blazahimself

291 posts

blazahimself banner
blazahimself

blazahimself

@iamgratius

son🕵 Recruiter HR manager&community officer keep Resting Easy Dady😑

mboka Katılım Nisan 2021
964 Takip Edilen671 Takipçiler
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
Jumamosi mwendokasi Gerezani kiliwaka sana wananchi walizuia magari yasitoke, unaambiwa polisi walitisha watu wafute video ila watu waliochoka hawakufuta wametoa ujinga wao. #MsiogopeTumeshinda
Indonesia
27
188
792
18.6K
SSH 2530
SSH 2530@mariam255_·
KWA NINI WARIOBA AMEWAKA!? Taarifa zilizotufikia ni kwamba, Chadema wanataka maridhiano, na wanaamini mtu pekee anayeweza kumsukuma Rais Samia awasikilize ni Jaji WARIOBA Mtakumbuka, hata wakati Chadema walipokataa kusaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi, baadae walimtuma huyu Mzee akawaombee kwa Rais Ili washiriki Uchaguzi, lakini walikataliwa. Sasa, Chadema wanaona mambo ni magumu, wanatamani wazungumze na Rais, na ndio wakamtuma Mzee Warioba Ili akawaombee kwa Rais, wafungue meza ya mazungumzo, lakini wameenda na Masharti, baada ya kusikiliza, Rais amekataa masharti yao. Kitendo Cha Rais kukataa masharti waliyopeleka Chadema, Warioba anaona hajatendewa haki, na amesikika akisema "huyu mtoto mzanzibari anakataa kusikiliza wazee" kwa hiyo aliporudisha mrejesho kwa Chadema ndio wakamwambia atoke hadharani azungunze aliyoyazungumza. Ni hasira tu na chuki msameheni huyu Mzee
SSH 2530 tweet media
Indonesia
1
6
8
123
Princess Kate
Princess Kate@Princess_mcute·
Ulaya ina historia ya kututawala, kutupangia, na kutudhibiti. Sasa wanashindwa kuachia kabisa. Badala ya kuheshimu uhuru wetu wa kikatiba na kisheria, wanataka kutumia maazimio ya kisiasa kama fimbo ya kutulazimisha kufuata matakwa yao. Licha ya kuondoka Afrika kwa miongo kadhaa sasa, bado wanashindwa kukubali kuwa mataifa kama Tanzania ni huru, huru kujiamulia na kuendesha masuala yake bila kupewa maelekezo ya nje.
Princess Kate tweet media
Indonesia
27
5
13
2.6K
blazahimself
blazahimself@iamgratius·
@Mrsdaviee Hiyo mambo imekaa kimchongo sana mabeberu kuwen makin😂😂🙌
Filipino
0
0
0
305
blazahimself
blazahimself@iamgratius·
@Mkunga_Og Class ya 7 ndy ya mwisho kinamba lkn ndy itakuwa ya kwanza kujaa
Indonesia
0
0
1
320
Mr Health💊💉
Mr Health💊💉@ItsMrHealth·
CHALLENGE: PIMA IQ YAKO..Glasi ipi itajaa ya Kwanza...?? Tukutane Kwenye Comments 👇
Mr Health💊💉 tweet media
Indonesia
650
43
561
120.3K
Ms Bee🌹
Ms Bee🌹@asiliasali·
Kwanini huna asali?? 🏃‍♀️😋
Ms Bee🌹 tweet media
Indonesia
26
25
143
6K
HUNTER
HUNTER@Hunterjay12345·
Vibunda thread🔥🔥👇
HUNTER tweet media
English
108
50
924
157.1K
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
TID Amemchana Master J, Na kusema kuwa yeye Alikuwa anamuiga P.funk kila na kila alichokuwa anafanya. Na kumuita Mchaga Mshamba! 😂😂 Msikilize... Video kwa Comments 👇
Latto 𝕏 tweet media
Filipino
47
41
1.3K
150.3K
Ms Bee🌹
Ms Bee🌹@asiliasali·
Masharti ya huu mpira ni yapi😂😂
Ms Bee🌹 tweet media
Indonesia
336
49
817
69.6K