Tug

4.5K posts

Tug banner
Tug

Tug

@glan2303

Katılım Mart 2017
2.3K Takip Edilen1.2K Takipçiler
Veesmart2🌹
Veesmart2🌹@Veesmart2·
Unaenda kumtembelea mwanaume wako baada ya muda anaenda dukani gafla unakagua ndani kwake unakuta nguo ya mwanamke mwenzako unafanyaje??🥹
Indonesia
106
40
335
17.7K
Msomi Khan
Msomi Khan@MsomiKhan18·
Jana Kijiweni kulikuwa na UBISHI. Tunda gani tamu saana kuliko Matunda yote? Nikasema EMBE, wengine wakasema parachichi. Nikasema mbona kuna watu hawatumii parachichi? Niliongea hadi nikachoka 😂
Filipino
11
14
123
3.3K
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Iko hivi……. Umri unaenda pengine hata uzee unakaribia…..but kuna ndoto na goals haujazi-accomplish. Wakati umri unavyozidi kukua ndivyo maradhi nayo yanazidi kukunyemelea, changamoto zinazidi kuwa nyingi na kubwa!! Majukumu yanazidi, family issues, kids, ndoa/mahusiano, na unakuwa financially unstable. The course ambayo ume-stick nayo kwa muda mrefu haijakupa matokeo yoyote, sana sana imekuletea changamoto zaidi na kukukosesha opportunities!! HAPA SASA NDIO MTU ANAFIKIA MAAMUZI YA KUUZA SOUL!! LIWALO NA LIWE POTELEA PWETE! Very few of us….ndio tunaweza kushikilia bomba mpaka mwisho!! No matter how tough the situation is! Sio rahisi sana, wengi wanashindwa njiani katikati ya safari! So far tumeshawapoteza wengi katikati ya hii safari….tuwaombee wanaoendelea kushikilia bomba Mungu awape imani na ustahimilivu!
Indonesia
41
279
1.6K
44.1K
Arnold Elikunda
Arnold Elikunda@arnorexC0·
@HildaNewton21 Pole sana Hilda. Lakini nilikuwa na ombi moja, kulikomboa taifa ni jambo la msingi sana, hasahasa kwenye kipindi hiki ambacho limetekwa na maharamia, lakini unaona je ukikomboa na moyo wangu, Hilda?. 😒
Filipino
8
0
6
761
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
APRIL 24, 2025 KUMBUKU ISIYOFUTIKA Siku kama ya leo mwaka mmoja uliopota yani April 24, 2025 Majira ya alasiri hivi nikiwa Mahakama ya Kisutu kwenye kesi ya Uhaini dhidi ya Mhe. Lissu nilitekwa na maofisa wa Polisi ambao walitumwa na ZCO Mafwele hii siku ilikuwa ngumu sana kwangu. Jamaa walinipiga na kunitesa sana hakuna rangi niliacha kuona. Hii ndo siku ambayo nilijua kwamba maisha ya mwanadamu ni mafupi sana maana kila nikitizama mbele nilikuwa naona kifo, nilipoteza matumaini ya kuishi na ndo siku ambayo nilijua ile sala ya mwisho huwa wasali vipi.😭 Pamoja na mateso yote niliyokuwa napitia kila nikifungua kinywa changu nilikuwa nawaomba waniachie, nikamnyonyeshe mwanangu lakin hawakunihurumia licha ya kwamba maziwa yangu yalikuwa yamejaa mpaka yalikuwa yanamwagika yenyewe, kwa mtu ambae amezaa anaweza kuelewa maumivu ambayo Mzazi huwa anapata maziwa yakiwa yamejaa kwa namna ile. Halafu badae nikaambiwa nikikubali kutoa ushirikiano wataniruhusu nijidhamini ili niende nyumbani kumnyonyesha mtoto, nikakubali nikawapa particulars zangu badae nikaletewa fomu ya kujidhamini. Basi bhana nikajaza fomu yao, nikasaini wakataka niweke fingerprints za vidole vyote kumi, nilishtuka ila kwasababu akili yangu yote ilikuwa inawaza kumuwahi mtoto sikuona kama ni issue nikaweka fingerprint. Jamaa wakaniambia twende counter ukachukue vitu vyako ili umuwahi mtoto wako, moyoni nikajisemea asante Mungu naenda kumuona mwanangu ile tumefika tu counter, jamaa wakanibadilikia wakawambia askari wa zamu mchukueni huyu mpeleleni shimoni, nikauliza vipi tena si nimekamilisha taratibu zote za kujidhamini jamaa walikuwa mbongo waligoma hata kuniorodhesha kwenye Log book nilichanganyikiwa sana ila ndo ivo nikatupwa shimoni huko. Yani ni story ndefu sana, Kuna siku nitawasimulia vizuri Lakin yote kwa yote Namshukuru sana Mungu kwa kuninusuru na kifo, nawashukuru sana Watanzania wote ambao mlinipazia sauti. Nawashukuru Dada Happy Baega, @rose_mayemba na Mawakili wangu maana ile siku wasingefika kwa wakati leo ingekuwa tunaongea mengine pengine ingekuwa natimiza Mwaka mmoja tangu nipotezwe 😭 Wakili-; @Advocate_Jebra @Advocate_Kisabo @EdvEdson @AdvMahinyila , Mungu awabariki sana nyote kwa kazi kubwa ambayo mlifanya kuhakikisha nakuwa huru.🙏❤️
Hilda Newton tweet media
Indonesia
51
140
1K
29.9K
TRUST ME BRO
TRUST ME BRO@Mwenyekit_i·
My little Kikky is turning 3 today.
TRUST ME BRO tweet mediaTRUST ME BRO tweet mediaTRUST ME BRO tweet mediaTRUST ME BRO tweet media
English
62
67
448
16.4K
Tug
Tug@glan2303·
@eralera0123 Ila moro ni kama chanika tu
Filipino
1
0
2
228
GHOST
GHOST@eralera0123·
Wakali wa location hapa ni wapi?
GHOST tweet media
Indonesia
26
18
110
10.8K
Tug
Tug@glan2303·
@Balyx_ Labda walitombeana Hawa wajinga haiwezi ikawa biashara ya mziki
Indonesia
0
0
5
1.9K
Balyx
Balyx@Balyx_·
P Square walikosana nini hiko? Imefika hatua mpaka Peter kabadirisha tarehe yake ya kuzaliwa😂
Filipino
20
16
518
29.3K
MAESTRO 🎭
MAESTRO 🎭@maestrochance_·
Unachakata hapa mwanetu ?😁👇🏾
MAESTRO 🎭 tweet media
Eesti
57
17
128
15.4K
Nonobanks ❤️
Nonobanks ❤️@lifeof_nono·
Sema leo nilipendeza mno🤗😍 MZIGONI
Nonobanks ❤️ tweet media
146
153
2.6K
371.1K
Kante
Kante@MkulimaKante·
Vodacom mtaniua kwa mabaraka kijana wenu😁🙏mb 92135 = GB 921
Kante tweet media
HT
48
20
316
34.5K
Sean 🦩
Sean 🦩@iboysean·
Ogopeni wanawake wa kipare jamani
Indonesia
56
47
485
39.5K
Tug
Tug@glan2303·
@Aruatani Alipohisi hagusi Kuta za k*ma na mwisho wake hebu nichungulie kwani Kuna ukubwa gani
Filipino
0
0
4
2.1K
Cachboy👊
Cachboy👊@Cachboy1·
@joharimshana MM TM LISSU LAKN JAHAZ LIKIFEL BORA NISAPOTI MKATORIK MWENZANG AINA MBAY
HT
1
0
0
617
Johari Mshana
Johari Mshana@joharimshana·
Nimetoa kwa ndugu yangu; Kwa busara na hekima ya kawaida, sisi WAKATOLIKI pamoja na kuwa na viongozi wazuri, mahiri, walioandaliwa vema na KATIBA ya Jamhuri haitukatazi, nafasi ya urais kama tutafanya uchaguzi kweli au huu wa kubumba, tuwaachie WATANZANIA wengine. Tunaelekea kuchokwa. Mmenielewa? Vijana wake wakali humu, wamechachamaa, ni kama wairan hawataki kuachiaa vitaa 😂
Johari Mshana tweet media
Indonesia
6
10
75
17.9K
Oladoja
Oladoja@_onlyscott·
Guess the national team VERY HARD
Oladoja tweet media
English
7K
355
8.4K
1.2M
nyakyusaboy
nyakyusaboy@nyakyusaboy·
Nini kifanyike ili watu wasiwe wanawachoma wezi? #Funguka
nyakyusaboy tweet media
Indonesia
367
28
366
38.6K
Tug
Tug@glan2303·
@eastafricatv Kumbe Kuna wenzetu wanapewa Bure😢
Filipino
0
0
0
51
Tug
Tug@glan2303·
@millardayo Sasa Hawa wasomi waliopo kazini wanafanya nn
Indonesia
0
0
0
33
millardayo
millardayo@millardayo·
Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulenga ametangaza zawadi ya shilingi milioni 10 kwa Wanafunzi Wahandisi wanaosoma Vyuo vikuu watakaoandika andiko la kibunifu lenye kutatua changamoto na kuleta suluhu katika Wizara ya Ujenzi ikiwemo suluhu ya changamoto ya foleni katika Jiji la Dar es salaam. Ulenga ameyasema hayo hii leo Februari 23, 2026 wakati akizungumza na Vijana Wahandisi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam Uhandisi na Teknolojia (COET) ambapo amesema Washindi hao mbali na kiasi hicho cha fedha watapata nafasi ya kusajiliwa Kampuni ambazo zitaenda kutatua changamoto hizo. “leo nitaweka challenge kwenu Wahandisi kupitia Chuo Kikuu cha Dar es salaam Wanafunzi na Vyuo vingine natoa hapa donge nono kwa watakaoandika vizuri wakaleta suluhu ya mambo mambo yalivyo uweze kuwa ni chemchem ya fikra chanya ya kutatua changamoto zilizopo Nchini kwetu na ninataka niseme moja kwa moja kwamba kwa muda wote nitakaokuwa Waziri wa Ujenzi Vijana watakaoandika suluhu ya changamoto zinazotukabili tutatoa milioni 10” - Waziri Ulega #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
152
27
670
75.7K
Hancy Machemba
Hancy Machemba@hancymachemba·
Tukiwa Hospital uliniambia "daddy twende nyumbani sitaki kukaa hapa" Nilikuahidi uongo kuwa tutarudi nyumbani kumbe hautorudi tena. Pumzika kwa amani mtoto wangu Machemba jr😘😘😭😭😭
Hancy Machemba tweet media
Indonesia
1.4K
175
2.1K
85.3K
Kante
Kante@MkulimaKante·
Mshikaji kajenga bonge la nyumba kwa milioni kumi na sita tu hata mwezi haujaisha. Jamaa anajua sana kuwapa hasira za maisha vijana wanaojitafuta, Alafu hata haringi kabisa.
Kante tweet media
Indonesia
47
38
964
53.8K