Simon Sanga

202 posts

Simon Sanga

Simon Sanga

@SSanga60156

Katılım Nisan 2026
120 Takip Edilen26 Takipçiler
Essiiie Kapambala
Essiiie Kapambala@DadaEstie·
Kuna Mlevi Kasimama Kama Anayumba Hivi Anataka Kudondoka Ila Hadondoki. Yupo Anatabasamu Muda Wote. Natamani Nkamuongeleshe Nijue Anawaza Nini Mpaka Anatabasamu Hivyo Tucheke Wote Make Whueeee.
Filipino
4
4
26
1K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Buyobe baada ya kupewa dhamana, alisema kwamba anataka kuondoka nchini kwasababu maisha yake yapo kwenye risk maana Mafwele anamtafuta sana na aliahidi kwamba lazima atamfira kama akina Boniface Mwangi. Wakati ule baada ya mambo ya Oktoba 29, mipaka ya kwenda nchini Kenya ukiwa unatoka Tanzania ilikuwa na ulinzi mkali sana kwasababu Serikali haram ilikuwa inaamini kwamba watu wakitaka kukimbia option yao ya kwanza ni Kenya so Buyobe alishauriwa kwamba aende nchini Zambia kwasababu hakutolewi sana macho kama Kenya lakin alikataa kabisa option ya kwenda Zambia, akang’ang’ania kwenda Kenya so ikabidi washauri wakubaliane nae. Akaenda Kenya lakin hata alipokuwa Kenya kuna wadau aliwambia kwamba Polisi wameenda nyumbani na kazini kwa mkewe CRDB, walimsumbua sana mkewe ili awaonyeshe alipo yeye. Cha kushangaza ile siku ya tukio la utekaji aliposikia kwamba Mshabaha amenusurika kutekwa, Buyobe akakimbilia Busia badae akarudi zake Bongo kuendelea na maisha yake mpaka leo. Je vitisho vya Mafwele dhidi ya Buyobe viliisha baada ya kufeli kwa Jaribio la kutaka kumteka Mshabaha? 😂😂😂. Je baada ya kufeli kwa jaribio la kumteka Mshabaha, Polisi waliacha kumsumbua mkewe.?
Filipino
45
95
746
30.4K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Uko Bunda kuna mzee ana miaka 45 amekutwa amefariki Gest house akiwa na mpenzi wake. Taarifa ya Polisi inasema huyo mzee alifariki kwa kupata shambulio la moyo na alianza kujisikia vibaya, aliishiwa nguvu na kuanza kupumua kwa shida mwishoni akafariki dunia. Aisee
Filipino
77
27
276
18.9K
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Mkali hataki dharau kabisa ..😅😅😅
Eng.Mapunda Jr tweet media
Indonesia
41
34
315
17.9K
Njiwapori 10k
Njiwapori 10k@njiwapori_·
Nikikumbuka tuliwahi kuhama humu tukaenda Truth eti ili tumkomoe tajijri namba moja duniani huwa nachoka kabisa 🤣🤣🤣
Indonesia
41
68
369
13K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Kuna mahali nimejibu Tweet nikijua mtu anaongelea wanawake kumbe kuna kasheshe zimetokea humu na sina habari 🙌🏼
Filipino
32
17
306
14.6K
MAIPAMBO JR
MAIPAMBO JR@maipambomteta·
Nimetimiza siku ya4 bila kuoga ila kula nimekula kwa mdogo wangu @Ibrah_Sheby dogo ulitisha sana jana uliniokolea $10,sema nini sikuingine tukikutana kwa folen nipe na maji ya kuoga.😃
Zambia 🇿🇲 Indonesia
10
14
49
1.6K
MAIPAMBO JR
MAIPAMBO JR@maipambomteta·
Kuna kamsafara ka jeshi la comgo nime kutana nako kwenye kona fulani,jamaa wa mbele ana nilazimisha niingie porini ilinikwame au gari ianguke kabisa,kaninyoshea kidole na mimi nimempa cha kati,hapa nasikilizia kama watanirudia.🚶
Zambia 🇿🇲 Filipino
4
12
65
3K
Sarafina
Sarafina@Finah_Business·
Nimetembea soko la Mabibo, buguruni na stereo.... ...nakiri kusema soko la stereo-temeke mazaga bei rahisi mnoooo🙌 Hapa 33,000
Sarafina tweet media
Filipino
100
59
346
23.5K
Simon Sanga
Simon Sanga@SSanga60156·
@danchibodc mabadiliko yanakuja kwakufanya kazi omba uzima tu kwa Mungu mengine yapo juu yako
Indonesia
1
1
1
13
Dan Chibo (DC)
Dan Chibo (DC)@danchibodc·
Wangapi kati yenu mnaamini kwamba Mungu anaweza kubadilisha hali yenu ya kiuchumi kwa usiku mmoja?
Indonesia
12
14
136
2.2K
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
Madini yakikuktwa shambani kwako hayo ni ya serikali na huna kesi ila bangi ikikutwa shambani kwako kesi ni yako na utajibu.
Indonesia
6
4
44
1.4K
Sarafina
Sarafina@Finah_Business·
@gee9060 Huoni njegere? Kuna samaki pia, maharage😹
Eesti
3
0
0
1K
It's Hunaiya 💋❤️
It's Hunaiya 💋❤️@Hunaiya153989·
Ugonjwa wa macho ungenioneaga huruma kila mwaka unanifanya wa mfano macho yenyewe makubwa unakutana na mtu anakuambia huwezi acha bangi wewe 😒😔
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
5
7
27
386
SIMA
SIMA@abelsima45·
Ukitaka umteke umteketeze manzi wa mbeya usiangaike sana we mpeleke hapa tu atakupenda milele;
SIMA tweet media
Indonesia
1
4
5
61