Comfortable Zone

467 posts

Comfortable Zone

Comfortable Zone

@ZoneComfor79943

trainer

Katılım Nisan 2026
53 Takip Edilen18 Takipçiler
Masterplan🇹🇿
Masterplan🇹🇿@master_plan9·
Starehe ya dakika 3 isikuharibie mfumo wa maisha yako mazima ●Acha kufanya mapenzi bila kondomu na watu ambao hujui hali zao ●Acha kunyonya Mbususu ●Acha kupiga miti wake za watu ●Achana kabisa na michezo ya kufilana
Indonesia
29
54
237
9.8K
Comfortable Zone retweetledi
Nindi.Jr ㄷㄱㅑㅊ
Bado Nawaza Sana. No Nani Atakuja Kumstukia Huyu Manzi Kuwa Miyeyusho Mana Ana Vimichezo Flani Hivi Ukimkazia Macho Unagundua
Nindi.Jr ㄷㄱㅑㅊ tweet media
Indonesia
22
3
103
9.7K
Boss
Boss@Boss_941·
Ivi mnakumbuka huu ujinga, waalim wa Geography kwel jamn kweli !😂😂💔 Eti: " WhatsApp is the MAIN economic activity of people of KATANA ARE?" Alafu ilii iweje sas..!!
Boss tweet media
Indonesia
19
16
27
1.1K
Essiiie Kapambala
Essiiie Kapambala@DadaEstie·
Story Story Leo Kkoo Si Nmekanyaga Ile Mimaji? Nikasema Nikifika Home Naenda Kuweka Miguu Bombani Kwanza Ndio Niingie Magetoni. Nmefika Bomba La Nje Maji Hayatoki. Jirani Yangu Ana Jaba Lake Nje. Nikanyatia Nikaiba Maji, Kumbe Yupo Ndani Ananichungulia Mi Simuoni. Ile Nmemaliza
Filipino
20
12
356
34.4K
Masterplan🇹🇿
Masterplan🇹🇿@master_plan9·
Umetulia zako huna hata mia mfukoni ghafla meseji inaingia "nina mimba yako" Utajibuje??😂
Indonesia
29
20
95
2.5K
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Fanuel Sedekia✍, Miaka mingi ya nyuma sauti yake iligusa na kuponya maisha ya wengi, Akiwa ni mzaliwa wa Mkoa wa Kigoma lakini maisha yake yakiwa ni mkoani Arusha ambapo alikwenda kwa ajili ya Masomo kwa level ya Chuo ambapo alikuwa akisomea Ualimu. Mwishoni mwa mwaka 2008 akiwa anafanya kazi pamoja na Mwl. Christopher Mwakasege walikuwa na safari ya kwenda ziara nchini Israel,. Safari ilianza kutoka Tanzania kupitia Ethiopia kisha Israel, wakiwa katika safari hiyo hali yake ilibadilika na kuwa na hali mbaya hata baada ya kufika Israel. Baada ya kufikishwa hospital aligundulika kuwa na Sukari ambayo ilikuwa ipo hatua mbaya na mapafu yakiwa yamelika hatua mbaya zaidi, mapema mwaka 2009 alifariki akiwa Israel. Inasemekana, Mkewe aliolewa Miezi mitatu mbele baada ya mazishi na aliyekuwa Dereva wa Mwimbaji huyo yani dereva wa mume wake, . kiasi cha wengi kuamn ni mahusiano ambayo hayakuanza ghafla💔🙌,.. Leo ni zaidi ya miaka 15 lakini nyimbo zake zinaishi na Tunabarikiwa🙏.
The champ👑 tweet media
Filipino
15
23
209
18K
Mariah 🦋
Mariah 🦋@1mariahtruly·
Verified small accounts matter 💙
English
15
14
23
358
Eng. Josh Paimen
Eng. Josh Paimen@Captain_Josh47·
Mimi ukinitambulisha kwa rafiki yako, lazima nimle.
Indonesia
2
2
8
97
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Maisha magumu mpaka raha. 🙌
WHYMYCATISSAD tweet media
Filipino
10
5
103
1.6K
Sara💕
Sara💕@saralexozil·
Kujituma tunajituma lakini guys listern,we are working hard in a wrong country
English
6
9
26
593
R.M
R.M@shibobo___·
Nasikia mtalaam DAU lake na matakwa yake mlima wakubwa wawili janjajanja wameshindwa, Imebidi studio zao wajaze wachambuzi wote wa Dar, LEVELS 🙌
R.M tweet media
Indonesia
24
29
750
47.5K
Lucky Msuya Kingker
Lucky Msuya Kingker@LKingker·
Mafanikio Ya Maisha Yamebeba Vitu Vikuu Vitatu. 1.MUDA 2.JITIHADA 3.KUDRA MUDA Ni Wa Wote,JITIHADA Ni Zako Mwenyewe,Lakini KUDRA Ni Majaaliwa Ya Mungu
Indonesia
5
8
36
611
Brain360💣
Brain360💣@stevenquotes360·
Kama umewahi kujiuliza kwanini baada ya kulipa 800K hadi 1M kwa mgonjwa aliyelazwa wiki kadhaa... mwishowe akafariki, basi leo iwe funzo kwako na kwa kila mmoja wetu. Maisha ni neema. Afya ni zawadi isiyolipika. Mshukuru Mungu kwa kila hatua Anayokuweka hapa duniani ukiwa mzima na mwenye afya. Usichukulie kawaida. Leo amka na shukrani moyoni. Kesho si dhahiri. Good Morning X
Indonesia
2
2
22
1.2K
Spana & V.A.R Movement
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki·
Unaona nini? Juzi kati niliona wanajidanganya wao ndio wana mashabiki wengi eti 😂 kweli Delulu is the only Solulu 😭
Spana & V.A.R Movement tweet mediaSpana & V.A.R Movement tweet media
Indonesia
15
10
236
27.2K
I ❤️ Dar Es Salaam
I ❤️ Dar Es Salaam@FaradayMtz01·
🇹🇿 ●Mkoa wenye wilaya nyingi- Tanga ●Mkoa wenye Miji Mingi - Mtwara ●Mkoa wenye Manispaa nyingi ukiachana na Dar Es Salaam & Mwanza - Shinyanga. ●Mkoa wenye Sehemu kubwa ya Bahari ya Hindi - Lindi ●Mkoa wenye Sehemu kubwa ya Ziwa Victoria- Mwanza ●Mkoa wenye Sehemu
Indonesia
8
6
48
8.8K
mido
mido@midoy8_·
wanawake ni jeuri sana ila kama mkeo hana huruma hata kidogo na wewe basi umekwisha
Filipino
1
7
19
295
UnjU🕳️
UnjU🕳️@Unjuneering·
Machimbo ya watoto wa MAZIMBU haya... 😅 😅
UnjU🕳️ tweet media
Indonesia
6
7
56
3.2K