Sabitlenmiş Tweet
Said S Yande
13.7K posts

Said S Yande
@SaidYande
UnshakableOptimist. Trader. Father. Metals Dealer. Some people never find it.some only pretend,but i just want to live happily after every now and then.
Kahama/Mwanza Katılım Aralık 2012
879 Takip Edilen489 Takipçiler
Said S Yande retweetledi

#TajiriLaKihaya
Mungu “alimwinua” Donald Trump kuwaua “Wairani wa Kiislamu” kwa ajili ya “Wayahudi”
wachungaji wakuu wa KIKRISTO katika White House wakati wa Easter
Indonesia
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi

Kumnyamazia mtu aliyekuudhi ukiamini bado haujawa tayari kwa mazungumzo magumu yanayolenga kuurejesha au kuusitisha rasmi uhusiano ni ukomavu wa kihisia. Kuchagua kunyamaza ukiwa umekasirika, kupooza maumivu, kutawala hasira, kisasi na kiburi ili kujipa muda wa kumaliza ugomvi kwa amani ni hekima hisia.
Kuna wakati aliyekuudhi anajua fika makosa yake na huenda amefanya makusudi kuona utafanya nini. Ukimwambia makosa yake unaweza kujiingiza kwenye mtego utakaochochea na kuzidisha tatizo. Unaponyamaza kwa lengo la kutuliza dhoruba ya hisia —si kumdharau mwenzako, kujikweza, kushindana wala kutunishiana misuli— hiyo ni hekima kubwa ya hisia.
Lakini kuna ile unatoweka kwenye maisha ya mtu mliyekuwa karibu bila kumjulisha sababu za kimya chako. Unanuna, unazira, unamnyamazia mtu bila maelezo yoyote rasmi, unafanya hivyo kama namna ya kujikweza, kumdharau, kuchezea hisia zake, kukwepa mazungumzo magumu au kumwuumiza hii inaweza kuwa dalili ya uchanga wa kihisia. Hata kama kweli umeumia, kutoweka na kumwacha mwenzio bila taarifa ni KIBURI. Hupungukiwi kitu kumuaga mwenzako ajue ukurasa wenu umefungwa rasmi.
Indonesia
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi
Said S Yande retweetledi



















