Pius
8.8K posts


@MahamudMgunda @VitusNkuna hawajasombwa na Magari hao ,Kuwe na mazingira safi ya siasa kabisa Tume iwe huru yaani Neutral huwezi kuamini mpaka walioko CCM watachagua hiki chama naongea kama mwanaccm Na ni kiongozi mahali ila kwa ajili ya ukweli nakwambia jamaa wanapendwa mpaka na watoto wa shule za msingi
Indonesia

@Nurjan_seyd @kapeto98 most of successful people in the world are from Choleric asili yao ni wachoyo specify
English

Ni kesho hiyo, kwangu kesho itakuwa mapumziko ya siku….
Andaeni mioyo yenu enyi wahalifu mliopanga mapinduzi na akili zitarudi kwenye factory settings tu,
Makundi ya Kisiasa, Kidini na Kiharakati yote yaliyochochea mapinduzi, yaliyoratibu mapinduzi, yalifyoanya mapinduzi, yaliyoua WANANCHI, yaliyoua POLISI, yaliyoharibu mali za watu na mali za umma, yote lazima yawajibike!
Baada ya ripoti hii kusomwa na kuwajua wahalifu wetu, Kuna njia mbili tu ziko mbele yenu; 1: Unganeni nasi kuliponya taifa kwa maridhiano na tusameheane kwa yote yaliyopita, 2: Mkono wa sheria utawale na yeyote aliyehusika kwa namna yoyote ile awajibike ikiwemo waliokimbia kwenda kujificha Nairobi warejeshwe waje wawajibike!
Taifa litapona, tunaisubiri kwa hamu kubwa ripoti hii kesho!
Na Yericko Nyerere

Indonesia

#TajiriLaKihaya
Mwaka Juzi nmewahi kutuma 50k Kwa Random tweep…
Kipindi Kile watu wanacomment namba zao Wanaokota Randomly….
Jamaa alikua Chuo pale IFM…akaniambia
“Tajiri leo nlikua nalala njaa… umenisaidia saana… Kwa heshima hii Niambie kesho saa 10 jioni utakua wapi nataka nkupe zawadi”
Nkampa location pale Mediterraneo Restaurant…
Alifika na Manzi mkali balaa… kidogo dogooo,Kibichi,muarabu mswahili hivi,Kitoto cha Zanzibar-22 yrs…
Nafikiri Ile ni miongoni mwa Zawadi Bora kuwahi pata humu X…
To cut the long story short…. Huyo Binti kanitumia sms Anaolewa tarehe 29 mwezi huu kwenda Oman💔
Ila anataka this weekend Aje Kuniaga…
Sasa sijui anataka kunipa zawadi gani,aisee!
Au ni Maua😅?
Indonesia

@INFLUENCERjr Wivu ni Hatua ya mwisho baada ya hapo ni uchawi moja kwa moja au kuwa Mganga Wa Kienyeji 😎😎
Indonesia

Msimamo wangu ni ule ule dogo hana kipaji anabebwa na jina la mshua. Anatumika kutimiza historia ya mshua na sio kuandika yake.
Transfer News Live@DeadlineDayLive
🚨 Al-Nassr are considering promoting Cristiano Ronaldo Jr to the FIRST TEAM. 💎🤯🇵🇹 The possibility of Ronaldo playing alongside his son is becoming REAL. 🥹 (Source: @alweeamnews)
Filipino

@abas_baraka @Narrowbeeflying Samaki waliwekwa wapi?,,,au lilikuwa na bwawa
Filipino

Mtakufa na roho zenu mbaya 😁
Nyie hata matajiri wanachangia kwa kulazimisha tena siku hizi hawataki hata watangazwe!
Sasa we pesa zetu tunachangia tunakotaka kinakuuma?! Utakuwa mchawi si bure 🤣
Kenani mwenezi mbovu sana! Sasa kama kiongozi familia yake iko Ulaya inakuuma nini? Mbona familia za viongozi wenu kama familia ya mama yenu wanaishi Dubai na Oman?
ENIWEI Watu hawachangii mtu wanachangia CHAMA!
Lakini hata Lissu alichangiwa tukiamua
CCM hamna uwekezaji ni uporaji tu! Siku mkitoka madarakani chama kinakufa
Ndo maana umePANIC 🚮
Nasema #TutaelewanaTu
Indonesia

Kiukweli.
Am not into classy ladies.
Hawa napenda niwaone nipite ivi.
Nitaishia kusema wanapenda hela siwawezi.
Bahati nzuri, MPANDA wa hivi hakuna.
Huko town ndio wamejazana.
Kiukweli nikiona mwanamke ana look safi na smart.
Huyo naacha aendelee na maisha yake.
I know kwa sasa mwanamke kama huyu.
Anataka
WiFi
Set ya mafuta ya ngozi
Kucha 10k au zaidi kwa wiki
Asuke poa
Ale vitu vya bei
Gym subscription ya mwezi
Outings
Vyakula vya kununua
Kazi hawataki hata kufua.
Hawa mimi heri nionekane sina hela which is true sina za kufanya hizo expenses nikatengeneza GENERATIONAL WEALTH.
Wanaowaangukiaga hao mara nyingi ni ma bishoo wana pesa kiasi ila hawaoni kazi kuzitoa na hawapigi hatua.
Au wale walishajipata katika age ya 35 hapo kupanda.
Hawa hawawezi kuwa wake.
Hawa ni viburudisho.
Tusio na pesa tunajua.
Either ajilete mwenyewe, awe msimbe au mke wa mtu asielidhika na kwake hivyo ka umalaya.

Filipino

@mananajr_ Sijawahi kuwatafuta watu na hata wazazi wangu tu niliwashirikisha mama wageni kwa kuwaambia naoa yaani Taarifa siyo kuwauliza na kila kitu kuanzia mahali mpaka sherehe naam mke wangu ananipenda sana na kwa sasa nina watoto 2 no problem
Filipino

@SirPius15 @INFLUENCERjr Hii hawezi kukujibu na hawezi kuiona
Indonesia

Siku watu wameelimika sana, isipokuwa hiyo familia sijui wana tatizo gani, na hawana aibu!
joseph_selasini@joeselasini
Naibu Waziri wa Elimu wa Tanganyika Wanu Hafidhi. 😂😂😂😂😂
Filipino

@AlexSamoja Kuna Hotel (×) pale njombe ndio mambo yao! Pale ukibook room wanakuletea automatic heater.. ila wakiona ni mgeni kabisa(Sio mwenyeji kwenye mazingira ya baridi) huwa wanasema kabisa ukishindwa kulala mwenyewe tujulishe tutakuletea mtu akupe kampani!
Indonesia

sehemu yenye huduma Nzuri za Guest ni Rukwa-Kalambo, Tena kipindi cha Baridi wanachemshia wateja maji ya kuoga kwenye PIPA, unaulizwa kama unataka ya moto anakuletea, akileta anakuuliza, hili baridi utaweza kulala peke ako? tukupe kampani, ukisema hapana nalala mwenyewe Ananuna anaondoka.
Greatness Tupu Kalambo 🙏🙌

Indonesia

@INFLUENCERjr kama kigezo ni Kuwa Nominated kwenye Ballon D'or nambie Kama kuna Jina la Mshindi wa Ballon D'or mwenyewe hapo
Filipino

@SirPius15 Lamine ni 2 kwenye Ballon D’Or, Olise alikuwa wangapi?
Filipino

















