KizeeAlex
3.1K posts

KizeeAlex
@Mperuzi
Procurement and Logistics Expert |Simba 🦁 Sc fan |Manchester united fan |Dogs 🐕 lover 🔥
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ekim 2021
110 Takip Edilen203 Takipçiler

@Mperuzi @Samskills_tz Wala hata. Hio ni indication ya catalytic converter iko nzima
Filipino

@PinguRahim @Samskills_tz Mimi si Fundi ila ni Mtumizi wa Magari na nilijibuwa kwann MAJI YAKITOKA KIDOGO ASUBUHI AU GARI IKIWA HAIJAPATA JOTO NI KUONYESHA JIKO LIKO VIZURI ni 1. Mafuta yanachomwa vizuri, 2. Engine sio chafu kwahyo ukiizima na kupata unyevu ndio ile hutoka kama maji kidogo ukiiwasha
Indonesia

ATA engine mbovu inaweza toa maji. Head gasket imeungua, cylinder bores njia za maji na oil zimekutana,piston rings sio nzuri, block yenye ufa etc .kinachofanya maji yatoke ni system ambayo ipo nje ya engine ndio salama maji hayo hayo yakitoka kutokana system ambayo ipo ndani ya engine ni tatizo.
Indonesia

@cindaramadhan @Samskills_tz Mimi si Fundi ila ni Mtumizi wa Magari na nilijibuwa kwann MAJI YAKITOKA KIDOGO ASUBUHI AU GARI IKIWA HAIJAPATA JOTO NI KUONYESHA JIKO LIKO VIZURI ni 1. Mafuta yanachomwa vizuri, 2. Engine sio chafu kwahyo ukiizima na kupata unyevu ndio ile hutoka kama maji kidogo ukiiwasha.
Indonesia

@MosesMayala2 @Ndomba_9 @LeftWriter_ Wenye uelewa wa Sheria ni wachache sana ndugu yangu.😂 usipoteze nguvu zako kujibu watu. Sasa we umeona umeleta hoja na mtu anakujibu ungejua maana ya MP😂😂 na bado unamuelezea ili aelewe nn? Ila sisi Watanzania🙌🏾
Indonesia

@Ndomba_9 @LeftWriter_ Unamanisha trafc pia anaweza kujihusisha na mambo ya jeshi ?
Swala la barabani ni swala liko chini ya police
Ikiwa kuna matusi yamehusishwa
Pia upo utaratibu wa kisheria
Indonesia

@rio_chimu9663 @Chahali Huenda majukumu mengine ya kikazi na wao ni Binadamu huenda kuwa wagonjwa pia.
Indonesia

@TravisKitengo_ Naibu Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Waziri Mkuu,
Sera, Bunge na Utumishi wa Umma.
Indonesia

@MARGARE33961115 @Tweener003 Sahihi kabisa zingeleta mwonekano mzuri ndani
Indonesia

@Tweener003 Mara mia wangetengeneza gyptisum za hivyo wangebamba.
Indonesia

@GervasiGer10495 @munyamambogo Pole sana, ni Mkoa Gani ulikuwa na Wilaya au Kijiji kipi then walivaa Sare za Jeshi lipi? Ilikuwaje mpaka wakaondoka nalo? Jeshi la Polisi lilikusaidia kupata Gari yako!!
Indonesia

@munyamambogo Ilikuwa jana mida ya saa tano hasubuh watu 2 walio vaa sare za jesi walitaka kuiba gar Lan cruiser 150 walifanikiwa kukimbia polin mpaka number washafunga ila tuna shukur gar ilipatikana

Indonesia

@damajack1 @emabilly2001 @anon_codex Shida si Gari bali Barabara ilivyo angesema katumia masaa 4:30 kwa Land Cruiser ningeelewa alifukia mashimo ila masaa 3 Dar to Moshi ni UONGO
Filipino

@emabilly2001 @anon_codex Mhhh kila nikifirikia kuyapita yali mashamba ya michungwa, kisha uyapite mashamba ya MO katani
NB kama alipita Shortcut kun barabara ya vumbi
Filipino

Nimeona ubishani kuhusu mzee wa coding @anon_codex kutoka Dar to Moshi katoka Dar saa 7 usiku na kufika moshi' kilimanjaro saa 11 alfajiri...kwa kutumia Toyota crown 👑 mwenyewe anaiita ndege ardhini Je inawezekana kweli kutumia 4hrs to moshi eti?


Indonesia

@iHumphreyz Wish ni Gari ambayo ina utulivu sana Barabarani hii ni faida kubwa sana unapokimbia.
Indonesia

Last weekend nimesafiri na jamaa wa IT, mwamba kapiga masaa 6 Oilcom VETA pale to Ruaha Mbuyuni, nilimvulia kofia 🙌🏽
Kona anapiga na 120, anatembea na 140, halafu yuko na Wish 1ZZ Engine
Lubasha Jr@MarekaMalili
Siku moja tunatoka Moro na ile benzi inamaliza 220 nawe umekataa basi tuandae Msiba 🤣
Filipino



















