Sabitlenmiş Tweet
Msingidani
4.9K posts

Msingidani
@Raissingidan
Shule ilitudai Elimu Mitaa inatudai Mafanikio 🦅
Katılım Temmuz 2024
715 Takip Edilen384 Takipçiler

Ugomvi na huyu dadda aliemzalisha mtoto
Trica Online Store@TriciaAbou
Shekh Walid kafanya nini tena huko 🤔 Sababu ni ipi sasa waliyofanya wakamtoa ? Aliyekaimu sasa 🤔
Slovenščina

@Addy_Adams Mtu akiweza kushinda zinaa lazima afanikiwe kama anapambana
Zinaa inatesa
Zalilisha
Msongo wa mawazo
Hii kitu sio poa
Indonesia

@Fefe_doll Hivi demu hadi anafikiria kula nauli ya msela maana yake nini
Indonesia

Sasa ww unitwa HAMIS na unasuka anashindwa kukutofautisha na MWANAHAMIS but your so beautiful mrembo we inama piga deki MF si mikazo zero.

Ng@tt@ b○€✝@Ngattaboe99
Mwenye nyumba wangu kama chizi vile yaani wanawake wote kwenye hii nyumba mpaka anipange kwenye usafi wa Choo hizi dharau..
Indonesia

@BillyTronix1 Nunua kwa Boss kwezi ulie na ukoo wako! 😂
Filipino

@EdwinMjeru Fursa yeyote ile ina kusudi kubwa hapo mbele uvumilivu na nidhamu ndio msingi
Eesti

Kuna jamaa alituma CV yake kampuni XYZ kuomba kazi position ya Tour guide.
Akapigiwa simu, akaambiwa “Kwa sasa hatuna nafasi ya tour guide ila tuna uhitaji na mtu wa reception. Kama uko tayari njoo piga kazi”.
Jamaa bila kusita akaenda kupiga kazi kwa moyo wote.
Siku moja kulitokea dharura, moja ya Ma-Guide wao hakuweza kufika kazini. Na kwa kuwa ili kuwa high season, alihitajika mtu wa kwenda na wageni siku hiyo hiyo porini.
HR akamvutia jamaa waya, John jiandae leo unaenda porini na wageni.
Kuanzia hapo John akabadlishiwa kitengo. Akawa kwenye timu ya Ma-Guide.
Unajifunza Nini hapo?
Filipino

Manzi status yupo kwenye night party na mashoga zake, status anapokea zawadi kutoka kwa mpenzi wake anawekewa zawadi na cash ya kututishia maisha walimwengu, picha za kwenye vioo macho matatu matatu,..
Yani kwenye Raha zake ana mpenzi wake na marafiki wengine,. Subiri akwame, ndio ananipigia mimi sasa tamisemi kitengo cha maafa😂💔,.. Roho mbaya ya hapo nitatubu tu😂🤝.
Indonesia

@MkulimaKante @Torpedotz Hakinga na wachaga wakiona hii wanasema kumbe watu pesa wanayo sio wao tu🤠
Indonesia

@Labella_Mafia95 Tuishi kwa Utu ,Upendo Na kujali wenzetu kama binadamu
Indonesia






















