EGF
509 posts

EGF
@egf_eddy
Stay positive and make it happen.
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Katılım Ağustos 2016
158 Takip Edilen55 Takipçiler

@Novich276961 @Addy_Adams Afu unakuja stuka wewe ndo hujaelewa ndo raha ya sanaa ya luga mjomba
Indonesia

@TanzaniaGains Huo ni mkono wa kulia hakuna pete ya ndoa inavaliwa mkono wa kulia kaka hii unayofanya sio sahihi.
Indonesia

@egf_eddy @Rydx_017 @athanas_pius @Balyx_ @MissChelsea1221 @DullahTheking2 Duh kumbe 😃😃nikajua njaa kali kama kina sisi
Indonesia

@Rydx_017 @athanas_pius @Balyx_ @MissChelsea1221 @DullahTheking2 Siwajui ila nawatakia baraka nimevutiwa sana
हिन्दी

@__madeinpain @ArseneFanuel @MrDepalitto9 Jinsi unavo win mikeka hiyo inakuwa kama commission flani hivi.
Indonesia

@DaveConscious Hii biashara ni nzuri ila ina stress sana hasa vijana wa kuosha aisee watakutesa mno, kingine ni suala la maji ukitaka upate ahueni chimba kisima hapo utakuwa ume win.
Indonesia

@egf_eddy @francismtey Hivi kariakoo unaijua wewe?? 🤣🤣🤣 waulize wenye sheli za Puma na total energies oil zao
Filipino

@Ponge_Bromine @francismtey Vijana wa K/koo ndo wanauzia kwenye maduka ya Haisensi au maana mimi nimenunua soundbar katika maduka yao pamoja na Tv 58 inch
Indonesia

@francismtey @egf_eddy Mshua unaongea na mtu ninayeyajua haya 100% sikopeshi maneno mshua
Indonesia

@thomas_yona_ Mwanza hapo kwenye huo msikiti kumepakana na Nata mukipanda juu njia ya kwenda bugando na mwanza sec nyuma kidogo Aga khan hospital
Filipino

@dodoma360 @Mikumifinest Vya katikati ya mji vipo vingi tu Ilazo, Kisasa, Mlimwa, Area D tatizo bei utaiweza.
Indonesia

@Mikumifinest Shida ya kampuni ya real estate viwanja vingi ni nje ya mji kule chahwa au nala chigongwe. Huwez kupata kiwanja mlimwa c cha kampuni
Indonesia

@TBoundBuses Walishasema uwanja sio kwaajili ya matumizi ya Afcon huenda ukawa Sports Centre tu.
Indonesia

@Boooom7810 @tibaasili3 @winstone_nnko Ni yeye ka kaka yake kaka yaye amemaliza UDOM yeye alikikita kwenye uchekeshaji.
HT

@mlula_05 @zumbekhan Njax vipi mnamkumbuka mzee wa sarakasi akiona wazungu
Indonesia

@zumbekhan Huwez amin huy nmesoma nae image sec ghafla tu naon anafanya matanuz😂 huko mbinguni ttatajana sana @zumbekhan
Filipino

Unaambiwa pale dodoma matajiri walioshika jiji list yao iko hivi
1.Shabiby ( ana morena hotel)
2.Frank mtei (ana Imarika financial Microfinance na Bambalaga)
3.Aliko Vintage (ana zile Imagi wine na Dompo , kiwanda chake)
4.Tumaini Mtei ( Ana infinity real estate)
5.Nzota Traders ( Ana Nzota Pharmacy)
Română

@de_santo92334 @Adventure_36 Alimpakia shahidi wa yule jamaa waliopanga nae dau aisee.
Indonesia

@Adventure_36 Mna uhakika gani hapo kati hajapata Lift ya gari na chombo chake?
Filipino

































