Sabitlenmiş Tweet
joemakker
12.5K posts


@francismtey @hilarymbowe_ @captain_320nm mimi ukinambia wewe ni imani ani nitajua nianze kukujibu wap
Indonesia

@hilarymbowe_ @captain_320nm haha usiatack mtu,
Hoja Imeletwa mezani.
Tu deal na hoja.
Tuelezee na sisi Nyoka aliwezaje Kuongea.
Au kuna nyoka huwa wanaongea?
Please,,,
Suomi

NYOKA aliingia Ndani ya Bustani
inayosemekana ilikuwa inatwa EDEN...
Kilichotokea...Nyoka AKAZUNGUMZA
na Hawa/Eva... Sasa Swali ni Je?
1. Nyoka Aliwezaje Kuzungumza...
Kama unamini NYOKA alizungumza
Nieleze kwa Upole aliwezaje, Ikiwezekana
Unipe na Reference nipitie... Nielewe
Unachoelewa wewe/Unachomini
....
FRANCIS | ABRACADABRA
Indonesia

Meja General Isamhuyo ndio Uwanja pekee wenye hadhi ya kuchezewa mchezo wa Kariakoo Derby baada ya Benjamini Mkapa
Bahati mbaya sana wote wanao ukataa Uwanja wa Meja Isamhuyo hawajafanya utafiti wa hali ya Viwanja Nchini Tanzania
Acha nikuambie kwanini Meja Isamhuyo ni chaguo sahihi
Azam Complex inaingiza mashabiki Elfu 4 tu, Tofauti ya Mashabiki Elfu 6 na Meja Isamhuyo, Hivyo tungepeleka mechi Azam Complex tungewaminya fursa mashabiki wengi, mfano Mechi ya Azam na Simba mashabiki wengi walibaki nje licha kununua Tiketi wakaambiwa Uwanja umejaa
Amaan Zanzibar inaingiza Mashabiki Elfu 14, tofauti ya yake na Isamhuyo ni Mashabiki wa Elfu 4 tuu hiyo ni tofauti ndogo sana
Unaweza kuitaja Kirumba Mwanza, au Sheikh Amri Abeid Arusha, Sokoine Mbeya vyote hivyo vinaingiza mashabiki chini ya Elfu 13 bado tuko pale pale kwenye idadi ndogo ya watazamaji
Kama Hitoshi kutokana na hali ya hewa hivi sasa, Viwanja hivyo havitabiriki sasa kwanini tuiweke Derby rehani??
Ukweli mwingine ambao hauzungumzwi ni kwamba Meja Isamhuyo ndio kiwanja cha pili Tanzania kuwa na Pitch nzuri ya Nyasi Asilia baada ya Benjamini Mkapa
Kwa hoja hiyo kwanini mechi namba moja ya Nchi isipigwe kwenye kiwanja cha pili kwa hadhi katika Taifa letu?
Karibuni sana Meja Isamuhyo naaamini mtafurahi mkifika!!

Indonesia

Iko hivi…….
Umri unaenda pengine hata uzee unakaribia…..but kuna ndoto na goals haujazi-accomplish.
Wakati umri unavyozidi kukua ndivyo maradhi nayo yanazidi kukunyemelea, changamoto zinazidi kuwa nyingi na kubwa!!
Majukumu yanazidi, family issues, kids, ndoa/mahusiano, na unakuwa financially unstable.
The course ambayo ume-stick nayo kwa muda mrefu haijakupa matokeo yoyote, sana sana imekuletea changamoto zaidi na kukukosesha opportunities!!
HAPA SASA NDIO MTU ANAFIKIA MAAMUZI YA KUUZA SOUL!!
LIWALO NA LIWE POTELEA PWETE!
Very few of us….ndio tunaweza kushikilia bomba mpaka mwisho!!
No matter how tough the situation is!
Sio rahisi sana, wengi wanashindwa njiani katikati ya safari!
So far tumeshawapoteza wengi katikati ya hii safari….tuwaombee wanaoendelea kushikilia bomba Mungu awape imani na ustahimilivu!
Indonesia

@RevocatusMagum1 nlitegemea kwa ujinga unaopost ungekuw maaruf lkn naon post zko nispo comment mimi bas hazizid commnt 5 hta kufika
Indonesia

PUBLICITY is PUBLICITY...Yanga wamempa umaarufu huyu mzee kiutani utani tu...
Sasa hivi kila Mtu anataka kupiga picha na Mzee wa Jambia na hata kama alishawahi kupiga nae picha anaipost...
Publicity is Publicity...Diamond Platnumz yupo pale juu sio kwa sababu ya kazi zake nzuri pekee, Skendo pia ziliwalazimisha Watanzania kumzingatia
Mandoga alikua maarufu sio kwasababu anajua kupiga...ni kwasababu alikua anapigwa, Yaani aliempiga hakupata umaarufu badala yake aliepigwa ndio kawa maarufu!
Kuna watu wanakuwa maarufu na maisha yanabadilika baada ya kukosea kutamka neno fulani nk ndio maana Cow way ilibadilika na kuitwa KAWE!
Haji Manara aliwahi kuanzisha kampeni ya kumharibia Jemedari Said kwa Majizzo kisa anaisema vibaya Yanga...Unajua kwanini Majizzo hakumfukuza Jemedari Said licha ya kelele zooote zile? Publicity
Yanga inafuatiliwa na watu wengi...Kitendo cha Afisa Habari na Influencers wao wote kumshambulia Oruma ni kumpa Umaarufu!
Simba waliwahi kuanzisha kampeni ya ku- unfollow Instagram ya Haji Manara...Ilikuwaje?
Binafsi sitegemei kuona Majizzo akimfuta Kazi Oruma kisa wana Yanga wanasema...kwanini? PUBLICITY.

Filipino

@DanielDMashamb1 @SportsarenatzTz hzi ndo akili za waisrael au wewe ni mkimbizi?
Indonesia

@SportsarenatzTz Amechomesha mechi nyingi mno, hana lolote la kuwazidi mligo na kibabage
Filipino

💬 “Hakukuwa na sababu za msingi sana kwa Simba kuachana na Tshabalala. Nadhani walikuwa wamemchoka tu. Simba na Yanga huwa hazishindwi kuwabakiza wachezaji wake muhimu wanaowahitaji.
Labda zitokee timu kutoka nje na kutoa madau makubwa kama ilivyowahi kutokea kwa kina Chama, Mayele, Kisinda, Jose Luis Miquissone na wengineo. Humu ndani kwa ndani huwa hawashindwi jambo lao.“
— Legend, Edo Kumwembe

Filipino

@sisuyasuke @kishoka_ hakuna mahali wamesema hvo ila alikuw highlighted kam mshirika wa mambo hayo kwa siri
Indonesia

@kishoka_ Hivi unajua kwamba mke wake na Lutu ndo alikua anachochea ule upuuzi ufanyike?
Indonesia

@kishoka_ @waziri3wa_wapwa nimeelewa point yako bro,me naonesha upande mwingine wa tafsiri,kwa mwingine kama mimi Lutu nae hana tofauti na watu wa sodoma kutaka kuwatoa binti zake wakatumike ki ngono, sisi tunaona poa sababu ni wanaume ila sio sawa kabisaa hiyo story jau
Filipino

@mzaramo_ @RevocatusMagum1 ko ww unajua sheria ya mpir kugusa mikono au kugusa viganja?? muwe mnasoma sheria si zipo mintandon humu
Indonesia

@RevocatusMagum1 kilichonikera ni kuona refa kaona penalt ila hajaona mikono ipo nyuma..
labda alitaka mikono ikatwe..
Filipino

@Mndewa11 @RevocatusMagum1 huend yey anahs kinachohesabika kushika ni viganja tu🤣🤣🤣🤣 yani utanue hzo arms km mabawa ukatae tuta kisa viganja viko nyuma....
Indonesia

@RevocatusMagum1 Kuna kuficha mikono na kuiweka mikono nyuma
Kama aliweka mikono nyuma ila akajiextend kupitia eneo la kiwiko basi uliushika
Indonesia

@baraka_asege tz mwanahabri akijua timu timu na kuonesha anafatilia mpira nae atajiita mchambuzi wa mpira
Indonesia

@RevocatusMagum1 sio "mihamara" hii haihutaji elimu ya std.7 kuandika apo
Indonesia

#TajiriLaKihaya
VYUO VIKUU… ni chanzo cha Kuporomoka kwa maadili kwenye Jamii…
Ni vile tu we are not Ready for this Conversation!
70% ya watu wanaanza Kunywa Pombe na Kuvuta shisha hapa…
90% wanaanza kuchora Tattoo hapa…
80% Prostitution inaanzia hapa- Binti katoka kwenye familia maskini… inabidi Ajiuze ili aendane na standard…
madem wa UDOM kila weekend wapo Dar- SGR ya jumamosi inajaa juma tatu😂
BIKRA itavuka kooteee ila sio CHUO💔
Filipino

@back_bencher255 @RevocatusMagum1 wewe ulipochukua ubngwa mar 4 ulifika robo na nin zaid? mana ktk kumbukumb kuna ¼ ,kuna final cafcc au ww izo mar 4 umehesabu aje
Indonesia

@RevocatusMagum1 Suala la Utopolo kununua mechi mbona liko wazi tu. Jiulize kwa nini kachukua ubingwa miaka 4 ila huko kimataifa anaishia tu makundi
Indonesia

🚨Haya ni maneno ya mchambuzi Wilson Oruma
“Nina ushahidi mwingi kwenye mechi za Yanga lakini naamua kunyamanza kimya na kwa namna hii tunayoenda nayo Mamlaka zisipokua makini mpira wetu unaenda kuangamizwa moja kwa moja”
🗣️ Wilson Oruma
Hivi mtu anapata wapi ujasiri wa kuongea kitu kama hicho?
Je? inawezekana ni kweli Yanga wananunua mechi hawezi kuongea tu bure✍️

Indonesia

@RevocatusMagum1 goli 6 hh alizpfungw prison alishawah kula hz hz jkt pale chamazi .....anyways weken evidences sio hisia na malalmiko mana hata kule kwenu mlikuw hamsat
Polski

@ayubu_madenge 2000°C?! It didn't melt? Still nasa logo is visible? Wait🤔
English

No penalty?😀😀😀🙌 African football.
#TotalEnergiesAFCON2025 | #WePlayDifferent
English

@DismasDc01 @FKihamu hvi sheria ya ball to hand na hand to ball bado inatumika eenh!? nshashuhudia zaid ya mar moja matuta ynawekwa mtu akiwa anafnya sliding tackles
Indonesia

@FKihamu Sheria za mpira kaka hamna penalt pale Yule mchezaji wa misri alikuwa teyar anaenda chini na asingewesa kwenda chini bila mkono wake kuwa chini mkuu
Indonesia













