Andrea Mamba

22 posts

Andrea Mamba

Andrea Mamba

@mamba8454

Katılım Temmuz 2025
975 Takip Edilen102 Takipçiler
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Vijana Hamuonekani Jumuiya Mko wapi?
Suomi
7
3
32
1.6K
Zee la Vyeti (PhD)
Zee la Vyeti (PhD)@babalao__·
Mkai na Hans ipo siku watakuja kupigana studio... Leo Mkai kachukia sana.
Indonesia
6
2
16
50.4K
El Conde
El Conde@Available8r·
@Aruatani @kilepi_tweve Humu kukaa kitaalamu sana...wanasema kwenye harakati za kutafuta mkate wako usikanyage mkate wa mwenzio...
Filipino
1
0
7
2.6K
#Dr Gudume The PDF Guy 🇹🇿
Mnaweza msikubali Ila hiki ndio choo bora zaidi ya kukaa Unajisaidia kiurahisi na uchafu unatoka wote,ile ya kukaaa mmh kuna kanamna peanut butter zinabaki kwa mkate 🤮
#Dr Gudume The PDF Guy 🇹🇿 tweet media
Indonesia
33
12
98
27.8K
Andrea Mamba
Andrea Mamba@mamba8454·
@Strikar_0 @Kamnyeso Vyoo vya kukaa hapana mimi hata ile eti unakojolea kwenye chupa wale wanao ogopa kutoka usiku nje aaaaaah siwezi naona najikojolea miguuni tu 😂😂😂😂
Indonesia
1
0
1
22
Andrea Mamba
Andrea Mamba@mamba8454·
@Strikar_0 @Kamnyeso 😂😂😂😂 yaani ww na mimi sawa kabisa tena mimi kama nikienda gest nawaambia choo cha kukaa situmii nipo tayari nitoke choo cha nje kwanza huwa nahisi nakalia kinyesi
Filipino
3
0
1
119
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Jambo la kheri tumepata alama tatu Lindi. Kila mtu anajua ugumu wa Namungo wakiwa kwao. Historia ya Lindi tokea enzi za Kariakoo haijawahi kuwa sehem salama. Tunakwenda kwenye mtihani mwingine mgumu. Ndugu zangu JKT ni moja ya mechi ngumu sana. Tunakwenda kucheza dhidi yao KMC. Kwa sasa Focus yetu ni alama tatu tu. Mpira wa madaha na mbwembwe una wakati wake. Nyakati hizi ambazo tunacheza mechi kila baada ya masaa 60 tenda umbali wa kilometa 600 sio muda wa kutaka yote. Ni muda wa kusaka alama 3 tu. Alama kama hizi ndio zinakupa ubingwa. Tukutane KMC
Indonesia
17
2
94
7.4K
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Happy new year guys✊️
English
67
24
399
27.7K
Andrea Mamba
Andrea Mamba@mamba8454·
@privaldinho Mbona maelezo mengi sana? wenzio wameshinda wapo kimya ww maelezo mengi sana
Indonesia
0
0
1
365
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Kuna watu wanaibeza KMC. Tumekuwa na mechi bora inonekana ni wapinzani dhaifu. Msimu uliopita KMC walipishana na JKT alama 1 tu. Msimu huu wamepishana alama 4 pekee. JKT ameruhusu magoli 8 na KMC ameruhusu magoli 10. Msimu ulipita KMC walishinda mechi nyingi Kuliko JKT. Kama KMC ni mbovu nyie mmeshinda mechi ngapi dhidi ya Yanga?
Indonesia
21
2
86
12K
Andrea Mamba
Andrea Mamba@mamba8454·
@FKihamu Sema nao wamewahi mapema sana walitakiwa waebdelee na zile tabia zao za mwanzo ili wakija kustuka utopolo wapo nafasi 7
Indonesia
1
0
2
2.5K
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
Nadhani Wananchi walihisi wana Kocha mzuri sana na wana haki ya kumtetea mpaka pale walipoona kwenye kundi lao la kumtetea Kocha wapo na Mzee wangu Bin Kazumari Mtipa kutoka Mtwara kabila Mmakonde, wakascan tena wakaona wapo na Kaka yangu Wilson Oruma na Jambia lake kalishusha Mjaluo wa Kanda ya Ziwa halafu Winga ya pembeni wakamkuta Mzee wangu Legend Salehe Jembe, Msukuma wa Mwanza kisha kwa mbaaali anakuja Idol wangu Geoff Leah na points kali za kumtetea Roman Folz na ndio hapo ndipo Wananchi wakahisi wanacheza beat tofauti, haiwezekani😀 Yaani kwenye gari lao wapo Kaka zangu wanasafiri nao, wameona wao washukie njiani wawaache wao waende na Roman😀
Farhan Kihamu Jr tweet media
Filipino
69
27
758
39K
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Asubuhi kuna msanii kanipigia simu akanambia 📞 Loma wewe kila kitu cha selekali unaponda tu, ina maana wewe huoni jema hata moja? Nikamwambia 🗣️Wewe kila kitu cha serikali unasifia tu, ina maana wewe huoni baya hata moja?? Nikamsikia anasema Ngoja nitakupigia. Kwani alirudi hata. Tatizo la misanii ya mbogamboga uchawa umewaathiri mpaka ubongo. 🚮 Wanajikuta mpaka watanzania wenzao wanauliwa, wanateswa wenyewe wanasifia tu!!
Indonesia
79
253
2K
61.8K
Grok
Grok@grok·
Miwani nyeusi inaweza kuwaficha macho, ambayo mara nyingi huonyesha dalili za uongo kama kuepuka macho au harakati zisizo za kawaida. Hii inawapa watu ujasiri zaidi wakati wa kudanganya, au inaweza kuwa mtindo tu. Katika video hii, inaweza kuwa sehemu ya mazungumzo kuhusu Polepole. Wewe unafikiriaje?
Indonesia
1
0
1
49
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
Kama kuna Uwanja mwingine leteni maana huu kwa Mkapa umeshajaa au Serikali iutanue Simba Day ijao tuukute na capacity ya LAKI, tushaujaza hapa saa10 tu😀
Indonesia
12
16
598
13.1K
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
Kwa msaada wa META inaonesha kuwa kwa 2025 Klabu yenye thamani kubwa zaidi ni Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini kwa mujibu wa ripoti za Mapato na Matumizi, Wadhamini na Fedha za zawadi, ambapo wana thamani ya Euro Million 34 ikiwa ni sawa na BILLION 99 za Kitanzania. Sundowns wanavuna pesa nyingi za Udhamini kutoka Hyundai, Puma na MTN huku anayemfuatia ni Al Ahly ya Misri yenye thamani ya Euro Million 32 sawa na BILLION 93.67 za Kitanzania. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Mabadiliko, Mzee Alex Mgongolwa wa Yanga kwa thamani ya BILLION 100 maana yake Yanga ndio klabu yenye thamani kubwa zaidi barani Afrika.
Farhan Kihamu Jr tweet media
Filipino
134
46
1.1K
56K
Grok
Grok@grok·
@mamba8454 Unaitwa Andrea Mamba. Mahali unapoishi halijaonyeshwa kwenye wasifu wako kwenye X. Kama una maelezo zaidi, nijulishe!
Filipino
1
0
0
4
Grok
Grok@grok·
Join millions who have switched to Grok.
English
432
1.8K
22.5K
145.6M
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kwamba team yetu pendwa inatumika KAMA PEDI ZA GSM. Haina noma umaskini mzigo sana—Yatapita. Paragraph ya mwisho imekaa kikubwa sana. Yote kwa yote bado tunaiomba FIFA iichunguze TIMU yetu na ikikutwa na HATIA ipigwe NYUNDO. Huo msimamo upo pale pale. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet media
Filipino
49
79
523
20.8K