Pro°

2.1K posts

Pro° banner
Pro°

Pro°

@innophlly

Digital Strategist | Digital Brand | SEO Writter ✍🏾

Worldwide Katılım Mayıs 2019
167 Takip Edilen342 Takipçiler
Pro° retweetledi
ALLY MSANGI
ALLY MSANGI@ally_eh·
Nikiandaa Masterclass ya YouTube Automation si mtalipia na mimi nipate million 100?
Filipino
14
9
91
3.3K
Balyx
Balyx@Balyx_·
Hawa Wasomali hiki kiburi huko USA wanakitoa wapi?
Filipino
20
11
313
22.5K
Hormuz™️
Hormuz™️@bajabiri·
Trump ananishangaza. ~Una jeshi ~Una Usalama ~Una FBI ~Una Homeland ~Una CIA ~Una Bunge ~Una mahakama ~Una polisi kila jimbo ~Una Tume Then unahofia kung'olewa? Kama umeweza kumng'oa Maduro....unaanzaje kuogopa Uchaguzi.
Hormuz™️ tweet media
Indonesia
56
30
416
19.1K
It's Hunaiya 💋❤️
It's Hunaiya 💋❤️@Hunaiya153989·
Mtu unaombwa 10000 unasema ngoja basi nichakate asa 10k unachakata nini babu 😂💔🚮
Indonesia
238
47
587
135.2K
NTOBI
NTOBI@Ntobi_·
Kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya Tanganyika, Baraza la Mawaziri halina hata Waziri mmoja kutoka Kanda ya Ziwa—mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Geita, Tabora na Simiyu. Cha kushangaza zaidi, mkoa mmoja wa Dodoma una Mawaziri wanne. Hii ni dhihirisho la wazi la kutengwa kwa Wasukuma na wakazi wa Kanda ya Ziwa katika uamuzi wa masuala nyeti ya Taifa, licha ya kanda hii kuwa kubwa kwa idadi ya watu, eneo na mchango wake wa kiuchumi. Nahene —ndoho tabu!
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kawaida cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 07 Januari, 2026.

Indonesia
208
46
449
98.8K
Eng Jubel
Eng Jubel@EngJubel·
Kwenye contacts zako hakikisha una washikaji wanasheria, wahasibu, washauri, madaktari, watalaamu wa masoko na mwisho kabisa ni wataalamu wa graphics. Hapo nimemsahau nani?
Filipino
47
19
219
14K
Airtel Tanzania
Airtel Tanzania@airtel_tanzania·
Airtel tumenyoosha Boxing day!! Tumefanikiwa kukabidhi Bajaji 1 na TV 6 kwa washindi 7 kupitia kampeni yetu ya Airtel sikukuu imenyooka na santa mizawadi! #MyAirtelApp #AirtelMoney
Airtel Tanzania tweet mediaAirtel Tanzania tweet mediaAirtel Tanzania tweet mediaAirtel Tanzania tweet media
Indonesia
5
0
0
312
Pro°
Pro°@innophlly·
@airtel_tanzania Mnahuduma mbovu sana yan kbs kwa 70k per month kwel??
Indonesia
0
0
0
14
Airtel Kenya
Airtel Kenya@AIRTEL_KE·
@IoTDevMelvin Thank you Melvin. We are glad to serve you. Keep enjoying our service!! ^Lulu.
English
25
0
53
8.2K
Melvin Murithi
Melvin Murithi@IoTDevMelvin·
Hii kitu ya @AIRTEL_KE inastream Nextflix na Youtube huku Ocha bana. Even uploading a YouTube video with it. No difference na Fiber ya Saf back in the City.
Melvin Murithi tweet media
English
71
70
869
100.9K
Bony 📚
Bony 📚@bonifacejoseph_·
Router za Artel daah 😄, haya bhana. Mtu unalipia 70K alafu hakuna huduma, unapiga simu unaambuwa Kuna changamoto ya kintandao. Na ushakosa Access siku nzima, na hutofidiwa hiyo siku 🚮
Filipino
29
21
355
15K
Pro°
Pro°@innophlly·
@Elparton112 Mindset yakimasikini labda upo nitche mbovu hama huko
Indonesia
0
0
0
9
Komu Printing
Komu Printing@Elparton112·
Ila Biashara Bhana Wewe Unaamka Tu Hujui Kama Wateja Watakuja Au Hawatakuja😂 Bora Kuajiriwa.
Indonesia
20
20
281
12.8K
Pro°
Pro°@innophlly·
@KennedyMmari Mmnakosea kufananisha Tz na Us maana Us kuna issue za property tax na insurance hizo issue bongo hazipo
Filipino
0
0
0
31
Pro°
Pro°@innophlly·
@Richstartz Still ananafasi ya kujifunza na kukua zaidi he is still young and he will be better hata mbuyu ulianza kama mchicha
Indonesia
1
0
0
26
Faraja | Mkulima
Faraja | Mkulima@faraja_zungu·
Kuna mzungu mwenye jina la kiafrika kweli?
Filipino
73
12
253
20.6K
Pro°
Pro°@innophlly·
@mafolebaraka Meta wanazingua wamenilamba block 🚫 siwez fanya ads sasa mwaka wa pili natumia account za watu ukiwatafuta huwapati yan ni kasheshe
Indonesia
1
0
0
347
Digital Nomad (Your Fav Dijito Bro)
Uganda naona wamewakalisha Google mahakamani na Nigeria waliwakalisha Meta mahakamani. Tunakoelekea nchi nyingi za kiafrika zitaanza kupata confidence ya kuruka na hizi bigtech na wakatoboa and hiyo itakuwa changamoto sana especially kwa activists ambao ndio target kubwa ya serikali za Africa
Filipino
6
5
133
10.2K
Your Tech Girl
Your Tech Girl@yourtechgirl24·
I’ve compiled 9 exclusive guides to help you build and scale your AI income: 📘 $15K MRR with 10K Followers 📘 AI Influencer Monetization 📘 UGC & VEO3 Ads Guides 📘 Info Product A–Z Guide 📘 $5 Offers Playbook 📘 Leverage AI for Digital Products 📘 Betting Community with AI ...and more! Normally worth $299, but I’m giving it away 100% FREE for the next 48 hours. To get access: 1️⃣ Follow me (so I can DM you) 2️⃣ Like & Repost this post 3️⃣ Comment “SEND” 💥 Free for the first 5000 people only!
Your Tech Girl tweet media
English
766
434
973
142.7K
Rajesh Agarwal
Rajesh Agarwal@Rajesh992510253·
𝗣𝗮𝗶𝗱 𝗖𝗼𝘂𝗿𝘀𝗲 𝗙𝗥𝗘𝗘 (PART - 2) 1. Artificial Intelligence + Data Analyst 2. Machine Learning + Data Science 3. Cloud Computing + Web Development 4. Ethical Hacking + Hacking 5. Data Analytics + DSA 6. AWS Certified + IBM COURSE 7. Data Science + Deep Learning 8. BIG DATA + SQL COMPLETE COURSE 9. Python + OTHERS 10 MBA + HANDWRITTEN NOTES (72 Hours only ) Cost About - $500 To get: - 1. Follow (So I can DM you ) 2. Like & retweet 3. Reply " Send "
Rajesh Agarwal tweet media
English
431
251
641
87.8K