Willy Chilly

1K posts

Willy Chilly

Willy Chilly

@chilimow

😂😂😂

Katılım Nisan 2015
452 Takip Edilen71 Takipçiler
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Inaonekana China ndiyo watu pekee wanaoelewa nguvu ya Marekani na Donald Trump. Nchini Venezuela, Maduro alikuwa akitegemea sana usaidizi wa China lakini Donald Trump alipojitokeza, China ilimwacha Maduro. Nchini Nigeria, baadhi ya viongozi walikuwa wakiitegemea China na waliamini kuunda muungano na China kungezuia shambulio la Trump dhidi ya magaidi wa Kiislamu. Trump alifika, alifanya mashambulizi yake na China haikukohoa. Sasa, nchini Iran, Trump alizuia Mlango wa Hormuz na kuzuia meli kuingia au kutoka bandari za Iran. Jana, meli za China ziligeuka baada ya kukumbana na kizuizi cha Marekani. Baadhi ya watu walibishana kwamba China bila shaka ingekabiliana na Marekani na inaweza hata kuandamana hadi Mlango wa Hormuz na jeshi lao wenyewe. Unajua nini? Leo, China inaithamini Marekani na Donald Trump kwa kufungua Mlango wa Hormuz na China imekubali kuacha kutuma silaha Iran. Ni dhahiri, baadhi ya watu, tunadharau sana nguvu ya kijeshi ya Marekani. Ni China pekee inayoonekana kuona kile ambacho hatuoni.
Indonesia
13
9
67
5.7K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Trump sio Mkatoliki, Usitegemee atamuheshimu Papa, Hata hawa wanaosema Trump Kamkosea Papa, Hawana heshima yoyote kwa Papa, Ni unafiki, siku Papa akipiga patakapowauma wao watatoa milio kama Trump vile vile. Uzuri Papa huwa hakai upande wowote, Yeye husema ukweli.
Indonesia
44
25
246
9.7K
John saruni
John saruni@john_africaines·
@ayubu_madenge Sio kuzuia tu ikiwezekana na wazuie chochote kuingia ama kutoka iran, wazuie kila aina ya malighafi inayouzwa iran kwenda nje ya nchi mabomba yote ya maji, umeme na nishati ilipuliwe hospital zibomolewe maana magaidi wanafany watu kama ngao
Indonesia
9
0
8
844
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Jeshi la Marekani limesema ikifika saa 11:00 jioni ya leo, litafunga bandari zote za Iran za mfereji wa Hormuz na kuzuia meli yoyote ile kuingia na kutoka kwenye bandari hizo. Iran inatagemea bandari hizo kuuza mafuta na imesema uamuzi huo wa USA ni uchokozi na wataushughulikia.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
34
51
864
16K
Vunga
Vunga@VungaEl74·
@_Tajiri__ Unajua hao wamesoma chuo gan
हिन्दी
4
0
3
1.8K
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Tulisema mapema kwamba Mlango-Bahari wa Hormuz uliofungwa ni ushindi mkubwa kwa Donald Trump. Sasa, ametangaza tu kwamba atazuia Mlango-Bahari wa Hormuz mwenyewe na Iran haitauza tena mafuta. Na sasa, Marekani ina mafuta mengi kuliko Urusi na Saudi Arabia zikiwa zimeunganishwa pamoja. Na meli nyingi za mafuta ziko tayari kuelekea Marekani kujaza mafuta. Iran haijawahi kuona hili likitokea.
Indonesia
56
30
320
25.2K
Willy Chilly
Willy Chilly@chilimow·
@kanagana_gete Wewe ndiye Uliyemtambua Nabii Kama Mungu Ila MUNGU Anabaki kuwa MUNGU kwa kuwa Yeye ni Mkubwa Kuliko Dini na Kanisa
Filipino
0
0
0
8
KANEGENE
KANEGENE@kanagana_gete·
Yohana 20:28 “Tomaso akamwambia[Yesu], “BWANA wangu na MUNGU wangu!” Hivi ndivyo tumemtambua Yesu,kwa imani,ya kwamba,ni BWANA,na MUNGU hakika.
KANEGENE tweet media
Indonesia
3
3
43
522
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Rais Trump anasema kwenye chapisho lake kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuangamiza ustaarabu wa Irani liliileta Iran mezani.
Filipino
5
1
6
1.7K
Willy Chilly
Willy Chilly@chilimow·
@VungaEl74 Ukweli ni kama Jua Hata ukijifunika na ungo,utajificha Wewe Tu Wengine Wataendelea kuliona tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Indonesia
0
0
0
6
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Kiongozi Mkuu wa Iran Mojtaba Khamenei anasema "Iran ndiye mshindi dhahiri" wa vita hivyo. Ametangaza ushindi kwa irani 😆
Vunga tweet media
Indonesia
6
5
27
1.1K
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
Mm hata niwe kwa mguu ila siwezi sizidiwa ujanja kwa manzi na janki anayeendesha IST, CROWN au BREVIS never 😅😅😅
Indonesia
5
12
80
2.1K
NYANI MZEE
NYANI MZEE@jwise017·
Events za harusi zinaboa sana. Mambo ni yale yale kila siku hakuna kipya. Ingia ukumbini, cheza kidogo, kata keki, tambulisha ndugu, toa zawadi halafu nenda kwenye msosi. Hatuwezi kufanya mambo tofauti? Yaani ni kama tumekua “programmed” kufanya hivyo. Boring and boring 🚮🚮
Indonesia
60
44
558
34.6K
Wade Mkalidayo
Wade Mkalidayo@Byterbist·
Unashangilia Iran kuendelea kudhibiti straight of Hormuz bado hapo hapo unalalamika kupanda kwa nauli na gharama za mafuta kama sio usenge ni nini ndugu yangu
Filipino
18
14
109
3K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Boti moja iliyokuwa na takribani askari kumi na wawili wenye silaha imeishambulia meli ya mizigo karibu na mlango wa bahari wa Bab al-Mandeb katika Bahari ya Shamu. Shambulio hilo halikufanikiwa, kwani walishindwa kuipanda meli hiyo. Inaonekana kama kundi la Houthis limeanza mashambulizi kwa lengo la kufunga njia hiyo muhimu ya baharini.
Polycarp The Bibliophile tweet media
Indonesia
4
4
63
5.3K
KANEGENE
KANEGENE@kanagana_gete·
“Hapo Petro, akiwa pamoja na wale mitume wengine,akajibu,LAZIMA TUMTII MUNGU,na SIYO BINADAMU.” Matendo 5:29 TEC inadumisha urika huo wa kiaskofu kila wakati ambapo inafaa;kuonya,kukaripia na kusahisha mielekeo hatari ya serikali. Askofu Rweyongeza,wa Jimbo la Kayanga,anaonya.
Indonesia
9
45
185
8.6K
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Bhutto hapa alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan. Alikuwa Rais wa Taifa hilo kwa muda mfupi sana wa mpito baada ya Rais wa Kijeshi Yahaya Khan kujiuzulu kufuatia kushindwa vita iliyoligawa Taifa la Pakistan na kuzaliwa Bangladesh . Baadaye alikuwa Waziri Mkuu
Swahili Times@swahilitimes

Desemba 15, 1971, Rais wa Pakistan, Zulfikar Ali Bhutto alichana hati ya Umoja wa Mataifa katika mkutano na Marekani wakati Pakistan ilipozuiwa kuwa na silaha za nyuklia, akisisitiza kuwa "Tukilazimika tutakula nyasi, lakini tutatengeneza bomu letu la nyuklia." Mwaka 1972, Rais Bhutto alianza rasmi mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia.

Indonesia
5
4
49
11.2K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Taarifa zinasema China inajiandaa kuipa Iran silaha za kivita. Rais Trump ameulizwa kuhusu hili akasema China itakumbana na matatizo makubwa mnoo iwapo itathubutu kufanya hivyo.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
19
45
816
15.8K
Vunga
Vunga@VungaEl74·
Iran ilitishia kwamba meli yoyote ya Jeshi la Wanamaji la Marekani iliyopatikana maili 50 karibu na Mlango-Bahari wa Hormuz, ingelengwa. Na leo, meli kadhaa za Jeshi la Wanamaji la Marekani zilipita kwenye Mlango-Bahari wa Hormuz bila hata mkwaruzo. Sahau kelele za mtandaoni, Iran inamuogopa sana Trump. Trump😆🙌🏽
Indonesia
24
12
107
8.1K
Mamwavi_Nkabasia
Mamwavi_Nkabasia@joeselasini·
Utawala umefitinika. Baada ya Mwl. walikuja Marais wengine na tuna huyu wa 29.10.2024. Anachosema Mhe. Nchimbi waliofuata baada ya Mwl. wametumia urais kwa faida yao. Huu ni ukweli dhahiri kabisa. Nchi inauzwa vipande vipande; madini, mbuga na ardhi yetu nk vinaondoka.
Mamwavi_Nkabasia tweet media
Indonesia
6
33
124
2.4K
Willy Chilly
Willy Chilly@chilimow·
@ezzy_wix Acha Uzembe Wa Kufikiria Wewe Hata Wewe Ukisoma Ulichoandika lazima Ujicheke
Indonesia
0
0
0
11
EZEKIAH JEREMIAH
EZEKIAH JEREMIAH@ezzy_wix·
Watanzania wengi tunaamini mayai ya kisasa sio mazuri ukilinganisha na mayai ya kienyeji. Ukweli ni kwamba mayai ya kisasa na ya kienyeji hayana utofauti in terms of nutrients. #Elimikawikiend
EZEKIAH JEREMIAH tweet mediaEZEKIAH JEREMIAH tweet media
Indonesia
76
36
443
33.7K
Willy Chilly
Willy Chilly@chilimow·
@CoolestDudeOnX Mtu Anahoji Kutumia Hiyo Sayansi Anaonekana Miyeyusho Utumwa wa Kifikra Mbaya Sana
Indonesia
1
0
0
34