Iamcactus

2.5K posts

Iamcactus banner
Iamcactus

Iamcactus

@cactusmiles

immortal

Katılım Mayıs 2023
648 Takip Edilen502 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Iamcactus
Iamcactus@cactusmiles·
when we were young we used to wander in the forest looking for mushrooms for dinner Today we get older and we are wandering in the street looking for food. Make each day count today, no better days to come.
English
0
1
4
455
Ed
Ed@Mwagger·
@AlexSamoja "Hata mle nyasi ndege ya rais lazima inunuliwe".
Indonesia
2
0
6
277
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Misemo ya Kibabe Duniani kutokea 😄 1- The Rothschild "I care not who make laws as long as I control Nation's Money/currency" 2-Zayeed Bakhresa " You may see duck swim in the lake but my dad own the lake" 3-Sativa "Hatuna Hela Ila Kesi ya million 100 huwezi kutufunga Jela"
English
4
16
131
5.9K
Iamcactus
Iamcactus@cactusmiles·
haya madini yaandaliwe documentary yalushwe hewani plae Tbc
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid

#TajiriLakihaya Jana tulikua tunakumbushana tu ili tuwe Sawa! Sasa VIJANA Naomba tujadili issue kamili- najua wengi mnaogopa kujadili hii mada Kwa kuogopa matusi na hata usipate support yoyote… Ila lazima tulijadili hili Kwa maslahi mapana ya Sisi vijana na kizazi chetu cha kesho… Kuzidi kufunguliwa kwa Betting Companies kila uchao na hata hii ya juzi ilioleta kelele humu si hatua ya maendeleo, ni kengele ya hatari kwa kizazi chetu vijana. Kamari haitujengei vijana uwezo, haitupi ujuzi, wala haitengenezi thamani kwenye uchumi. Inauza ndoto ya ushindi wa haraka, lakini ukweli wake ni mzunguko wa hasara, madeni, utegemezi na kuvunjika kwa maisha. Tunaambiwa ni ‘AJIRA’, lakini ni ajira ya aina gani inayotegemea watu wengi kupoteza pesa zao ili wachache wanufaike? Huu si uchumi jumuishi,ni mfumo unaonufaisha kampuni huku ukiwaacha vijana wakizama kwenye hasara. Na ndio maana kampuni za kamari kila siku zinaongezeka lakini vijana BADO tupo kwenye umasikini ule ule Miaka nenda Miaka Rudi💔 Athari zake zipo wazi; Madeni yanayokua kimya kimya,Msongo wa mawazo na hata uraibu wa kamari, Kupotea kwa muda na nguvu ambazo zingetumika kujenga maisha,Kupungua kwa tija kwa vijana waliopaswa kuwa nguvu kazi ya taifa nk. Serikali haiwezi kusema inajali vijana huku ikiendeleza mazingira yanayowasukuma kwenye utegemezi wa BAHATI badala ya juhudi na ubunifu. Hii si sera ya maendeleo, ni kuruhusu kizazi kipotee polepole. Vijana tuamke. Hakuna ‘shortcut’ ya mafanikio kwenye kamari. Waliopo juu ni wachache wanaotumika kama matangazo,lakini maelfu wako chini wakipoteza. KAMARI sio ajira, ni mtego unaowalenga vijana moja kwa moja. Tunauziwa ndoto za ushindi wa haraka, lakini uhalisia ni madeni, utegemezi, msongo wa mawazo na kupoteza kabisa mwelekeo wa maisha. Serikali haiwezi kwa mkono mmoja kuzungumzia kuwawezesha vijana, halafu kwa mkono mwingine kufungua milango ya kamari inayowapumbaza na kuwavuta kwenye utegemezi wa bahati. Hii si sera ya maendeleo,ni kulea utegemezi. Vijana tuamke. Hakuna utajiri wa mkato kwenye kamari! waliowanufaika ni wachache sana, na wengi wanabaki na hasara, maumivu na muda uliopotea. Taifa haliwezi kujengwa kwa tiketi za bahati nasibu. Tunahitaji ajira halisi, elimu bora na fursa za uzalishaji,sio kamari. Tunahitaji uwekezaji kwenye elimu ya vitendo, ujasiriamali, viwanda na teknolojia,not betting. Taifa haliwezi kujengwa kwa kubeti,linajengwa kwa kuzalisha💯💯 Serikali ifikirie upya,hatuwezi kujenga taifa kwa kuwapa vijana ndoto za mkato zisizo na kesho💯💯 Serikali haipaswi kulea kizazi kwa bahati nasibu badala ya fursa halisi. Vijana tuamke,hii si njia ya mafanikio💯💯

Indonesia
0
1
1
40
Dee
Dee@DavedasTz·
@MarekaMalili Ni nchi za Africa tu ndo kuna mamb aya ila kwa wenzetu wengi wanavyote hvyo na wala sio hajabu
Indonesia
3
0
4
637
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Kuna Bro hapa kaniambia, Mungu hawezi kukupa Afya, Hela na Muda at the same time. Bado natafakari.
Indonesia
64
117
1.1K
33.5K
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
Ntakusaidia kupata AJIRA Dubai na ufanye maisha yako SIHITAJI PESA yako wala sichaji gharama zozote NAOMBA NIELEWEKE nikipost kazi ukiona inakufaa apply sio AGENT wala sitoi VIZA kama utahitaji msaada wa kukuelekeza jambo DM iko wazi Alichonipa mungu hapa Dubai kikubwa sana 🙏
Mudi Mabiriani in Dubai tweet media
Indonesia
13
19
169
6.1K
Hamy🎙
Hamy🎙@Amidumtalii·
@Mudimabiriani Kama nimemuelewa Vizuri jamaa ni kwamba ana uhitaji lakini hata zile gharama ndogo ndogo mpaka anaifa huko yaani ticket, Visa na hili ni jambo ambalo linatikwamisha watz wengi kuvuka, Dah
Filipino
2
0
2
378
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
@Amidumtalii Ntampa msaada lakini mambo ya kulipana sihitaji ntampa muongozo lakini swala la malipo kwangu sio mambo yangu achague msosi unaomfaa ale inatosha 🙏 Uhitaji naelewa michongo ikitokea naimwaga hapa Mungu aendelee kuwa mwema
Indonesia
2
0
2
315
EAST
EAST@Prince_Urio·
Mapenzi bana Niliwai panga geto sehemu fulani hivi Ile nyumba ilikua na geti na pia tulikua wapangaji 9 mademu saba masela wawili. Pale tulipopanga kila mtu alikua na mishemishe zake kwahiyo mara nyingi asubuhi ikifika kila mtu anasepa kitaa, ila kurudi kila mtu anarudi (1/5)
Indonesia
12
5
55
3.3K
Khamis Matallah
Khamis Matallah@Matallahkhamis·
@nassor_01 Ukiangalia kiasili hapa Jini ana nguvu kuliko Binadamu kutokana na asili ya uumbaji wao. Majini waliumbiwa na akili tu na Wanyama waliumbiwa matamanio tu na Binadamu waumbwa na vyote matamanio na akili.
Indonesia
2
0
0
220
CHOLLO
CHOLLO@nassor_01·
Ajitokeze mtu yeyote anayeijua dini vizuri,awe Muslim au Christian ,nataka nimuulize maswali matatu tu ili ni confirm Imani yangu rasmi...who can answer my question ⁉️
CHOLLO tweet media
Indonesia
35
24
71
6.6K
Kibayasi FS 🇹🇿
Kibayasi FS 🇹🇿@Hon_KibayasiF·
Ladies: Mnapoishi na Wadada wenu wa kazi kuweni nao makini. Jirani leo naona anamsafirisha Binti wake wa kazi. Binti tangu kaja ana wiki 1 tuu. Jirani kanisimulia kuwa kila siku asubuhi anatumia dakika 15-30 kumgongea ili kumuamsha Binti wake wa kazi. 👇
Filipino
45
40
562
59.3K
Iamcactus
Iamcactus@cactusmiles·
@shija21 @Aruatani mkuu, umekosa mifano mingine ya kujitolea mpaka ujifananishe na malaya!?. hii generatio hapana kmmke
Indonesia
0
0
0
11
shija Habib
shija Habib@shija21·
@Aruatani Nijichekeshe kama malaya na madeni yangu maana kipind cha sakat nili cheka sana mamae😂😂😂😂😂
Indonesia
1
0
0
490
Mwga,
Mwga,@Mwga20·
@cactusmiles @Noedson_tz Swali Hilo kwanini abadilishe n umepewa Hela kamili na kuedit kuwa 8 pro kwanini mteja asione huo kama sio utapeli 🚮😂
Filipino
1
0
0
7
NOED.
NOED.@Noedson_tz·
Kosa la Mlinganya ni kubadilisha 7 PRO kuwa 8 PRO hapo kazingua big time. Simtetei hapo.
Filipino
26
21
340
15.2K
Iamcactus
Iamcactus@cactusmiles·
@Mudimabiriani Binadamu ni wachache mfano wako, asilimia kubwa bado tuna roho za kwanin. Karma ikulipe kila lenye kheri mkuu
Indonesia
1
1
1
308
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
Dubai kama Dar es Salaam, Abu Dhabi kama Dodoma, Sharjah kama Arusha,Ras Al Khaiman kama Moshi, Ajman kama Mwanza, Fujairah kama Mbeya, Umm Al Qawain kama Tanga na majiji yote yamechangamka Nchi inaitwa United Arab of Emirates, yenye fursa nyingi kuliko kwa kizimkazi
Indonesia
4
18
184
5.6K
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
Ni rahisi kupata kazi ya ndoto yako ukiwa hapa tayari Dubai kuliko uki apply online ukiwa Kizimkazi
Indonesia
8
12
129
5K
KANALI
KANALI@kingnweze·
@Mudimabiriani Nije basi dm unisaidie maelekezo mkuu Niko siriaz ...hii nchi saivi ni kama inajiendesha yenyewe autopilot acha na Mimi nijitafute
HT
3
0
12
705
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
Wewe ni Dereva na una Drive License ya BONGO ingia Dubai kisha pita madarasa yao week tatu upewe International Driving licence ya hapa uendeshe gari on left hand Usahau umaskini 🎯 Ukiwa hauna leseni ya Bongo kupata leseni hapa ni sawa na milioni 15 ya kibongo
Indonesia
19
57
599
26.8K