Cachboy👊

17K posts

Cachboy👊 banner
Cachboy👊

Cachboy👊

@Cachboy1

God is Great

Katılım Nisan 2021
870 Takip Edilen314 Takipçiler
Maverick 🇸🇴
Maverick 🇸🇴@Enemy_19·
Chura ni dereva wa STN fulani ivi pale Magogoni, anajuwa mambo mengi sana ya siri. Tuishie hapa kwa leo.
Indonesia
31
60
529
29.2K
Martine Samson Abdul Kandore
Nikimkabidhi mh @HecheJohn tunzo ya kuthamini mchango wa mwenyekiti wetu @TunduALissu katika mapambano ya demokrasia,haki na ukombozi wa taifa letu. @DarChaso Tunawashukuru viongozi kwa kuhudhuria na wanachaso kujitokeza kwa wingi.
Martine Samson Abdul Kandore tweet mediaMartine Samson Abdul Kandore tweet mediaMartine Samson Abdul Kandore tweet media
Indonesia
7
61
339
5.5K
Kipanga
Kipanga@Kipanga1986·
Wanaharakati wanasemaje maana Rais Samia kamuachia Rais Kagame kiti @_zack255 mimi mambo ya wanaharakati siyaoni maana kila mwanaharakati kaninyima block na mimi muda wa kuingia kwenye acc zao sina, vip wanasemaje
Kipanga tweet mediaKipanga tweet mediaKipanga tweet mediaKipanga tweet media
Indonesia
6
9
14
665
Haki Ngowi
Haki Ngowi@Hakingowi·
📍Dar es Salaam ▪️WAZIRI WA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA AMTEMBELEA MAMA MARIA NYERERE Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt Rhimo Nyansaho (Mb), tarehe 24 Aprili 2026, amemtembelea na kumjulia hali Mama Maria Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam. Katika ziara hiyo Mhe Waziri wa Ulinzi na JKT, Dkt Rhimo Nyansaho alipata fursa ya kukutana pia na familia nzima ya Marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Akiwa Msasani, Waziri wa Ulinzi na JKT alipata fursa ya kujadiliana mambo mbalimbali na Mama Maria Nyerere na akatumia fursa hiyo kumshukuru Mama Maria kwa mchango mkubwa wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere alioutoa kwa Taifa na Afrika kwa ujumla, Waziri Nyansaho akamuahidi Mama Maria Nyerere, kuwa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan na Watanzania kwa ujumla wataendelea kumuenzi Mwalimu Nyerere daima. Aidha Mhe. Dkt Rhimo Nyansaho pamoja na kukutana na Mama Maria alipata fursa ya kukutana na wanafamilia wa Baba wa Taifa akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mheshimiwa Makongoro Nyerere, ambaye ni mtoto wa pili wa Mwalimu Nyerere. Wengine waliokuwepo msasani nyumbani kwa Mwalimu ni pamoja na Madaraka Nyerere, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Mwalimu Nyerere, mtoto wa tatu wa baba wa Taifa, Magige Nyerere, pamoja na wanafamilia wengine. Akionekana mwenye bashasha na afya njema, Mama Maria amemshukuru Waziri wa Ulinzi na JKT, Dkt Rhimo Nyansaho kwa kumtembelea na kumjulia hali, pia, akampongeza Dkt Nyansaho kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi na kazi nzuri anayoifanya katika kuiongoza Wizara hiyo ya Ulinzi na JKT. Mhe Dkt Rhimo Nyansaho akahitimisha ziara yake nyumbani kwa Baba wa Taifa kwa kumshukuru Mama Maria Nyerere kwa kumkaribisha nyumbani na akamtakia afya njema.
Haki Ngowi tweet mediaHaki Ngowi tweet mediaHaki Ngowi tweet mediaHaki Ngowi tweet media
Indonesia
1
1
31
24.2K
Cachboy👊
Cachboy👊@Cachboy1·
@EsirEid Nilikuw sijawai kukuelew ila baada ya picha za Jan nimekuelew ww ni mtu wa vitendo sio maneno I appreciate you ❤️ 🙏
Indonesia
1
1
3
936
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Uwezo wa kuja kwenye Vikao Kama Hivi hawawezi… WAKAMARIA umeme mdogo kichwani… Pili,wakamaria Wana msongo wa mawazo…. Kitendo cha kuwaza Kujenga maghorofa na kununua magari ya kifahari Jumamosi asubuhi kabla ya mechi…. Alafu usiku Baada ya mechi kwenye JACKPOT unaona game Karibu zote zimechana mkeka sio mchezo… Na hii ni kila wiki unapata hii disappointment … lazima usiwe in a stable mind… na ndio maana WANATUKANA OVYO… wameshajikatia Tamaa… Tatu, WANAHARAKATI UCHWARA hawana CHAMA…
Mwana Mpotevu@nicholausmgo

@EsirEid wanaharakati uchwara wa kamari walikuwepo au wao kazi kutukana kwenye X

Indonesia
24
15
130
7.9K
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Leo kwenye Kongamano la Wasomi wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati Mkoa wa Dar es salaam… Muda wa Lunch - nlipata wasaa wa Kua pale HighTable pamoja na KATIBU Mkuu wa CHADEMA na viongozi wengine… Katika mazungumzo yetu Niseme kwamba JOHN MNYIKA ni TUNU ya CHADEMA… ni miongoni Kwa Viongozi waadilifu saana kwenye hii nchi… Inabidi tumlinde Kwa wivu mkubwa saaana!
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 tweet media
Indonesia
54
102
719
23K
Kipanga
Kipanga@Kipanga1986·
Moja kati ya kosa kubwa sana tulilofanya kama Taifa ni kumkaribisha Tz na kumfanya ajue kiswahili Bongo zozo badala ya kufanya kazi ya kuitangaza Tz kama balozi baada ya kuvuta mpunga mrefu kageuka kuwa mjenga chuki kwa wananchi wa Tz kuichukua Nchi yao kwa kuleta sababu za kipumbavu na za kijinga, na kwa vile watanzania wengi wao ni wajinga ndio wanaweza wakadhani hili analofanya Bongo zozo ni jambo jema na lenya maana sana Tunamuuliza Bongo zozo huko kwao Ulaya watu wanaoweza kutangaza hadharani kama watazuia uchaguzi na kwenda kukinukisha siku ya uchaguzi huwa wanaachwa na sheria za Nchi hazifanyi kazi juu ya mtu huyo, Jee huko kwao mahakama zinapewa msukumo kwamba mtuhumiwa fulani aachiwe kwa sababu ya umaarufu wake, Bongo zozo anaposema sijui Tz ili irudi kwenye amani lazima Lissu arudi uraiyani anamisha nini, nani kamuambia kwamba Tz haina amani au Lissu ni nani hata akoseshe amani ya Nchi hii, Lissu ni kiongozi wa Chadema kama alivyo Ado Shaibu na ACT au Salim Mwalimu na CHAUMMA wala sio mtu special sana wa Taifa hili kwamba bila uwepo wake kunaweza kulingiza Taifa kwenye machafuko, Bongo zozo anasema tume badala ya kuponya watu imekuja kuongeza hasira kwa wananchi, Bongo zozo anaongelea wananchi wepi au anadhani jambo kama hawakupenda wanaharakati na chadema yao ndio jambo hilo halipendwi pia na wananchi wote, tume imetoa takwimu ya mambo walioyakuta kwenye uchunguzi wao, wametoa ushauri ya nini kifanyike ili kuepusha yasiweze kujitokeza tena, Bongo zozo alitaka tume ifanyeje haswa ili yeye aone imeponya wananchi, au alitaka amsikie Jaji Chande akisema kwamba watu 10million waliuwa kati ya hao watu 5million walizikwa kwenye makaburi ya halaiki Bongo zozo ni mtu hatari sana tuliowahi kumkaribisha na kumpa thamani kubwa tukidhani ni mtu sahihi kwetu Sasa Serikali kuna haja ya kuangalia watu aina ya Bongo zozo wanaingia Tz sio kuwakumbatia na kufika hata kuwapa ubalozi wa kuitangaza Tz
Kipanga tweet media
Indonesia
69
12
39
8.3K
mimilicious🌹🍒
mimilicious🌹🍒@amina_hafidh·
@Mwinshehe07 Ushawahi kuona Issa anapiga kampeni za kuwakataa CCM au kuwa boycott? Hao wakamaria matapeli sijui si huwa kila siku wanaonesha ni kwa kiwango gani wana chuki na watu wa CCM na huwa hawana ukaribu nao SIKIA WEWE Issa ni miongoni mwa upinzani unaopiga siasa safii Sio mshamba👆
Indonesia
1
1
1
206
Pedeshee mbuzi
Pedeshee mbuzi@PedesheeMbuzi·
@Mwinshehe07 Huyo jamaa kashika akili za watu Yani Kila anachosema yanafuata kama Majinga hivi 😁
Indonesia
3
0
9
1.1K
Cachboy👊 retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Nimesema TAIVINA ana njaa kweli ila sio njaa ya Hela naona mnapiga kelele. Kijana wangu KESI ya milioni 100 humfungi naona mnapiga kelele. Sasa Hiyo Binance USDT 10K ni pesa za kula tuu na kusumbulia mjini-kesi ya MILIONI 100 Unamfunga? Kuhusu huo ujenzi ni sehemu ndogo ya MENGI makubwa. Tuoneni tuna njaa ila sio ya pesa.
SIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet media
Indonesia
71
81
978
99.2K
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Kuna mstari mwembamba sana unaomtofautisha Tajiri la kihaya na kina Bihemo, Suphian na Mpori pori, Wazee wa kuunganisha nukta kuna siku wataleta majibu, Hawa wote ni kundi moja Tofauti ni kwamba Esir huwa anasapoti pande mbili za shillings afu kina Bihemo wako upande wa mmoja wa Gavo tu, Ila wote ni washenzi
Sekenke One 🌻 tweet media
Filipino
15
9
81
6.5K
Moe Temba
Moe Temba@moetemba·
@Cachboy1 @lifeofmshaba Ukiwa mshamba alafu MBUMBAVU hakuna kitu utaweza jifunza kwa dunia 😅. Jitahidi uwe mjinga kilaza wewe.
Indonesia
1
0
0
16
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Huyu Luteni General wa Jeshi yuko kwenye Stress kali kwa kuushishwa na Tume iliyofanya mambo ya kihuni Jeshini huyo uwa ni namba mbili, na uwa ni mtu mmoja tu mwenye cheo hicho Jeshini, Kwenye Jeshi ukiondoa CDF anayefuata ni Luten General Fikiria mtu mwenye uzoefu mkubwa hivyo yamemshinda yuko na stress kali namna hii Hawa wanashinikizwa kusema uongo hivi wanakubali kwa nini? Majeshi ya kigeni yalikuwepo nchini, kulikuwa na watu wanaongea lugha ya kigeni na wasiojua kiswahili na walipiga watu Risasi Dar, mwanza na Tunduma
Think Different tweet media
Filipino
22
89
642
54.8K
Moe Temba
Moe Temba@moetemba·
@lifeofmshaba Huku X sometimes watu waongo sana, hii hupelekea kusamba kwa taarifa zisizo na ukweli. Lut Gen wapo wengi 😂.
Filipino
1
1
0
667
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Kule nikunyimwa.? Yani uchaguzi mwezi 7 mimi naanza harakati mwezi 5 wakat wenzangu wote miaka mitano yote watu walikuwa wanajua wanataka ubunge mimi wameanza kujua mwezi 5 halafu kura za maoni mwezi 7 jina limerudishwa na kamati kuu halafu nakuwa mshindi wa tatu nikunyimwa.? Unanionea Chapo😂😂 wakat jimboni wananiona dogo janja ni hero balaa ndani ya miezi miwili nilitaka kupindua meza halafu unasema nimenyimwa😂😂🙌🏿.
Indonesia
3
0
3
633
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
CCM ina wenyewe ilo ndilo watu hawataki kujua!
Maulid Kitenge@mshambuliaji

Licha ya kuongoza kura za Maoni katika Mchakato wa Uchaguzi wa Ubunge, Jimbo la Isimani (Mkoa wa Iringa), Kamati Kuu ya CCM, imemuweka kando Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama @fred_vunjabei na kumteua Emmanuela Kaganda Mtafikolo kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Isimani Mkoani Iringa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Katibu Wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenani Laban Kihongosi, imesema kuwa kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 105 (7)(f) ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977 Toleo la Julai 2025, Kamati Kuu imefanya uteuzi wa mgombea waCCM kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Isimani, lililopo wilaya ya Iringa Vijijini ambapo Mgombea aliyeteuliwa ni Emmanuela Kaganda MTAFIKOLO. #KitengeUpdates

Indonesia
13
9
162
15.8K