Dk Levy

135 posts

Dk Levy

Dk Levy

@babaubaya__

Public Figure

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Temmuz 2014
207 Takip Edilen64 Takipçiler
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@MariaSTsehai Nikija huku X ndo naona Tanzania nyingine kabisa. Yaani huku X Tz haieleweki. Lakini huko nje ya X watu wako normal wanajadili mwezi January uishe tu... Hivi huku X Tanzania ipoje?
Indonesia
3
0
6
1.7K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
💥KA-BOOM TUMEWABAMBA WANAMWAGA PESA WAKUBALIKE NA “MABEBERU”‼️ Serikali haramu imeajiri kwa miaka miwili lobby group ya Ervin Graves ya Marekani kwa kiasi cha dola 45,000 kila mwezi ili iwasaidie kuwafikia Bunge na wabunge wa Marekani na serikali. Itatumia dola milioni moja na ushee kama fees pekee kujipendkeza kwa mabeberu! Bahati mbaya kwa @SuluhuSamia haya mambo lazima yawekwe wazi na sisi tumenyaka mkataba! Sasa machawa mkome! Kaeni kimya na shs 10,000 zenu 🚮 Hii kazi tunayofanya inawapeleka mbio hadi wanalipa MABILIONI waje kufuta uovu - haitawezekana! Mnatumia hizi pesa kutoka bajeti gani? Mtuheshimu maana tunawapeleka mputa 😀👊🏽 na BADO! #TutaelewanaTu Tutaweka mkataba wote Telegram channel ya #WenyeNchiWananchi na Whatsapp Channel ili hadi vijijini waipate Pia unaweza kupakua hapa: efile.fara.gov/docs/7660-Exhi… Eniwei #SamiaMustGo
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
74
290
914
229.1K
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
HATURUDI NYUMA….. SAFARI YA UKOMBOZI HAIJAWAHI KUWA RAHISI. Ushindi ni lazma na TUTASHINDA….. Kuanzia sasa Tanzania ni lazma kuwe na maandamano all the time mpaka haki ipatikane kwenye nchi yetu. Haki kwanza , haki ikipatikana amani itafuata automatically.
Indonesia
393
1K
6.5K
243K
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@mangekimambi HUWEZI KUWA SHUJAA UKIWA FUTI 6 NDANI YA MCHANGA Naona wanaharakati wanawaita mashujaa vijana waliopoteza uhai wao. Huwezi kuwa shujaa ukiwa ndani ya kaburi huku ukiacha mke, mama au watoto bila usaidizi wowote. Wewe ni maiti, ni mzoga na maumivu kwa wale unaowaacha.
Indonesia
5
0
0
886
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
This happened in Kahama after the youth protested demanding free and fair elections. Dada hapa ni kakola kahama waha wote walipigwa risasi na police wa Tanzania siku maandano oct29 wate walikufa
Filipino
64
507
1.3K
94.2K
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@godbless_lema Nyie wasenge ndo mlisema Mbowe kapoteza mvuto anaandamana yeye na binti yake. Mwenzenu alijua umma wa kisenge ndo maana akataka maridhianp. Fuck u Lema...
Filipino
0
0
0
67
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Neno la msingi hapa ni hii aliloambiwa Max wa Jamii Forum.. “ Tunaweza kukupoteza watu watapiga kelele Mwezi mmoja , miwili , mitatu na watasahau “ Hii neno limesabishwa na tabia mbaya ya wananchi ktk kupuuza kuzingatia masuala ya haki. Tuna umma wa ajabu sana unaojua kualamu lakini haujui kuchukua hatua ktk mambo muhimu. Umma una shida kubwa kuliko watesaji na wauwaji. Nani ataweza kufanya mwenyewe pasipo ushirika mkuu ktk haki ? Pumbavu sana kizazi chetu.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
104
211
1.2K
95.9K
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Ukifuatilia hizi episodes za slow slow 🐢 anaongelea genge haramu ndani ya chama kile!! Ni kama anatuambia bado wapo watu wema na makini na wenye nia njema na taifa ndani ya chama kile. Lakini kuna genge la watu wachache linaloharibu mipango hiyo kwa maslahi yao binafsi. Genge hilo lilipambana sana likitaka kuchukua kijiti kuongoza 2015, lakini wazee (Ambao ndio hao wenye nia njema) ndani ya chama, wakasimama imara! Hapa anatajwa hayati Lupaso na Jay Sinde, Wakamchagua hayati Banza achukue kijiti ili kukinusuru chama na taifa dhidi ya genge hilo!! Ikawa Hivyo!! Sasa kwanini waliomchagua kushika kijiti alipoanza utumishi wake hakuishia kulisambaratisha tu genge hilo, akaja mpaka kuumiza wapinzani?🤔 Au genge lile lina watu mpaka upinzani?🤔 Au hakuwa mtawala bali ni genge lile ndio lilikuwa Linaumiza wapinzani🤷🏿 Yes wapinzani ni kama walikuwa wanaongea lugha za kuchafua biashara na maslahi ya genge lile? Sasa sio kama mtawala alipaswa kuwaunga mkono maana wote walikuwa na nia 1!🤔 “Adui wa Adui Yako Ni Rafiki Yako” Kuna Misunderstandings nyingi sana hapa. Na ili yasijirudie tena solution ni Badili System Yote!!
Indonesia
87
175
1.6K
72.3K
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@Sativa255 Kwa hiyo hao hao ndo waliopora na uchaguzi wa 2019 na 2020? Mpaka sasa mpo kama mafala hamjui mshike lipi. Polepole anawatoa kwenye line kifala sana. Magufuli alikuwa 'faktap' tu... Sema mna upoyoyo wa kudandia mpaka mada za maccm yenyewe
Indonesia
1
0
1
887
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kwa kauli ya POLEPOLE kuhusu kifo cha JPM leo inamaanisha kuwa wanaotakiwa kuwa na kesi ya UHAINI ilitakiwa wawe JELA muda huu au wawe wamenyongwa mpaka leo kwa kumuua JPM. Ila cha ajabu mpigania haki za wanyonge wa kweli ndio yupo GEREZANI anatuhumiwa na UHAINI ambao ni geresha ili WAHAINI wa kweli wafanye uchaguzi mambo yao yaende wanendelee kumiliki dola waendelee kuwa SALAMA. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Indonesia
33
117
884
30.7K
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@HildaNewton21 Huu ndo usenge wa Chadema. Wanawageuza mafala kuwa majemedari. Sasa ndezi kama Polepole ndo wa kumbeba kama shujaa? Msenge ambaye alichekelea kupotea kwa Ben Saanane na Azory Gwanda?
Indonesia
0
0
2
469
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Kitu napenda ni vile Serikali inamtafuta Balozi Humphrey Polepole bila mafanikio. Mpaka imefika mahali machawa wanasema Polepole hayupo nchini yupo Cuba. Kumbe yupo hapa hapa Tanzania, jamaa anawanyoosha kisawa sawa mpaka washike adabu au adabu iwashike.😂
Indonesia
48
122
1.1K
27.2K
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@EagleTip_ @HildaNewton21 Shida yenu hata hamjui taratibu zikoje mnajua kucomment tu. Chadema itashiriki uchaguzi wa wapi? Ndo imetoka hiyo.
Indonesia
0
0
0
59
RANZO
RANZO@ranzobets·
@HildaNewton21 Njia ya kupambana na Mwamba ni Moja tu Akihamia kule Asubuhi CHADEMA itangaze tunashiriki Uchaguzi hapo ndio mbwayi na iwe Mbwayi
Indonesia
6
0
19
2.6K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Kama kweli muda wowote kuanzia sasa mstaafu atapokelewa rasmi uko #Njaa55 nitaamin hii stori ambayo nimesikia mtaani. Maana kuna story inasema kwamba baada ya mstaafu kushinikizwa sana na mfumo kwamba aende akaungane na wenzake kwa kukubali kuwa mgombea Urais watawapa majimbo kadhaa na Vitu maalum. Yeye kaomba mfumo uendelee kuizua CHADEMA kufanya shughuli za Siasa maana anahofia atashambuliwa sana majukwaani kutokana na uamuzi wake. Tuendelee kuupa muda nafasi maana muda ni Mwalimu mzuri.
Filipino
84
171
1K
45.2K
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@Rightmindedpson @Roma_Mkatoliki Hizo ni taarifa njema kwa dunia ya sasa, kuliko kusikia masela wake wanampumulia... Hebu punguzeni Uinjilisti. Bora dogo agonge madem siyi agongwe...
Indonesia
0
0
0
5
HD jeyma maduwa
HD jeyma maduwa@Rightmindedpson·
@Roma_Mkatoliki So sad!! Aise nadhani After next 20 years hiki kizazi kitakuwa kinafanya ZINAA public. Too bad social construction imefanya ZINAA ionekana kuwa na kama dalili ya ujabari kwa mwanaume, hii ni aibu my people.
Filipino
3
0
8
2.8K
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Mama Ivan leo kanipigia ananambia 🗣️Ba Ivan mimi huyu mwanao Ivan nitampiga nimuue. Nikamuuliza imekuwaje tena? 🗣️Leo nimeshika simu yake nafungua nakuta anachat na videmu anaviomba appointment 😁 Nikamwambia “Usimpige” That’s my dawg 💪 mpe simu niongee naye, akapewa simu! Nikamwambia nakutumia pesa go and have fun young man!! Nikakata simu. NIMEKOSEA WAPI KAMA MZAZI?🤷🏿
Indonesia
229
101
1.9K
81.9K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Niliwaambiaje!? 🤣 Nikiwaambia jambo msione naongea miye! Bunge limevunjwa halijavunjwa? Basi machawa yamenywea 😂 mtaweka wapi nyuso zenu! ? Haya hadi Agosti 3 wana kazi gani? Sisi tukazane hapohapo #NoReformsNoElection ✊🏽🔥 Mbona #TutaelewanaTu ?
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
116
215
1.2K
62.1K
VENANCE M
VENANCE M@venancisco·
@kaji_sijo Uzuri ni kwamba dunia imekua kijiji... Idadi ya vifo na madhara yalliyotokea Israel haiko bayana kwakua vyombo vya habari vyakimagharibi vina toa takwim za uongo
Indonesia
5
0
9
2K
Kaji 🎬
Kaji 🎬@kaji_sijo·
Unajua tatizo la wabongo huwa wanapenda sana kukariri. Utasikia kwanini hatupati update ya madhara aliyo fanya Iran huko Israel. Ipo hivi Israel ina mfumo wa ulinzi wa anga ambao mpaka sasa umezuia zaidi ya Makombora 200 hatari. Imebidi sasa Iran atumie Hypersonic Ballistic missile ambayo ni hatari kubwa lakini bado zimefika chache. Kwa hesabu ndogo mpaka sasa Israeli kwenye maeneo yenye watu zimetumwa kombora zaid ya 250. Bila mfumo wa ulinzi wa Israeli basi mpaka muda huu kusinge kuwa na taifa linaitwa Israel. Wakati Israel ana pigana vita na jeshi la Iran muda huo Iran ana target raia wasio hata na kisu huko Israel katika moja ya Tel Aviv, Haifa na Jerusalem. Endelea Na Uzi ⤵️
Kaji 🎬 tweet mediaKaji 🎬 tweet media
Filipino
184
74
591
125.3K
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@JumaAyoo Wakiandamana wanaulizwa hivyo hivyo kwamba hakuna njia mbadala ya kudai haki? Wakivamia post hizi swali ni hilo hilo. Good way ni maridhiano ya Mbowe, ambayo nayo yalipuuzwa. Kimsingi ni kama Bofi ya Ligi ns Yanga. Unataka Yanga watumie njia mbadala wakati Bodi imejikausha...
Indonesia
0
0
0
53
Juma Ayo
Juma Ayo@JumaAyoo·
Hivi hakuna njia nyingine inayoweza kutumika kudai uchaguzi huru tofauti na hizi comments za No reform no Election?
Indonesia
386
38
775
86.5K
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@FlavianaMatata Wewe unapokuwa kwenye majukwaa mbona unakosa uzalendo unavaa chupi hadharani? Je ninutamaduni wetu huo? Kaone kalivyo kazuri...
हिन्दी
0
0
0
160
Flaviana Matata
Flaviana Matata@FlavianaMatata·
Huyu commentators wa Azam ni nani?! Zero uzalendo😭 anatia chumvi kwenye kidonda
Filipino
117
35
1.1K
85.3K
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@MariaSTsehai @HecheJohn Sema mnafurahisha sana. Lissu akakamatwa kama kibaka mbele ya kende zote hizo. Nchi ya kisenge sana hii. Watu waliotaka maridhiano baada ya kuona kutumia nguvu ya umma haiwezekani. Haya pambaneni.
Indonesia
0
0
1
458
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Hili gari linalofuatilia msafara wa @HecheJohn ni akina nani hawa? Mi nashauri watu waende wawagongee vioo wafungue tuwatambue 😅 Kama hawana nia mbaya watafungua madirisha na kujitambulisha! Eniwei intimidation zitaisha wakitambua kuwa watanzania si waoga bali watulivu #TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
38
159
620
67.7K
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@IsaraMo9 @Labella_Mafia95 Hilda anaigiza naye? Maana huyo mama huwa anapaza sauti kwa wanaogiza. Unaacha mtoto nyumbani mchanga kisa Lissu?
Filipino
0
0
0
9
Isara Mo
Isara Mo@IsaraMo9·
@Labella_Mafia95 Alipopigwa yule kada wa CHADEMA huyu alipaza sana SAUTI. Apaze sauti sasa juu ya Hilda pia .
Isara Mo tweet media
1
0
1
425
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚
Mtoto hajanyonya toka jana — mchanga kabisa! We can do better. Akina mama mnajua stress ya kuwa mbali na mwanao mchanga hujui kama amekula, huku maziwa yakiwa yamejaa na kuuma! Hii siyo sawa. Tuonyeshe utu. Please, let's be human!
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚 tweet media𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚 tweet media
Indonesia
129
328
1.8K
123.3K
Sam otulo mrema
Sam otulo mrema@SamotuloMrema·
@Labella_Mafia95 Humu kuna muda unatamani usinfungue comment kuna mijitu misenge zinakomenti ujinga kwenye mambo yanayoitaji utu utawale kuliko chuki ko ukiwa unanyonyesha hauruhusiwi kutoka kwenda mahakamani watu wengine sijui mnawaza kupitia makalio
Indonesia
3
0
12
1.2K
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@JulianaMbowe Katoliki wanakuqa active rais akiqa Muislam... Mbona usenge wa Magufuli walikuwa kimya?
Indonesia
21
0
8
8.5K
Joyce Evaristi
Joyce Evaristi@JoyceHuru·
Makonda kampigia Cm IGP Wambura jana akamate Maaskofu n Mapadri wanaoshinikiza Lisu aachiwe mara moja kajibiwa kuwakamata ni ngumu nipo tayari kuacha kazi!
Indonesia
214
229
2.5K
153.3K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Na wadogo zangu, tukipata darasa kidogo.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
9
40
677
18K
Dk Levy
Dk Levy@babaubaya__·
@mashkashare @MariaSTsehai @ccm_tanzania Kwamba nifuate ushauri wa Maria kweli? Huyu huyu Maria wa Magufuli 2015? Huyu Maria wa ACT Wazalendo? Daily anabadili gia angani ya kutafuta platforms? Shida chama kinaongozwa na mawazo ya wanaharakati ambao wapo kimaslahi binafsi...
Indonesia
1
0
0
22