deeboygardaf

1.8K posts

deeboygardaf banner
deeboygardaf

deeboygardaf

@d_gardaf

LifeIsAllAboutMakingHistory

Katılım Şubat 2022
219 Takip Edilen181 Takipçiler
Leloo Electronics
Leloo Electronics@Amanileloo·
Mtu anakuja kununua Tv inch43 ..kwenye kulipa anafungua begi anawatolea mia tano tano za laki nne...ikipata return hii balaa
Indonesia
22
28
329
18.7K
deeboygardaf
deeboygardaf@d_gardaf·
@JimmyMtanzania @jwise017 Waga mnajidanganya sana aisee mchukie kwa mengine ila huyo mzee dar ndiyo aliijenga zaidi kuliko huko unako kuita "usukumani"
Filipino
0
0
0
49
Zumbe Mtana
Zumbe Mtana@JimmyMtanzania·
@jwise017 Ndio maeneo mawili ambayo ameacha legacy iliyobadili kabisa maisha ya maeneo hayo Dom na Usukumani.
Filipino
1
1
0
647
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
Talking about kusujudu dini ya kiyahudi wakisali wana sali kama waislamu
PASTA JOSHUA@pastajoshuatz

Kwanza kabisa, hakuna Mkristo mwenye akili anayesema Yesu alikuwa Mzungu. Hilo ni suala la sanaa za Ulaya, sio mafundisho ya Biblia. Yesu alikuwa Myahudi wa Mashariki ya Kati — hilo halipingwi. Lakini sasa kwenye hoja zako 👇 1. Kusujudu Ndiyo, Yesu Kristo alisujudu. Lakini kusujudu haimaanishi Uislam. Manabii wengi walifanya hivyo hata kabla ya Uislam kuwepo — akiwemo Ibrahim. So hiyo si “Islamic signature”, ni ibada ya kawaida ya unyenyekevu. 2. Kunawa / Usafi Kunawa si wudhu ya Kiislam tu. Hiyo ilikuwa sehemu ya Sheria ya Kiyahudi (Torah) ambayo Yesu aliishi ndani yake. 3. Sinagogi vs Kanisa Umesema hakwenda kanisani — sawa. Lakini unasahau kitu kikubwa: Kanisa lilianza BAADA ya Yesu. Na msingi wake uliwekwa na wanafunzi wake kama Petro Mtume baada ya tukio la Pentekoste. So unataka afanye kitu ambacho hakikuwa bado kimeanzishwa? Haina mantiki. 4. Unyenyekevu katika ibada Hapa hakuna ubishi — lakini hilo halifanyi Ukristo uwe Uislam. Yesu alikemea unafiki, sio aina ya ibada yenyewe. 5. “Hakukuwa na nyimbo” Hii si sahihi. Yesu na wanafunzi wake waliimba nyimbo (Mathayo 26:30). 6. Mungu ni mmoja Hapa ndio watu wengi wanachanganya. Ndiyo, Mungu ni mmoja — lakini Ukristo unaelewa huo umoja tofauti (Utatu). Na Yesu mwenyewe alijitofautisha na manabii wa kawaida kwa mambo kama: •Kusamehe dhambi (Marko 2:5-7) •Kujita “Mimi ni” (Yohana 8:58) — kauli inayohusishwa na Mungu Hapa ndipo Ukristo unatofautiana na Uislam, si kwenye kusujudu au kunawa. Unajaribu kumfanya Yesu aonekane kama Muislam kwa kuchukua matendo ya kawaida ya manabii na kuyaita ya Kiislam, huku ukipuuza mafundisho yake ya msingi kabisa.

Indonesia
10
1
10
2.2K
BAD NUMBER🥷🏿
BAD NUMBER🥷🏿@ByCardoJason·
@CenturyBoe @LifeofSteph_1 Missionary ni the best ever, kuna toto 1 nilikamia nikainyundo sana tukachoka wote Jinsi ilivyokua nzuri ile toto sikuchomoa nililala hivohivo juu. Na enyewe ilipitiwa later tena mi ndo nikawa wa 1 kustuka naamka tu ni kama uko na njaa afu umengatishwa msosi tena imooo💪🏿😁
Indonesia
4
0
1
278
R.M
R.M@shibobo___·
@MswatiKing_01 Rabat alomtoa bingwa mtetezi pyramids hajapoteza haya mashindano kafungwa na Yanga tu
2
0
17
993
Toto la kishua
Toto la kishua@MswatiKing_01·
Al Ahly anashughulikiwa akiwa home 😂😂🔥 Group la Yanga lilikuwa na vibonde 😂🚮
Filipino
6
8
279
12.7K
ROSALINE🦋
ROSALINE🦋@AmRosalinee·
Nani ajui historia ya huu mti...???
ROSALINE🦋 tweet media
Indonesia
50
28
474
46.9K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
ILE STORY YETU SASA INAENDELEA 😁😁 Basi yule dem akawa anazunguka mtaani na wale washkaji wawili alafu ni mbavu kidogo hao washkaji, watu wengi walijua wale ni polisi kwasababu 2011 hiyo mitaa kulikuwa na wahuni sana doria za polisi zinapigwa kila siku, yan ukikutwa
Adventure-360@Adventure_36

Kesho yake mchana demu anarudi amevaa bandage mkononi na nyingine amefungwaa kichwani, usoni amevimba sana. Demu amekuja na washkaji wawili wanamtafuta mwanetu yule, Kesho ntaendelea na hii story

Indonesia
24
22
197
21.7K
Movie Plug🎬
Movie Plug🎬@MoviePlugHQ·
Ulipata mtoto wa kwaza ukiwa na miaka mingapi? 😄
Movie Plug🎬 tweet media
Polski
46
14
174
12.4K
deeboygardaf
deeboygardaf@d_gardaf·
@chapo255 Daah bongo kmmk tushalaaniwa kwaiyo adhabu ni kum'operamini anaekosea
Filipino
0
0
11
7.7K
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Kuna Muhindi mmoja alikuwa Chief accountant wa kampuni moja ya mafuta Bongo, sasa tajiri akawa anashangaa mbona kila akichezesha kukwepa kodi jamaa wa kodi wanashtukia michezo yote. Akachoka akawapa hela nzuri jamaa wa kodi then akawaambia wamtajie nani anawatonya michezo👇
SANUKAnaCHAPO tweet media
Filipino
51
38
652
140.7K
Thealpha
Thealpha@thealpha24_·
Arsenal akishinda leo mbele ya Everton niiteni Zuwena.
Filipino
241
23
320
26.8K
Mfizikia
Mfizikia@Maisha_Pro·
@kasesco_tz Diploma ni form foul failures, wale ndio walitakiwa waende Advance halafu sisi tuliofaulu 4m4 twende chuo moja kwa moja😂
Filipino
1
0
0
51
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Hivi ni kweli watu wa level ya diploma ndio wanauwezo mzuri wa kufanya kazi vizuri maofisini kuliko watu wenye degree..?
Indonesia
40
35
265
12.5K
Ebuka
Ebuka@EbukaMeansGreat·
No cheating , close your eyes and write Arsenal Mine: Ardebal
English
2.5K
193
4K
174.2K
angel bellerin02
angel bellerin02@angelbellerin02·
Nimechezea odds imagine ningeweka hata 10k 😭💔🍀🍀
angel bellerin02 tweet media
Română
15
17
117
9.4K