K A G A

16.3K posts

K A G A banner
K A G A

K A G A

@iamKaga

For some unknown reasons, I'm only interested in profitable Apps and Fifa. Any physical meetings should be done over Fifa. Meet the LOVE of my life @BandoApps

Dar-Es-Salaam, Tanzania Katılım Nisan 2012
556 Takip Edilen25.1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
K A G A
K A G A@iamKaga·
FINALLY! A product MADE IN TANZANIA 🇹🇿 . Baada ya siku 10 ya kusubiri, app imefika playstore. Kama unatumia TTCL, App yenu hiyo hapo. TUMEMUMBWA KUTOBOA, na leo tunaanza safari yetu! God is GREAT! Playstore Link: play.google.com/store/apps/det…
K A G A@iamKaga

Day 30/30 - Final Day! App imekamilika. Tunachosubiri ni playstore waipitishe iwe hewani Lengo kuu ya App ilikuwa app ifanye mauzo ya Tsh 1,000,000+ kuanzia siku ya 1, ikiwezekana wiki ya kwanza tusikose hata Tsh 5M🤣 Nawashukuru wote kwa uvumulivu wenu, kazi imebaki kwenu💪🏾💯

Eesti
97
218
682
0
K A G A
K A G A@iamKaga·
@MarekaMalili Binafsi huwa naangalia 3 things, 1. Gharama za uendeshaji kuwa too high kuliko maokoto (hii ipo sana kwenye kilimo) 2. Nakuja kugundua the Product / service ninayotoa haina soko hata nikiendelea ku force kingi 3. Nikigundua kwamba biashara haitaweza kunilipa even in the long run
Filipino
4
13
83
6K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Hivi Biashara ikifikia hatua ipi sasa unasema imekushinda? Kwamba sasa hii ni ya kuacha, sio ya kujipa matumaini kwamba mambo yatabadilika.
Indonesia
46
37
401
36.2K
K A G A
K A G A@iamKaga·
@KanyankoleSr This is why I hope you find consistency in sharing your area of expertise with us😃
English
1
0
1
418
K A G A
K A G A@iamKaga·
Kuna wale watu hata ikitokea kampuni wanapofanya kazi wanahitaji kupunguza wafanyakazi kutokana na hali ya uchumi, they are usually the last person in line kuachishwa kazi. Na hata ikitokea wanaachishwa kazi, huwa haiwachukui hata mwezi 1 kupata kazi nyingine tena inayolipa vizuri zaidi wakati wengine wanaweza kukaa benchi hata mwaka 1. The level of competence na uwezo ya hawa watu kwenye sekta waliobobea inafanya the level of difficulty kuwapata na kuwa replace kuwa ngumu sana. Pamoja na ukweli kwamba kila mtu is replaceable, ila ni muhimu utafute namna, watu wapate ugumu kuku replace, by being a valuable, exceptional and a competent human being. Hii inahitaji ufanye years of training. Na ukianza kufanya mazoezi, Hautakiwi kuwa na haraka kupanda kwenye majukwaa na kuanza kuhubiri vitu usivyo na uhakika navyo, kwasababu watu watakupa nafasi, na watakuskiliza na wataenda kujaribu ulichowaelekeza. Na endapo watakosa matokeo mazuri kutokana na maelekezo yako, you will never be trusted again. You don't have to learn everything, but you have to find one area in your life hata ukiwa usingizini, you will still be one of the most valuable and competent brains out there.
Indonesia
56
187
740
71.1K
Abubakari_
Abubakari_@abuu_jr_·
@iamKaga Commented, Reposted, Liked and Bookmarked 🔥
English
1
0
3
656
Isaack Nsumba
Isaack Nsumba@isaack_nsumba·
@iamKaga Nimesoma Kwa Utulivu Mkubwa Sana Na Nimedaka Kitu "You don't have to learn everything, but you have to find one area in your life hata ukiwa usingizini, you will still be one of the most valuable and competent brains out there"
English
1
3
23
941
SMB
SMB@SaidiMbondela·
@iamKaga Mgodi unaotembea KAGA
Eesti
1
0
0
466
Khaled
Khaled@meetkhaled_·
@iamKaga Umenena vizuri brother Kuna mtu unakutana nae mpaka unasema anafanya nini hapa si awe sehemu kubwa zaidi ya hii
Indonesia
1
0
5
834
K A G A
K A G A@iamKaga·
@NyandaAmosi Very true Amosi, I learnt this the hard way. Unaweza ukatafuta ka eneo kadogo na ukawa gwiji hatari
Polski
1
1
20
2.2K
AmosiNyanda
AmosiNyanda@NyandaAmosi·
@iamKaga Exactly kk 💯 . Muogope Zaidi Mtu aliyejipika Kwenye Eneo Moja Mara 1,000 Kuliko yule aliyejipika Kwenye Maeneo Tofauti 1,000!
HT
1
0
29
2.2K
Jogoo
Jogoo@IAmJogoo·
@iamKaga Kuna Kaga halafu kuna wengine wote.
Filipino
1
0
1
447
Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️
Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️@Godblesraymond·
@iamKaga Mara zote umekuwa chimbo langu la uhakika la kuongeza ujuzi na maarifa katika maswala mazima ya Ujuzi,Ubora ,Uzoefu ,Umuhimu wa ufanisi kwenye kazi binafsi ,ajira na uchumi kiujumla✍️✍️
Indonesia
1
0
7
1.3K
Dr. Budodi
Dr. Budodi@Dr_Budodi·
@iamKaga Kaka nilimisi haya madini,🤝 Anyways shukran. Noted✍️
Filipino
1
0
0
597