Unseen Adviza

2.3K posts

Unseen Adviza

Unseen Adviza

@Unseen_Advisor

Katılım Mayıs 2025
853 Takip Edilen94 Takipçiler
VOMOUS🪽
VOMOUS🪽@vom06·
@zed_officially Zile hela ni kama zina majini, hata geita wapo kibao waliziotea wakachezea
Indonesia
1
0
2
358
𝗭𝗘𝗗
𝗭𝗘𝗗@zed_officially·
Mwaka wa 2020 ,Chunya kuna jamaa alipiga 300M kwenye dhahabu. Alibadilika sana maisha yote hakuwekeza hata kwenye biashara wala kununua viwanja au majengo ila mpaka inafika 2022 hana hata 100 mbovu maisha yamekuwa magumu Ukitokea wewe umenasa jiwe la 300M unatoka? Kwanini
Indonesia
10
16
125
7.8K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Watu wa kiswahili na Transport officer kwenye ajira portal acc zao leo.😂
ProsperNow. tweet media
Filipino
18
24
464
24.5K
L
L@Kikare_·
@NjiwaFLow Ndiyo watu wengi hawajui hili. Ukiangalia kwa makini, sehemu kubwa ya maji ya Ziwa Victoria inaingizwa na Mto Kagera, hivyo chanzo cha Mto Nile kinaweza kufuatiliwa hadi huko chanzo cha Mto Kagera kilipo (Burundi).
Indonesia
5
0
9
4.4K
James Munisi
James Munisi@NjiwaFLow·
💨 Leo ndio nimejua kumbe chanzo cha mto Nile sio maji ya Ziwa Victoria!
James Munisi tweet media
Filipino
34
16
326
48.2K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Kwa majirani zetu apo, hao watu sijuw kama wamepona 💔💔
Indonesia
34
29
190
15K
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@Unseen_Advisor @KennedyMmari Watu watahonga huo mfumo uchezewe. VTS za mabasi naona siku hizi zinapigia tu abiria kelele, inalia Mwanza hadi Dar!
Indonesia
1
0
1
14
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
Matuta mengi barabarani ni ishara kuwa nchi na wananchi wake hawajastaarabika au hakuna miundombinu ya kuwafanya wawe compliant na sheria. Tanzania ndiyo nchi inayoongoza kwa matuta ya barabarani Afrika Mashariki na bado kuna ajali nyingi tu. Ukienda Rwanda unaweza kutembea mwezi mzima bila kukutana na tuta. Basically nchi nzima haina matuta. Barabara ya Goba pekee ina matuta mengi kuliko nchi nzima ya Rwanda🤣🙌🏾
Kenny Mmari Snr. tweet media
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari

Barabara za mwendokasi ni mradi mkubwa na mzuri ila unazingatia sehemu ndogo ya baadaye ya jiji linalokuwa kwa kasi duniani. 1. Vituo vya mwendokasi vipunguzwe. Mbadala wake, miti ipandwe kwa wingi kuruhusu watu kutembea short distances kuelekea kwenye vituo (could be 2kms apart) 2. Tujenge entry na exit points za kuingia kwenye vituo, kama ni subway au daraja la juu. Hii itasaidia kupunguza mwingiliano wa watu na barabara kuu. 3. Tupunguze mabamsi kwenye vituo vya mwendokasi. Kuna mabamsi mawili kila baada ya kilomita moja. That is extremely unfortunate, and unfair to other vehicle owners and does not reflect the nature of a fast moving, and fast growing city like Dar. We are going to be 10 million residents in 4 years and it’s unrealistic to imagine how chaotic it will become. I think, and I am not an engineer, barabara za mwendokasi tu kukaa katikati ya barabara kuu za jiji was a fundamentally flawed design kwa sababu hazina entry and exit za passengers zisizoingiliana na magari mengine. A fundamentally flawed design! A fast growing city cannot think, design and operate like that. Leo tumejaza mabamsi barabara ya kwenda Airport. Hata 5th-world country doesn’t do that.

Indonesia
21
13
63
11.6K
Anderson Jr.
Anderson Jr.@Emanuel29402387·
@udsm_ikoni Hizo ni movie ambazo ni true stori hazina mbambamba kama War Machine.Kwa hiyo hakuna kosa hapo.
Filipino
2
0
11
1.9K
UDSM ICON
UDSM ICON@udsm_ikoni·
Hivi Director wa hii movie hakupigwa majungu kweli? Kuonyesha kuwa wamarekani wanapokea kichapo hadi wanakimbia, maana ni movie chache sana kuona zipo hivyo.
UDSM ICON tweet media
Filipino
59
21
402
27K
Unseen Adviza
Unseen Adviza@Unseen_Advisor·
@pastajoshuatz Wale wazungu sio kwamba wanashindwa kuwa na mazoea na wasauzi ila wanajua wasauz weusi hamnazo ndio mana wakajitenga
Indonesia
1
0
3
261
PASTA JOSHUA
PASTA JOSHUA@pastajoshuatz·
Mwana katoka bongo kaingia SA kusaka dusko ana makaratasi kabisa kihalali lakini kachezea mikwaju ya kutosha kmmk Wasauzi wasenge sana huwezi ona wanamfanyia mzungu hivi na kuna sehemu katika nchi yao hawaruhusiwi kukanyaga 😖
Indonesia
71
38
301
26.4K
Johari Mshana
Johari Mshana@joharimshana·
Si mimi ni DM yangu, kazi yangu mie dada yenu kuwacopia na kupaste! Jaman inakuwaje Vijana wanaingia kwenye ndoa bado wakiwa wana nyonya maziwa ya mama zao, sasa kwanini akimbie 😂 pyee!!
Johari Mshana tweet media
Indonesia
34
28
167
45.4K
Unseen Adviza
Unseen Adviza@Unseen_Advisor·
@KennedyMmari Rushwa hata wakiwekw police yaondolewe matuta yatakuwa yale yale tu.
Indonesia
0
0
1
302
Unseen Adviza
Unseen Adviza@Unseen_Advisor·
@EsirEid Hela za mafuta hawajui wafanyie nini sasa wanafadhili vita
Indonesia
0
0
0
28
Unseen Adviza
Unseen Adviza@Unseen_Advisor·
@Aruatani Hta mkwere ana ile JKCI taasis ya moyo sidhan kama aliwah hata kwenda kuchukua PCM pale.
Indonesia
0
0
2
530
Beast
Beast@emabilly2001·
Jamaa kafariki akiwa na miaka 70' kwenye miaka yake yote aliyoishi miaka 31 alikuwa mbunge kwa malipo yanayolipwa hapa Tz kwa wabunge kuanzia posho na mshahara anagusa 1b kila muhula jamaa kwa haraka kapiga 6b kumbuka alikuwa na waziri pia😁🙌
Beast tweet media
Indonesia
30
18
618
38K
Unseen Adviza
Unseen Adviza@Unseen_Advisor·
@RubenGinat111 @Balyx_ Umenena vyema. Kipind tu akiwa mkuu wa mkoa alikuwa anapewa maagizo na PM na hafanyi na hmna wa kumuliza. Ila vna muda basi
Indonesia
2
0
1
29
Garmu Hhay Duwe✌🏾
Garmu Hhay Duwe✌🏾@RubenGinat111·
@Balyx_ Huyu ni kijana pendwa wa mama, Inawezekana kwenye cabinet yeye ni mkubwa hadi kwa PM😁😁
Indonesia
1
0
2
481
Balyx
Balyx@Balyx_·
Ni mamlaka gani alinayo Waziri aa Habari, Utamaduni na Michezo kutoa kauli hii? Auyupo sahihi kwa position yake?
millardayo@millardayo

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema wanaopanga njama za kudhoofisha jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kisa tamaa za kupata Urais mwaka 2030 hawatofanikiwa, ambapo amesema Watu hao wote wanaojipanga na Urais mwaka 2030 hawatoupata. Akizungumza mbele ya Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Jijini Arusha leo Machi 25, 2026, Makonda amesema ““Kuna Watu wengine nikikaa nasikiliza hotuba yake nasema huyu kabadilika lini?, kuna Watu wanapenda kuyatumia matatizo ya Wananchi kama vile Watetezi halafu uwezo wa kutetea hawana kwasababu hawana hiyo rekodi ya kutetea Wananchi” “Sasa tunaelekea huko 2030 wataibuka Watu wengi sana, nataka niwaambie Mtu yoyote atakayemsaliti Dkt. Samia ambaye alituona, Mimi binafsi nilipata bahati Rais Samia aliniona nikiwa Mtaani miaka mitatu na miezi sita hata simu haiiti, unakaa na Mkeo unacheza na Watoto unajifunza na muda wa kuwapeleka Shule, Mtu huyu amekuona akakupa nafasi, sasa kupitia hiyo nafasi umepata hela kidogo, umeanza kuwa na jina kidogo, unatengeneza network halafu unapambana kupambana na yule aliyekupa nafasi na heshima hiyo” “Mimi Paul Makonda sitomsaliti Dkt. Samia Suluhu Hassan na kama uongozi wangu unatakiwa kuishia 2030 utaishia hapo kwani kuna shida gani?, kwani unatakiwa utawale maisha yako yote?, na ndio maana ukiona hao Viongozi wanataka kujitenganisha hii Serikali yeye akae pembeni awe sehemu ya Wakosoaji wa Serikali” “Mimi tukiwa kwenye vita situmi Mtu, sio wale mkikutana mnachekeana aah Kamanda tuko pamoja halafu unasuka mipango huku nyuma aah Mimi nakuja mwenyewe kukushughulikia wote wanaopanga njama za kudhoofisha jitihada za Rais Samia katika uongozi wake huu kwa ndoto zako hazitotumia” “Mh. Waziri Mkuu Mimi nina bahati ya kusema kidogo ya Mungu, Watu wote wanaojipanga hawa hawawezi kushika Urais nakuhakikishia, wekeni kwenye kumbukumbu hawapati, Watanzania hawawezi kuwa wasahaulifu tutaenda rekodi kwa rekodi hauwezi kuwa Malaika dakika za mwisho, shetani ni shetani tu hata kama akizeeka” #MilardAyoUPDATES

Filipino
14
6
68
5.8K
UDSM ICON
UDSM ICON@udsm_ikoni·
Name a series deserves this?
UDSM ICON tweet media
English
38
12
87
9.3K
Unseen Adviza
Unseen Adviza@Unseen_Advisor·
@bajabiri Hapo wanapewa VVIP service ila kifo hakina mjanja.🤣🤣🤣
Indonesia
0
0
4
211
Unseen Adviza
Unseen Adviza@Unseen_Advisor·
@bajabiri Ka Ane kilango na Mama Sita nao wameamua mpaka wafie huko yani hawatak kuachia
Indonesia
1
0
2
325
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
KIDUKU ZE DON VINYEO OFSA NGIRI WAPWA Naomba Mnifolo Kwa Speed Ya Ngiri Mkia Juu KINYEO Nje Nafoloback 👊 Naomba RT Zenu Hapa Wakuu.🙏
KIDUKU OFSA NGIRI tweet media
Indonesia
158
149
849
31.5K