M G

335 posts

M G banner
M G

M G

@ThisIsMagnetics

Forex Trader | Mentor 10 years trading experience | I help people reach their financial goals |

Dar es salaam Katılım Ağustos 2021
33 Takip Edilen79 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
M G
M G@ThisIsMagnetics·
- First, Resistance/Denial (refusal to believe) - Second, Resignation (surrendering to the fact but unhappy) - Third, Acceptance (finding peace and adjusting) - And finally Embracing (learning, growing, and moving forward). Baada ya kuenda na hizi hatua nne kwa miaka nane iliyopita nilikaa na @amrisaly @Mike_Dastan @sako_mm kushare experience yangu binafsi. I hope kuna mtu somewhere atasaidiwa na haya kuepuka mistake zinazoepukika.
M G tweet media
English
1
3
10
279
M G retweetledi
Shivo📈
Shivo📈@Sir__adonis·
ila bongo bana MG kazungumza mapito yake na still watu wanaona namna negative😂🙌🏾, x ujuaji mwingi sana
Indonesia
6
7
76
3.1K
M G retweetledi
TeddyB🌸
TeddyB🌸@TheresiaBi32920·
Another Day to learn🙂 @amrisaly 🔥
TeddyB🌸 tweet media
English
2
2
15
430
M G retweetledi
AMRI IFX
AMRI IFX@amrisaly·
Tuambie kwenye comment swali gani umetamani lingeulizwa kwenye episode ya kwanza ya let’s impact millions podcast lakini halijaulizwa, Ps: Tunashukuru sana, tumepokea pongezi na feedback kubwa sana, Hiyo ina maana isiyo ya kawaida kwetu, hatuichukulii kirahisi rahisi, ni kitu kikubwa sana We highligh appreciate for your trust and support kwenye hii safari ya ku-impact millions kupitia maarifa ya biashara, sensitive information na experience, Tunaku-promise ku-rise standards and bars high and high kila siku ili kukupa experience iliyo bora zaidi na values beyond your imagination, Na katika process hii ya kuandika-rise bars and standards tunaomba tuchane ukweli - vitu gani tumevifany vizuri, - ⁠vitu gani tumevifanya vibaya, - ⁠vitu gani we tunatakiwa ku-improve, Feedback yako ina nafasi kubwa sana kwenye safari hii ya kuendelea kujenga podcast ambayo ni masterclass for generations and generations, Our mission is to impact millions
AMRI IFX tweet media
Filipino
11
20
113
4.6K
M G retweetledi
LIQUIDATOR
LIQUIDATOR@liquidatorXz·
Ukiwa na 1M ni possible kutengeneza 100k na ukiwa na 100k unaweza kutengeneza 10k na sio viceversa. Ela kubwa ni rahisi kuzalisha ela ndogo tofauti na ela ndogo kuzalisha ela kubwa. @intelligencefx nailed it
LIQUIDATOR tweet media
Polski
2
8
54
1.5K
M G retweetledi
HabariTech
HabariTech@HabariTech·
Ile podcast imenipa uhakika zaidi wa ninachofanya. Benki sio kwa kuweka hela kabisa aisee. Pesa iendelee kubaki kwenye mzunguko wa Biashara tu.
Filipino
7
6
149
14K
M G retweetledi
M G
M G@ThisIsMagnetics·
- First, Resistance/Denial (refusal to believe) - Second, Resignation (surrendering to the fact but unhappy) - Third, Acceptance (finding peace and adjusting) - And finally Embracing (learning, growing, and moving forward). Baada ya kuenda na hizi hatua nne kwa miaka nane iliyopita nilikaa na @amrisaly @Mike_Dastan @sako_mm kushare experience yangu binafsi. I hope kuna mtu somewhere atasaidiwa na haya kuepuka mistake zinazoepukika.
M G tweet media
English
1
3
10
279
M G retweetledi
Gold Artist
Gold Artist@Omulamusi·
2030 the younger traders will be admiring our journey buana don't stop grinding.
English
4
34
201
2.1K
M G retweetledi
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
Sijui kuhusu ishu za forex lakini nimesikiliza jamaa nikajifunza yafuatayo kutoka kwake; 1. Amekuwa honest na vulnerable ku-share story yake, kitu ambacho ni ngumu sana kwa watu wengi. 2. Amekuwa muwazi kuwa, "Strategy" ni mchakato ambao ukirudia utapata MATOKEO yale yale au yanayokaribiana. Vinginevyo itakuwa ni gambling, au kubahatisha. → Amekiri wazi kuwa Video yake aliyoweka YouTube ya kutengeneza dola 4,000 ndani ya wiki 2 kwa kutumia 200 ilikuwa ni misconception na kubahatisha. Kwa sababu probability ya kufanikiwa kwa kufanya hivyo ni 1% out 100%. 3. Kukubali pale unapofeli au unaposhindwa. Ni ngumu lakini, that is the only way. 4. Kuishi flashy life ili kuaminisha watu kuwa umetoboa. MG anasema hicho ni kitu ambacho kimemgarimu sana. Epuka, na kuwa honest. 5. Kutengeneza pesa ni kitu kimoja na kuwa na hekima ya kumanage hela ni kitu kingine. 6. Jifunze ku-balance risk to reward ratio. Siyo katika trading tu. Hata katika biashara au uwekezaji wa kawaida. Kwa ni KUTOBOA ipo katika ya hofu (fear) na tamaa (greed). 7. Kuitwa mtaalam na tapeli ni kama pande mbili za shilingi hasa kwenye ishu ya hela. 8. Siku zote kuna yule rafiki mmoja ambaye atakuelewa na kuwa a shoulder to cry ukipatwa na majanga. 9. Ili kuwa mbele, unahitaji uwe kwanza kupiga hatua ambayo wengi huogopa. Ukiteleza utachekwa, ukitoboa utafuatwa. 10. Zaidi ya yote, nimejifunza mengi hasa kuhusu udhubutu na risk taking kwa jamaa. Na amekuwa honest kuwa, kwa vijana wanaojitafuta usiache shule, chonga nji ukiwa chuoni bado, uku unapambana pia. 11. Mwisho, maisha ni safari. Kusimama na kuanguka. Kushinda na kufeli. Tunaishi au kufanya jambo siyo kuepuka makosa au kufeli, bali kupunguza risk na rate ya kurudia makosa yale yale tena. Nimejifunza hayo machache kati ya mengi.
Indonesia
3
18
50
1.8K
M G retweetledi
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Oyah 2016-18 ndo kulikua na forex achana na ngonjera za pigamwizifx watoto wa miaka 20 kina QumerDizofx
Fluent In Printing@3dmabango

@gabyconscious Watu hawaelewi confidence level watu waliyokua nayo kwenye fx miaka ya 2016, 17, 18. Tuki account at individuals level kwamba kila trader tuangalie loss zake, kuna billions zimepotea ambazo zikikusanywa nakuwekwa kwa account moja hata hii 1.7B inayowashangaza watu ni cha mtoto.

10
7
66
4.3K
M G retweetledi
Boniface Chengula
Boniface Chengula@bohny_chengula·
Twitter was once a very beautiful app, kuna vitu apa katikati vimekuja kuuharibu huu mtandao.
Eesti
6
7
68
2.6K
M G retweetledi
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Wakamaria… Ukiwachana Ukweli … Hasa ma Punter utawaona wanakuambia unawaharibia UGALI WAO😅 Ila leo hao hao wakamaria… wanaharibu Ugali wa JAMAA LA FOREX… Wote ni Matapeli tu- hakuna mwenye uafadhali😅😂💯
Indonesia
44
41
439
14.9K
M G retweetledi
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
Inawezekana sana kama huna elimu ya fedha na pia ukiikurupukia issue ya digital currency. Nina ndugu yangu alipoteza Tsh 700 million kizembe sana. Na ni kweli upo sahihi kabisa… 2 billion ukiwa nayo hakuna haja tena ya kufanya chochote, kama una financial literacy. Hata hao Sungura wako unaotaka fuga ni kama unataka jifurahisha tu 😁 2b inaweza kukupa returns za 200 million kwa mwaka. ambayo unaweza itumia kuishi comfortably kabisa, na ikakupa ka mtaji ka kufanya biashara isiyoumiza kichwa ili kuku keep busy, na bado bilion zako zipo palepale!!
Lubasha Jr@MarekaMalili

Kuna Msela wa Forex anasema kawahi kuwa na 1.8B na akapoteza 😆 Una 1.8B bado unakesha kuuza na kunua hela mitandaoni 😀 Mimi 500m mtanikuta shambani najifurahisha kufuga sungura organically.

Indonesia
23
19
462
45.6K
M G retweetledi
Mbilinyi J
Mbilinyi J@thisisjo_·
1.7B Ni Hela Za Investors, Tuwe watu wa kusikiliza asee @gabyconscious
Filipino
0
3
4
186
M G retweetledi
CLARA🖤
CLARA🖤@ClaraFundi·
Mnafanya watu waone mambo mepesi
Indonesia
6
15
47
2.6K