
CAPT DUPA🦅
1.1K posts

CAPT DUPA🦅
@ThinkTa36693699
I think therefore I am✊🏽.
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Şubat 2022
913 Takip Edilen207 Takipçiler

@EsirEid IMAGINE BWANA WAKE NDIO AMEISOMA HIO QUOTE YAKO, TAJIRI HUPENDI AMANI KABISA
Filipino

#TajiriLakihaya
This is the first time I’m going to assist a woman online in buying a new iphone and it’s bcos I’m in a good mood today and you are an Arsenal Fan.
Go to any phone dealer shop and take iPhone 15 Pro Max and send the invoice to me…
Ila Hakikisha upo SINGLE and Ready To Mingle😅 it’s when i’ll pay!
Ms.Minnah🧕🌹@Minnahbanks
Ndo naamkaaa ✊️🤣CHAMPIONS OF ENGLAND ..Mniongeleshe vizuri 💃
English

@Isayadicksonjr KIGAMBONI CITY COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE (KICCOHAS)😂😂
English

@Maestrowafact @Mwinshehe07 Kuna haja gani ya kumtukani mzee?
Indonesia

@Maestrowafact JAMAA YUPO KAZINI, JITAHIDINI KUMUELEWA TU!
Indonesia

Pointi nzuri sana kutoka kwa Zamwamwa yani ni heri uwe na mafuta ya 4k+ ambayo huwezi kuyanunua kuliko kukosa mafuta ambayo huyamudu? Kwa mantiki yako hata tukiwa na njaa lakini maduka yamejaa vyakula cha bei mbaya tuseme tumefanikiwa kwa sababu chakula kipo madukan?
MR BEN@Eric__Bernard
Sasa hivi mambo ya bei sio ishu ishu kuwa na mafuta…Serikali yetu imefanikiwa sana kwenye hilo…nchi nyingi zinasuffer uwepo wa Mafuta. Duniani huko nchi nyingi watu wana hela ila hawana mafuta!
Filipino

@Eric__Bernard Hata huyu Jeff nae anayo hiyo tabia ya kuingilia
Filipino

Hans kazingua leo anapenda sana kuwaingilia wenzake wakiwa wanazungumza na kujenga hoja zao.. Anakera sana... Watu ambao huwa hawapendi kuwapa wenzao nafasi wazungumze huwa miyeyusho
Zee la Vyeti (PhD)@babalao__
Mkai na Hans ipo siku watakuja kupigana studio... Leo Mkai kachukia sana.
Filipino

Jana nilifurahi sana kuonana na Mzee wangu Richard Mabara, huyu Mzee ni Mzalendo sana.
#Statesman

Filipino

@Samalentips @Samalentv NIKAJUA MKAMALIA UTAKUA NA AKILI KUMBE KUMA TU NAWEWE
Indonesia

KAULI ZILIZOTUMIKA NA WAANDAMANAJI KATIKA UCHAGUZI MKUU 2025- SAMIA MUST GO,OKTOBA TUNATOKA NK
Follow @samalentv & @Samalentips #tumeyauchunguzi #jajichande #oktoba29 #uchaguzimkuu2025

@Mwitah_tz @EduTalkTz Sasa huwezi wewe info umepata wapi? Au ndio nyie wakujifanya TISS uchwara
Indonesia


Mjomba wangu Yohanes Laurent Mhapa-Pa, ametutangulia 💔
Imechukua muda kupata nguvu ya kuandika ujumbe huu
Mwaka jana, mwezi wa saba, Uncle Pa (32) alipata ajali ya bodaboda huko Zanzibar. Tangu siku hiyo, tulipambana kwa kila njia kuhakikisha anapata matibabu bora. Kwa msaada mkubwa wa brother @IsmailJussa na aliyekuwa Waziri wa Afya Zanzibar, brother Nassoro Mazrui, alipatiwa huduma kwa wakati. Alipata nafuu na hali yake ikawa imara/ilitengemaa, lakini vipimo vya MRI vilionyesha kulikuwa na mtikiso kwenye ubongo.
Baada ya hapo, tulimsafirisha kwa ndege hadi Muhimbili, Dar es Salaam, kwa matibabu zaidi. Brother Nassoro Mazrui alifika hadi Muhimbili kumjulia hali, kitendo ambacho kimeacha alama kwangu na familia yetu yote. 🙏
Kwa zaidi ya miezi minane, Pa alipambana na hali yake ya afya, akiwa anapata mara kwa mara vipindi vya mshtuko (seizure). Lakini bado alibaki kuwa yule yule, mwenye moyo wa furaha, mcheshi, na mwenye kipaji kikubwa.
Wikiendi iliyopita, alisafiri kutoka Dar kwenda Makambako kusalimia familia. Akiwa amechoka, aliamua kupumzika. lakini hakuwahi kuamka tena.
Jana, Jumanne, Aprili 21, 2026, tumemlaza katika nyumba yake ya milele. 🕊️
Uncle Pa hakuwa tu ndugu, bali alikuwa rafiki, mshauri, na mtu wa kipekee sana. Hakujua kuchukia, na alikuwa mwepesi wa kusema, “Nimekosa, nisamehe.” Very humble young man.
Pa alikuwa na kipaji cha hali ya juu katika graphic design na upigaji picha. Yeye ndiye aliyesimamia kazi zote za picha na graphics kwenye kampeni zangu Mbarali. Kazi yake itaendelea kuishi, lakini pengo lake haliwezi kuzibika. Alikua dereva wangu pia muda mwingine.
Ninatoa shukrani za dhati kwa brother Mazrui na brother Jussa kwa msaada wenu mkubwa mlipotusaidia Zanzibar. Mlionesha ubinadamu wa hali ya juu. Allah aendelee kuwabariki na kuwapa moyo uleule.
Shukrani kwa wanaCHADEMA kutoka Mbarali kwa kwenda Makambako kumpunzisha Paa wakiongozwa na M’kiti wa Wilaya, Peter Mwashiti, Katibu Mwenezi Lugano Mwaipasi, M’kti wa BAWACHA Rose Mballa, M’kiti wa BAVICHA Mwamini Lukala na viongozi wengine wote.
Shukrani viongozi wa Kata zote Kutoka Mbarali kwa kwenda kumstili Mwana-Mbarali (Kutoka Makambako) aliejitoa kwaajili Mbarali.
Shukrani za kipekee kwa viongozi wa CHADEMA wa Makambako kwa namna mlivyo upokea msiba na kuuendesha 🙏
Uncle Pa, remember, I will always keep you in my prayers. I will never forget you or the precious moments we shared together.
Pumzika kwa amani, mjomba wangu. Umeacha alama isiyofutika moyoni mwangu. 🕊️
Rest easy, uncle.




Indonesia

@HakiBalozi255 @joeselasini WE NAE ODERO WANAKUTOMBA NINI?
Indonesia

@ThinkTa36693699 Sasa si mkononi tu au ndio hadi kwenye makalio?
Indonesia





















