Saidi Ali Saidi

3.3K posts

Saidi Ali Saidi banner
Saidi Ali Saidi

Saidi Ali Saidi

@SaidiAliSaidi2

Pwani, Tanzania Katılım Şubat 2016
363 Takip Edilen108 Takipçiler
Saidi Ali Saidi
Saidi Ali Saidi@SaidiAliSaidi2·
@Bahati_thepoet @Sativa255 Watoto wa vikopo huwa hawapati malezi halisi yawezekana umeangukia kwenye uchokoraa maana hata hao ndugu wa mama yako hawakujui umepelekwa shule na hao mapadre au masister soba ya malezi huoni shida kutoa tusi maana hata huyo mamako Aliyekuzaa mmepotezana
Filipino
2
0
0
7
B A H A T I
B A H A T I@Bahati_thepoet·
@SaidiAliSaidi2 @Sativa255 Wewe mwenye Baba wa halali mbona akili Mkunduni?? Au Baba yako alimwagia njee mama yako akazichota akaingiza na mkono?
Filipino
1
0
0
11
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Mzee Warioba ashapambana na VIBAKA wa BASHITE 2014 kwenye mdahalo wa katiba mpya. Leo tena mzee WARIOBA kwa misimamo yake iliyonyooka sana kusimama na wananchi kuna VIBAKA wanaumia sana wameanza kumtisha mzee wetu. Wanaoumizwa na misimamo ya mzee Warioba wa kwanza ni takataka SAMIA, likimkuta baya mzee wetu tutanyooka na DIKTETA JIKE mwanzo mwisho. Kama hamtaki maoni ya watu wenye akili timamu turudisheni RASMI UTUMWANI tujue tunatawaliwa na wakoloni weusi wasiotaka maoni yetu. Sio mambo ya kuviziana kama tunawinda Sungura mbugani. Haiwezekani tutasimama na mzee WARIOBA KWA WIVU MKUBWA SANA. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet media
Filipino
11
116
833
28.1K
Saidi Ali Saidi
Saidi Ali Saidi@SaidiAliSaidi2·
@Bahati_thepoet @Sativa255 UKIWA HUNA BABA HALALI WEWE NI MTOTO WA KIKOPO HUWEZI KUWA NA NIDHAMU ALWAYS NI AFADHALI YA HAYAWANI ANA AKILI KULIKO WEYE DAIYUTHI BARADHULI
Filipino
2
0
0
7
B A H A T I
B A H A T I@Bahati_thepoet·
@SaidiAliSaidi2 @Sativa255 Wewe hunywi pombe ila un akili kama za kuma ya dem wako. Always wide and open. Ukinywa pombe sasaa 🤦‍♂️
Filipino
1
0
0
10
Saidi Ali Saidi
Saidi Ali Saidi@SaidiAliSaidi2·
@andunje99 @Sativa255 SINA WATOTO KWA SASA NI WAJUKUU TU ALHAMDUL LILLAAH RABBIL LAALAMINA NAO WANAJITAMBUA TENA ZAIDI SI KUKAIDI KILA JAMBO TU NI DHAHIRI KUWA SIWASOMESHI MAANDISHI NAWAELIMISHA JINSI YA KUWAEPUKA KUWA VIJANA WA HOVYO WASIO NA MAADILI KAMA NYINYI
Indonesia
1
0
0
11
Saidi Ali Saidi
Saidi Ali Saidi@SaidiAliSaidi2·
@Kingkidume_ Bila shaka wewe bado mdogo humjui Warioba alikuwa anakunywa gongo anakwenda kuchukua mwenyewe anapaki gari pembeni anamtuma mtu kwenda kumbebea kisha anaenda kunywea huko
Indonesia
0
0
0
5
Kingkidume
Kingkidume@Kingkidume_·
Baada ya hapa na wewe utaenda msikitini kuswali au sio?😂
Saidi Ali Saidi@SaidiAliSaidi2

@Sativa255 TOKEA LINI MLEVI AKAWA NA HIKIMA YA KUZUNGUMZA MZEE WARIOBA ANAJULIKANA NI MLEVI WA KUTUPWA HATUSHANGAI NA UJINGA ALIONAO

Indonesia
1
0
0
8
millardayo
millardayo@millardayo·
Sintofahamu imezuka baada ya mtoto aitwaye Shabani Sadick (14), Mkazi wa Kimandolu Mkoani Arusha, kudaiwa kufariki dunia kwa kunyongwa ndani ya nyumba ya jirani baada ya kuitwa na dada wa kazi wa nyumba hiyo kwa lengo la kumpatia chakula. Kwa mujibu wa taarifa za familia, tukio hilo lilitokea Mei 9, 2026, ambapo Dada wa Marehemu Sada Sadick, amesema dada huyo wankazi alimwita mdogo wake kwa mda mrefu na kwa msisitizo ndipo alienda kumsikiliza na baada ya mdogo wake kukaa kwa muda mrefu bila kurejea, aliamua kwenda kumfuata ambapo alipofika katika nyumba hiyo, alidai kumkuta Shabani akiwa ananing’inia kwenye kamba akiwa katika hali mbaya huku Mfanyakazi huyo wa ndani akiwa amekaa pembeni. Aidha, Mfanyakazi huyo wa ndani anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya uchunguzi zaidi, huku kaka yake akidaiwa kuachiwa kwa dhamana, jambo ambalo limeibua maswali na mashaka kwa familia ya marehemu ambapo Mama mzazi wa Shabani ameomba mamlaka husika kulifuatilia kwa umakini tukio hilo, akisema kuwa taarifa walizozipata asubuhi ya leo haziendani na kile wanachoamini kuwa chanzo halisi cha kifo cha Mtoto wao. #MillardAyoUPDATES
Indonesia
9
4
120
19.1K
Christian Bwaya
Christian Bwaya@bwaya·
Msonga @Udadisi umewahi kufika Mwitongo kushuhudia unyenyekevu katika maisha halisi ya Mwalimu? Mbali na kukalia kiti alichokalia Mwalimu akiwa na familia yake, pale unauona uhalisia wa Mwalimu aliyeamini binadamu wote ni sawa na kwamba kuwa Kiongozi hakumaanishi uwe tajiri. Kwa hakika Mwitongo ni zaidi ya shule kwa kizazi chetu kinachoonekana kuamini katika fursa za kujinufaisha, na kwamba kujikusanyia mali ndio kipimo cha mafanikio ya mtu. Nchi yetu ina bahati ya kuwa na baba wa taifa aliyekuwa kiongozi si tu kwa hotuba zenye falsafa ya kina lakini pia hata matendo yake yalithibisha kile anachokiamini.
Christian Bwaya tweet mediaChristian Bwaya tweet mediaChristian Bwaya tweet mediaChristian Bwaya tweet media
Indonesia
7
12
59
4.6K
Saidi Ali Saidi
Saidi Ali Saidi@SaidiAliSaidi2·
@chapanombombwi TUNASOMA NA KUANGALIA MAMBO YANAVYOENDA DUNIANI SIYO HABARI ZA HUYO BARADHULI HAYAWANI LISSU TUNAANGALIA MAMBO YA UCHUMI WA DUNIA ONDOENI TAKA ZENU KWENYE MITANDAO HUU
Indonesia
0
0
0
24
sultan
sultan@chapanombombwi·
Upo gerezani kwa sababu ya kulijali na kulithamini taifa, ukidai Tanzania yenye uhuru, haki, mageuzi, chaguzi huru na uwajibikaji. Usiku mwema Mwenyekiti. Ipo siku ambayo utaing’arisha na kuifanya Tanzania kuwa imara tena. Watanzania wanakupenda sana!
sultan tweet media
Indonesia
12
48
241
3.8K
sultan
sultan@chapanombombwi·
Mheshimiwa Tundu Antiphas Lissu atakuja kuifanya Tanzania kuwa nchi salama yenye amani, haki, na uwajibikaji wa kweli.
sultan tweet media
Indonesia
28
114
643
9.7K
Saidi Ali Saidi retweetledi
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
Chuki, husuda, wivu na kinyongo haviwaumizi wengine—vinamuumiza zaidi mwenye kuvibeba. Usijidanganye kwamba ni sumu kwa wengine; ni kama kunywa sumu ukitegemea mwingine afe. Ukweli ni rahisi: wewe ndiye unaathirika kwanza, kabla ya yeyote.
Indonesia
29
141
617
10.6K
Saidi Ali Saidi
Saidi Ali Saidi@SaidiAliSaidi2·
@mchina_jr94958 MTAANDAMANA NYIE WATU WA BARA HUKO MIKOANI NA WA MIKOANI WANAOISHI DAR SISI WASWAHILI WATU WA PWANI NA VISIWANI PAMOJA NA ZANZIBAR HATUWEZI KUANDAMANA KWA AJILI YA MTU WENU MWEHU MMOJA KWA AJILI YA MASLAHI YENU WAZEE WA VIKOBA WALEVI NA WAZINIFU CHADEMA
Indonesia
0
0
0
7
Saidi Ali Saidi
Saidi Ali Saidi@SaidiAliSaidi2·
@DullahKombo @moodewji Ukiona hivyo ulianza wewe mwenyewe na siyo wanamufanyia tu bila sababu jiulize kwanza lini uliwazia au kumfanyia ubaya mwenzako
Indonesia
0
0
0
9
Dullah Kombo
Dullah Kombo@DullahKombo·
@moodewji Kuna wanao kutangulizia ubaya unavumilia mpaka inafikia hatua nawe unamuomba mungu awapitishe kwenye kasheshe walio kusababishia ili wapate kujifunza pia. Roho ina mwisho wake wa subra
Indonesia
1
0
6
480
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
Usiwafanyie watu mabaya tu, bali pia usiwatamanie mabaya mioyoni mwako. Maana dunia ina mzunguko—unayotenda au kutamani kwa wengine, nayo hukurudia. Chagua wema kila wakati. 🙏
Indonesia
57
215
938
18.7K
Saidi Ali Saidi
Saidi Ali Saidi@SaidiAliSaidi2·
@Liberatus80 UNAJUA KISWAHILI SAWA SAWA MAANA YA UREFU WA KAMBA YAKE NI KILE ULICHOJAALIWA KUKIPATA SIYO KULA RUSHWA AU KUZUNGUKA MBUYU KWA KISWAHILI CHETU SISI WASWAHILI SIYO NYIE MIJITU YA BARA HUKO KWENU MIKOANI ZUNGUMZENI KISUKUMA SIYO KISWAHILI MTAELEWANA
Filipino
0
0
0
67
Liberatus Mwang'ombe
Liberatus Mwang'ombe@Liberatus80·
Bashite: “wengi wanaokemea rushwa ni kwa sababu ya njaa tu, hawaja ingia jiloni” samia suluhu hassan: “Kuleni kadri ya urefu wa kamba zenu, ratio mna kula sana” Pombe Magufuli: “rushwa za elfu tano tano chukueni hizo za kubrashia viatu” Tukiwaambia maCCM wameiharibu nchi muwe mnatuelewa. #SamiaMustGo #TanzaniaMasika #FutaTumeYaChande
Liberatus Mwang'ombe tweet media
Indonesia
8
30
131
5.4K
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
Niseme tu Kwa umri wake wa Sasa huyu Ray Kigosi hastahili kunyoa namna hii, basi tufanye haya ni maisha yake. Lakini kitendo Cha yeye kwenda msibani akiwa hivi tena kavaa na hereni ni kitu ambacho Kwa upande wangu naona siyo sawa, nimemuona Joti Kila mtu anajua staili yake ya nywele, Lakini alikuwa kavaa kofia na kanzu safi anaendana na tukio. Msiba wa Hashim Kambi siyo wakwenda ukiwa namna hii yule alikuwa kama mzazi wake.
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️ tweet media
Indonesia
96
6
245
53.5K
Bavicha Kanda ya Pwani
Bavicha Kanda ya Pwani@Bavicha_Pwani·
KONGAMANO LA WASOMI. Chadema Students Organization (CHASO) Tarehe 02/05/2026 wasomi wa vyuo vikuu na vya kati Mkoa wa Dar es Salaam na vyuo jirani watakutana ndani ya ukumbi wa Landmark Hotel, Muda ni saa 3 asubuhi, Mgeni rasmi ni M/Mwenyekiti wa Chadema Mhe. John Wegesa Heche.
Bavicha Kanda ya Pwani tweet media
Indonesia
2
38
130
1.1K
Mwl.Keberenge wa Nyasaricho
Mwl.Keberenge wa Nyasaricho@mwlkeberenge·
Huyu @BrendaRupia Mkurugenzi mkuu Wa Mawasiliano ya Wa CHADEMA si mnaona hata ngeli yake inavyonyooka sana? Iko hivi huezi mlinganisha na yule kihongosi wa mbogamboga na kingereza cha garisoni wa kupuyaya 🤣.
Mwl.Keberenge wa Nyasaricho tweet media
Indonesia
13
42
334
10K