Onesmo Shoo
11K posts

Onesmo Shoo
@OnesmoShoo
In all what I know,I know God is able. #TUJIANGALIE.🦁🦁🦁
Katılım Eylül 2019
2.8K Takip Edilen1.5K Takipçiler

Ni kweli tunawapenda wasafi kama hivi ila sasa.
Umasikini ndio unatutenganisha nao.
Mwanamke ku set standard ni kitu kidogo sana.
Mwanaume kuweka standard inahitaji uwe na pesa.
Sisi wa mikoani tuna afadhali sana maana ukiwa na 500k hakuna manzi anakusumbua MPANDA yote😂
Koku Shekya🇹🇿@koku_shekya
Skin 🍫 dayuuum 🙊😂
Indonesia
Onesmo Shoo retweetledi

Mwandishi Khalifa Said ni miongoni mwa sauti chache katika uandishi wa habari wa Tanzania wanaochanganya taaluma, uadilifu na ujasiri wa kusema ukweli. Ameendelea kujenga nafasi ya uandishi unaolenga si tu kutoa taarifa, bali kuelimisha na kuhamasisha fikra pana za kijamii.
Anajitofautisha kwa uwezo wake wa kuchambua masuala magumu kwa utulivu na umakini, akitoa hoja zenye mizani na ushahidi badala ya mihemko. Uandishi wake unaonesha nidhamu ya kitaaluma, heshima kwa wasomaji, na dhamira ya dhati ya kuona jamii inapata maarifa sahihi ili kufanya maamuzi yenye tija. Huu ni uandishi unaojenga, si kubomoa.
Katika mazingira ambayo mara nyingi yanakumbwa na kelele za taarifa zisizo na kina, Khalifa Said anasimama kama mfano wa mwandishi anayezingatia ukweli, uwajibikaji na maadili ya taaluma. Ni aina ya uandishi unaohitajika zaidi katika kujenga jamii yenye uelewa, haki na mwelekeo sahihi wa maendeleo.
Kwa mantiki hiyo, ni wajibu wa jamii, wasomaji na wadau wa habari kuunga mkono kazi zake na kuenzi mchango wake katika kuendeleza uandishi wa kina, huru na wenye uwajibikaji. Kuunga mkono uandishi wa aina hii si tu kumsaidia mwandishi mmoja, bali ni kulinda mustakabali wa ukweli, haki na mjadala wa maana katika jamii yetu.

Indonesia

@PhysicsJ7 @TBoundBuses Usikute ndio bei walo mwandikia, michezo.
Indonesia

Hii ni kadi ya babu yangu ya mwaka 1952, alipokuwa mpinzani wa serikali ya wakoloni kupitia Kilimanjaro Chaga Citizens. Leo nimejisikia kuwa na nguvu sana baada ya kuiona. Najua babu yangu alikuwa mcha Mungu sana, lakini kadi hii imenipa fahari zaidi na kunikumbusha misingi imara aliyosimamia. Inaonyesha ujasiri, mshikamano na hekima ya WACHAGA, huku pia ikibeba ujumbe unaomgusa kila mtu.
Shabaha na amri zao zilikuwa ,
Kuungana
Kupendana
Kuaminiana
Kushirikiana mawazo na mali
Huu ni urithi wa thamani unaoonyesha fahari ya Kichaga, lakini pia ni mwongozo wa maisha kwa yeyote anayetamani umoja, heshima na maendeleo. Kwa kweli inanipa motisha ya kuendeleza alichoanza babu yangu kwa vitendo.
Mmeona hapo , Mawazo na Mali ?? 😂



Indonesia

@TitoMagoti @Roma_Mkatoliki Kijana unaingia maungoni kabisa😀😀
Indonesia


@maxannania @OnesmoShoo bila kuingia kwenye setting na kugonga reset
safari bado mbichi mno
Indonesia

Mimi ni mhasibu, tunasoma taxation kwa kiwango fulani, lakini naomba kusaidiwa na watu walio specialize kwenye Kodi na Uchumi.
Kwa nini kuna kodi kubwa namna hii kwenye Motor vehicle importation kuzidi hata original price ya chombo?
Gari inauzwa 12M halafu important duties/levies ni 18M!! How and why?
Samatime Car Dealers Co Ltd@samatimemagari
Hii Gari inauzwa $4600 Kama Tsh 12M Inakua imefika Bandari salama.. . Ikifikia Bandari salama sasa hio Kodi Yake Kama Imepita Straight of Hormuz.. . Chuma ikifika tu Mama anataka 18.3M utafikiri imetengenezwa Unguja.. . Angalia hapo chini Kikotoo cha Tiaraheii utashangaa..
Filipino

@dee_dnd @maxannania We unasema gari Tu,hapa Mwanza mpaka Nairobi ni karibu kuliko Dar -Mwanza,Kenya(Nairobi) vitu vinauzwa bei nzr,njoo kwenye legal tax clearance ndo utakapo acha ndala🤔, Africa tunashida Sana.
Indonesia

@maxannania Vipi nikiagiza ikafikia kenya then nikaifata kuileta tz kwa kudrive sitokuwa nimekwepa kwa kiasi fulani matozo ya bongo au ntayakuta mpakani?
Indonesia

@SlimZeblues Nahisi miundo mbinu Bado changamoto,wakilegeza Kwa hizi barabara zetu hapatatosha.
Indonesia

Jinsi gari zinapigwa kodi utafikiri kuna viwanda vya magari vya ndani kwahiyo wanaweka kodi mlima ku discourage watu wasiagize, kumbe hatuna hata kiwanda cha baiskeli.
😂😂😂😂
Samatime Car Dealers Co Ltd@samatimemagari
Hii Gari inauzwa $4600 Kama Tsh 12M Inakua imefika Bandari salama.. . Ikifikia Bandari salama sasa hio Kodi Yake Kama Imepita Straight of Hormuz.. . Chuma ikifika tu Mama anataka 18.3M utafikiri imetengenezwa Unguja.. . Angalia hapo chini Kikotoo cha Tiaraheii utashangaa..
Indonesia

@Octavianlasway @kitilam Tanzania viongozi wanalamika na wananchi tunalalamika.
Indonesia

Prof. Kitila @kitilam is showing us a very important direction: we need to rethink how business is done by reducing unnecessary bureaucracy and regulatory barriers. In today’s world, successful businesses are no longer built only in large shops or industries; even a single room can become the foundation of a million-dollar enterprise. This is the time to change our mindset, support innovation, and work toward building a stronger nation.
English

@EngJubel Tunayakimbia Sana magari ya umeme Kwa sababu ya kukosa mafundi.nawaza Sana mwanangu akasomee hii kitu.
Filipino

@prossoff Kwenye mafundisho ya ndoa kuna kipengele cha kuwaacha wazazi, zingatia kuwaacha wazazi.
Indonesia

Mimi nimeoa na naishi nae home.
Hizi mambo inategemeana na nature ya familia, maisha na fikra za wazazi wako.
Kama life mi hard inaweza kuwa shida ila maisha safi ni normal.
Brave man@thomas_yona_
Ni sahihi Mwanaume kuoa kuishi na mwanamke kwenu?😎
Filipino
Onesmo Shoo retweetledi
















