post wapi? Naona anaendelea na makampuni yale yale ya siku zote.
PUMBU LA WAKAMARIA LIPO YOUTUBE MUDA HUU WAHI TUWAHI.🔥🔥
Indonesia

@TitoMagoti @mafolebaraka @Thereal_taivina Humu ndani wasenge wasenge kama ninyi mnatia sana hasira aisee. Kumbe misimamo yenu ni kwa watu baadhi tu ila wengine familia sio?
Indonesia

@mafolebaraka Baraka acha mazoea na mimi, mdogo wangu! @Thereal_taivina sio tu mwanangu, ni familia. Acha battle za kisenge na ujiheshimu!
Indonesia

@TitoMagoti leo kalipwa mwanao, dondosha essay na hapa 😂😂😂
Taivina James@Thereal_taivina
TUTAKUWEPO🫵
Filipino

@Sativa255 Leo nimeamini kua wewe bro kuma,. Nyie mnajifanya miungu wangu watu kumama yao mnajali masilahi yenu tu mwingine akifanya nogwa kuma wewe
Indonesia

Mnaokanyagia mwanangu VINA kuibuka kwenye Event ya kamali jana kwamba alienda tukio la MTU WA SISIEMU mnamaanisha hata LEO kwenye Event ya MH SUGU kumpa heshima PROFESA J kupiga show ya kibabe watu wa SISIEMU hawatakiwi kuenda?
Ebu tutoleeni UKUMANINA wenu hapa. Mnafikiri mkiongea huo usenge ndio tutaacha kuwakumbusha ukweli kama NYIE MASISIEMU NI MAUWAJI mliuwa ndugu zetu?
Indonesia

@Conspiracist_1 Ulikua unataka waseme ukienda mbinguni utakutana na shetani akufire,. Watu wanaamini kwa ajili ya mambo mazuri mbeleni walioahidiwa si vinginevyo.
Indonesia

@Cheupe12tz @Sylvest85787141 @Tinolove15 Dini ni Culture, kwahiyo ukifata dini tayari ushabadilisha tamaduni.
Indonesia

@Sylvest85787141 @Tinolove15 Tatizo sio kupokea Dini tatizo ni kupokea hadi Culture zao.....Waislam wanaishi kama waarab na wa kristo wanajiona wazungu

Ila Mungu bhn 🙌 Asante kwa karangi haka uliko nipa… hivi ningekuwa keusi ningekuwaje mimi 😭😂
Ivory ✪@mide_io
light skin. or. dark skin.
Indonesia

@MkulimaKante Wakati ukicontrol mauzo kiditali na kuona ripoti zote za store yako na mfumo rahisi sana wa mauzo,jaribu Sasa
ess.digitalisolutions.cloud

Usifungue bar kwanza uendeshaji wake ni mkubwa na utakugharimu
Kama una plan ya kuwa na bar anza na kiliquor store ingia singida tafuta pisi moja kali iliyosimama ipangishie chumba na msosi uwe juu yako ilipe 200k
Hiyo isimamie kuendesha liquor store yako funga wifi na nunua zako jbl speaker kubwa wateja wawe wanaconnect bluetooth wenyewe.
Unaweza kuongeza na big screen moja na viti kadhaa kuzunguka kaunta yako.
Wewe control mauzo huyo dada ndio awe in charge wa kuhudumia wateja wako.
Bro miaka mitano mingi utaanza kuitwa tajiri📌
Filipino

Mke mkubwa wa Maria, Hilda nikupe ujumbe- Wewe pia una mnyororo wa familia Tanzania. Weka namba za Chande alafu uone tutakavyo simama kumlinda.
Jaji Chande, ni mtu mwenye credibility kubwa Afrika na dunia, usimfananishe na mume wako Maria!
Tuliwaachia mkaingiza vijana wenzetu barabarani, mkatengeneza tabia ya vijana kutuma sms na kupiga simu kwa viongozi kupitia hii tabia, sasa #NEVERHAPPENAGAIN tutamlinda mzee kwa gharama kubwa.

Indonesia

YALIPANGWA
YALIRATIBIWA
YALIFADHILIWA na
YALITEKELEZWA.
Eee Mwenyezi Mungu tusadie, tufumbue macho na tuongoze kutambua na kuwakataa wenye nia ovu dhidi ya Tanzania.
#NeverAgain
Indonesia

@twinaomukama @DizoFx Kwahiyo baada ya hapo mkadarasi akishashinda tenda ataenda kufanya mobilization. Akiingia site atapewa mchoro kwamba barabara inatakiwa iwe vipi. Na atajenga kwa kusimiwa na consultant kuhakikisha anafata quality na quantity inayotakiwa according to standard specification.
Filipino

@twinaomukama @DizoFx Afu kitu inatakiwa afahamu ni kua barabara haijengwi tu kwa lazima wa design. Yani mpaka mchina anaingia site watu washapita kitambo kwa ajili ya kuangalia Culvert likae wapi? Hapa zikae layer ngapi ni material inatakiwa yatumike. Ndomana kuna special specification ya mradi husik
Indonesia














