D mbili.
468 posts


Leo nilikuwa najaribu kupekua pekua Elimu ya Donald John Trump kumbe Yule dingi hana Elimu duuh sikuamini macho yangu.
Kumbe ndomana anafanya mambo ya kijinga.
Trump anamiliki kashahada ka Uchumi tu kutoka Chuo kikuu cha Pennsylvania kilichopo Washington Yani anamiliki ka Degree kamoja ka uchumi.
Kwa Ufupi Anashindwa Elimu na mke wangu 😁
Hii dunia kuna Watu wana bahati sana Yani unamiliki Shahada ya uchumi Alafu unatawala Zaidi ya Watu mil 300 hapo sasa ndo nimeelewa kwanini Iran imechoma kambi zao Zote za kijeshi Mpaka Askari wao wakajificha kwenye makazi ya Raia.
Indonesia

@mlinganya @carstin_x Unamuezulie mwenyezi mungu uwongo? Nadhani utatamani kufa kama unachosema ni ukweli!
Indonesia

Alafu watu hawajui kwenye uislamu zinaa ni dhambi kubwa kuliko liwaat (ushoga).
Moreover wengi wanaotukana wakibanwa wathibitishe ushoga wa Anko T hawatoweza
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid
#TajiriLaKihaya YESU akiwa nyumbani kwa Simoni Farisayo, kuna yule mwanamke aliesemakana ana dhambi nyingi ‘Kahaba’ Alilia na machozi yake yakamiminika miguuni mwa Yesu. Akaifuta miguu hiyo kwa nywele zake. Akambusu miguu na kuipaka mafuta ya marashi. Na akasamehewa madhambi yake… Huwezi jua huenda hio ni njia moja ya kumfamya huyo T akabadilika… Msikate tamaa na rehema za mwenyezi Mungu- Hakuna dhambi isiosamehewa almuradi uombe Toba ya kweli… Masheikh na wachungaji hawapo kwa ajili ya watu wema tu…
Indonesia

@EngMapundajr @CJosephat7 Pesa haipigani dogo nidhamu ya pesa ndo inapigana Nadhani us ndoto kubwa kupata majenerali kama wa hitler au middleast!
Filipino

@believe_juda @Thommunkondya Stendi ya dodoma bravo ila Dar wamezingua na Morogoro ishu sio kukopi mazingira bali ni kujua na bunifu mpya kila siku ifanane na tanzanite na kuna ideas kibao.
Filipino

@Thommunkondya Kuna kitu Cha muhimu sana wataalamu wetu wanasahau au wamiliki wa miradi Wana sahau, Design kwa kuzingatia Utambulisho wa sehemu au design kwa kuacha alama. Walicho kufanya kwenye SGR wamezingatia utambulisho wa Dodoma miamba na Dar biashara (soko la madini)
Indonesia

Aliyedesign vituo vya SGR anajua kazi yake he did it well. Kama ile ya Dar es salaam na dodoma kila nikishuka nasema serikali yangu ya CCM ilifanya kazi hapa🙌🏿🙌🏿🙌🏿. Ndiyo maana huwa nakuwa mkali bila sababu mtu akiponda au akitukana mradi wa SGR 😂😂. Ile ni standard ya dunia wakuu.
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o@gabyconscious
@Thommunkondya AlieDesign Stesheni za SGR kaka anafaa kuDesign kila sehemu ya serikali
Indonesia

@spana_Konki Maisha ya ki usa usa yanawavuruga Sana wanangu! Inaweza kuwa bado mnautoto mwingi!
Indonesia

D mbili. retweetledi
D mbili. retweetledi
D mbili. retweetledi
D mbili. retweetledi
D mbili. retweetledi
D mbili. retweetledi
D mbili. retweetledi
D mbili. retweetledi
D mbili. retweetledi
D mbili. retweetledi














