confusing speaker retweetledi
confusing speaker
2.8K posts

confusing speaker
@confusing_speak
optimiste
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ekim 2022
337 Takip Edilen204 Takipçiler

@mchiziMonie @kasimuabuu98 Ungekuwa MPANGWA hata mimi ningeanza kuogopa. Unapiga zako TEGO linatafuna ukoo mzima.. linaanzia na wepesi wanaopuuzia mila kisha linawafuata vingunge. Hiyo misiba mitatu uhakika na wakijifanya wabishi anazika ukoo mzima yeye anakuwa wa mwisho
Indonesia

@bmuajir03 @ercurry_ YOHANA na MATHAYO ni wanafunzi wa Yesu.
Injiri ya MARKO ingepaswa kuandikwa kuwa ni 'Injiri ya PETRO' Tatizo ni kuwa anayepewa andiko ni mwandishi na PETRO alikuwa hajui kusoma na kuandika kwahiyo yeye alikuwa akitoa alichohifadhi kichwani mwake na Marko akimsaidia kuandika
Filipino

@emabilly2001 El mencho vs El chappo
Huyu El mencho ni mtoto wa Sineroa Cartel ya bwana El Chapo.
So lilipo jina la El mencho lifute andika El CHAPPO
Español

@ercurry_ Kitu anacho, yeye hatumii na wewe hakupi.. HUO SIO UCHOYO.
Indonesia

@77Rondo5 @PapiiKhan98 IPT sio kazini mzee hata sisi tumefanya hizo
Filipino

@confusing_speak @PapiiKhan98 Mimi mbona nimefanya nao kazi hospital tena walikuwa 4 from UDOM
Filipino

@bwaya Fikra za aina hii ni fikra dhaifu zilizoibukia karne ya 21. Matokeo yake ni dunia dhaifu ya ushoga na baby mama... dadiooo... chapati za maji ngumu... juice ya embe Chungu.
Shindwa pepo.!!!
Indonesia

Umewahi kufikiria maumivu ya mtoto kunyimwa kufurahia utoto wake? Haruhusiwi kufanya makosa. Haruhusiwi kufikiri kama mtoto. Haruhusiwi kutaka wanachotaka watoto wengine. Mtoto anakomazwa kuzidi umri wake.
“Unaogopaje kulala mwenyewe?”
“Umechafuka tena? Sitaki mtoto anarudi na vumbi ndani.”
“Unathubutu kulia na mdogo wako afanyaje?”
“Unakuja kunisemea mimi nifanye nini? Hebu ondoka acha kunidekea hapa.”
Huenda ni dhana kuwa utoto ni ujinga. Huenda ni wazazi kuwa na msimamo mkali kupindukia. Huenda ni shauku ya mzazi kumwona mtoto anawazidi uwezo wenzake (smart kid), na pengine ni tatizo la kutafsiri woga kama nidhamu na udadisi kama ukorofi.
Lakini inaweza pia mzazi anakuwa kalemewa na mengi na hana mtu mwingine wa kumshirikisha na mtoto anageuzwa kuwa dodoki la kubeba matatizo yanayozidi umri wake.
“Baba yenu ni mtu katili sana.”
“Mnaona mama yenu anachonifanyia?”
“Usije ukalogwa uwaamini wanawake”.
Tunaweza tusione matokeo ya kuwabebesha watoto mizigo isiyowahusu lakini matokeo yake yakaribu maisha ya baadae. Kumkimbiza mtoto awe mtu mzima kabla ya wakati ni kumwandaa kuurudia utoto wake akiwa mtu mzima. Malezi ni pamoja na kuwaruhusu watoto kuufurahia utoto wao na kuwasaidia kukabiliana na changamoto kwa namna inayolingana na umri wao.
Indonesia
confusing speaker retweetledi

@bonifacejoseph_ Schoes, Mess na Xavi tu. Hao waendelee kukaa wengine wote wasimame
Indonesia

Kama ni Aspect ya PASSING, hapo Zidane ampishe TU. Kama ni all-round aendelee kusimama tu
JEY🥇@Mmonkoaa
Who should stand up for Kevin de Bruyne to sit??
Eesti
confusing speaker retweetledi

@Rydx_017 Physics ipi.?
Tuleteeni hapa matokeo ya PCB na PCM mwaka wowote ule, shule yoyote Ile TUSIONGEE KWA HISIA
Filipino

@PapiiKhan98 @77Rondo5 Atuambie watu wa HIS wameajiliwa wapi.?
Indonesia

@confusing_speak @77Rondo5 Jamaa Amesema waliosoma CIVE wote wameajiriwa 😂😂
Indonesia

@77Rondo5 @PapiiKhan98 Bsc HIS ni jobless mwenye uzoefu wa miaka 7.
HT

@PapiiKhan98 Hakuna mtu katoka CIVE hana ajira labda twambie umesoma nini mkuu
Indonesia

@juliejuleth @Adventure_36 Huo ndio unatakiwa kuwa utaratibu
Filipino

@LastbornWaWapwa @heisnabeel Njombe, kwetu tulipanda kama maua Hatukuwa tunajua kama ni strawberry yaani matunda ya maana. Tulipoanza kusikia matangazo ya CONDOM ndio tukajua yanaitwa hivo
Indonesia

Toka nimezaliwa haya matunda sijawai kuyatia machoni wala mdomoni ni ndoto yangu ipo siku🙌
ЄƦ30@ercurry_
Kwa hapa Tanzania Strawberry inalimwa sana wapi?
Indonesia

@Engkabora @belindaPINDA01 Tuambie kwanza wewe ni dini gani.?
Indonesia
















