Mfereji wa Hormuz

4.2K posts

Mfereji wa Hormuz banner
Mfereji wa Hormuz

Mfereji wa Hormuz

@johnramseymallo

Political

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ocak 2015
1.2K Takip Edilen268 Takipçiler
Mfereji wa Hormuz retweetledi
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Umuhimu wa kuwa CHAWA ni Upi… Kama wale wapiga Risasi na mabomu hawakua Wanawatenga pembeni kabla ya kufyatua? Kama hawakupewa Access ya internet,wote tulikua gizani? Kama hawakuenda Chamwino, wote tulifuatilia kwenye Runinga? Kama wote Tulikua kwenye LockDown? Na saa 12 jion wote tulikua ndani? Kama Hauna Ajira ya kudumu,Hauna Uhakika wa KULA na Ukiugua unatibiwa huku huku tunapotibiwa sisi?? Kuna Tofauti gani kati ya CHAWA na NDOM?maana ikishatumiwa inatupwa kwenye DustBin?? Fungua akili,JITAFAKARI,CHUKUA HATUA… UCHAWA sio Dili…
Indonesia
128
388
1.7K
97.9K
Mfereji wa Hormuz retweetledi
mTusi original 👦
mTusi original 👦@mTusiOriginal·
Nimefolo baki wanangu wote ila machoko ni blockin tu kwani mmeluhusiwa nchini kwetu? 🚮🚮
mTusi original 👦 tweet media
Filipino
31
13
60
12.9K
eng_manosa
eng_manosa@innocent_m37729·
@johnramseymallo @EsirEid Kama haupo kwenye luku kuna mahali pengine wanakunasia ni hawajakutaka tu Wale watu wanaweza tumia pesa nyingi sana na mda ili wakupate tu
Indonesia
1
0
2
28
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Washkaji zako wana NAMBA yako ya simu…. Hio hio NAMBA yako ya simu ndio Unalipia King’amuzi Nyumbani kwako, unalipia Maji,unanunulia LUKU…. Kama huitumii hio namba basi Kuna Favorite namba ambayo unaipigia Mara Kwa Mara Huenda ni Mke,mpenzi au hata Mzazi wako… Au namba umeilink na account zako za Benki ambayo unafanyiemo yote hayo… BADO Kuna minara ya simu ambayo ulifanya mawasiliano mwisho 😅 Na bado kuna vingine vya kijasusi zaidi… Mmmhhhh
YHWH@NikoJMT

Kwahio mnajuaje with absolute certainty kwamba anaishi hapa na atakuwepo muda huu?

Indonesia
26
23
255
33.2K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Waasi nilikuaga nao ni watu wa hovyo.
Filipino
8
18
262
9.8K
Mfereji wa Hormuz retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Tukio hili la Paul Makonda kuvamia @CloudsMediaLive usiku akiwa amembatana na askari wenye mitutu ya bunduki lilitosha kabisa kumfanya Rais @MagufuliJP atengue uteuzi wake ila mpaka leo hakuna ambae anafahamu kwanini Magufuli hakumuondoa.?
Indonesia
29
81
457
0
Mfereji wa Hormuz
Mfereji wa Hormuz@johnramseymallo·
Kaniblock...hata sijui kwann
Mussa Rajabu Sweya@MussaSweya

@Sativa255 Naamini hajaenda bila kulipwa We ukialikwa kwa mafwele betting au samia bet unaweza kwenda? Kama utaweza basi wewe utaweza kwenda kwenye harusi ya alikuulia mzazi wako au mwanao Na hauna tofauti zuchu kwenda campaign ya CCM

Indonesia
0
0
1
4
MfinaWiiiseeee
MfinaWiiiseeee@mfinanga_rm·
Baada ya lockdown kutangazwa ile Okt-29, kuna Mwenyekiti wa mtaa wa CCM mida ya saa moja usiku akawa anaranda mtaani "kukagua" hali ya hewa. Wajeda wakamdaka, akajidai anajielezea yeye ni kiongozi.Alichokipata ni kichapo cha mbwa mwizi! Wakamwambia: "Nyie ndio hasa tunawataka!"
Indonesia
45
57
676
31K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Nikusahihishe-mwanangu hajapata ubalozi au kupewa kazi VUNJA BEI. Mwanangu alialalikwa kama mwana tasnia ya KAMARI. Ndiomaana kwenye post zote walizopost waalikwa, post ya mwanangu ilikuwa na namba kubwa kuliko zote. Hii inakuambia mwana kwenye kamari ana dunia yake.
(fan)Sam@CFCSam_X

Vunjabei wamewin kwenye kumualika @Thereal_taivina kama special guest, kwa sababu mwana tayari ana kijiji cha watu ambao watavutika kwenye kampuni. Tofauti na makampuni mengine yanayotumia comedians au watu ambao hawarelate na betting. Hongera kwa mwanetu @Thereal_taivina kwa kwa kupata hili dili. (NOT AFFILIATED) na sijawauza wapwa😂😂👊

Filipino
7
9
123
10.9K
Kiko
Kiko@donraykiko·
@Sativa255 Kwa hali hii siku ikija kuanzishwa. Samia bet. Bas balozi namba moja utakua ni wew
Kiko tweet media
Indonesia
5
2
14
2.1K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Watu wanamaindi TAIVINA kualiwa kwenye event ya VUNJA BEI maana yake hairuhusiwi kabisa kuhusika na VUNJA BEI. Vunja bei kila siku anashusha mizigo na anafungua maduka kila mkoa mpaka mnamuita mkinga mchawi—ni SISIEMU tuu ndio wanamuungisha kwenye hiyo biashara? Kipindi TAIVINA anasema kesho tukutane kanisani kwa GWAJIMA mlikuwa hamsemi kwamba anahamasisha muende kwa MASISIEMU. Kipindi TAIVINA anamtafuta POLEPOLE au anasapoti live za Polepole mlikuwa hamsemi anasapoti SISIEMU. Kuhusu tukio la JANA hamueleweki kwamba jamaa mnakataa jamaa kualikwa au jamaa amelipwa afanye kazi? Na kama amelipwa wapi amesema yeye ni BALOZI, na kama ni BALOZI hayo mabango ana post wapi? Naona anaendelea na makampuni yale yale ya siku zote. PUMBU LA WAKAMARIA LIPO YOUTUBE MUDA HUU WAHI TUWAHI.🔥🔥
Indonesia
38
33
395
26.5K
Isdory Isdory
Isdory Isdory@isdorykibasa·
@MarekaMalili mwamba tuvushe ni money monger na Iman kajamaa ukonga angepewaga bomba muda mrefu mboga mboga wangekuwa na hali mbaya sana
Filipino
1
0
3
285
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Pokeeni na mengine kidogo hapa⬇️ WASHENZI NA WAPUMBAVU MSIOKUWA NA HAYA!
Filipino
11
20
134
4.4K
Joseph Chacha
Joseph Chacha@JosephC85099765·
@VitusNkuna @RehemaNM2 Kamanda yupo sana, ulimukwaza sana ulipo honga beer crate 4 kwa John Mrema ili kuharibu CHADEMA kanda ya Nyasa. Haamini hadi leo kuwa wewe ni kibaka wa level hiyo! Why umetoka CHAUMA? Mbowe yuko CCM na Sabaya na @mwigulunchemba1.
Filipino
1
0
1
192
Vitus Nkuna
Vitus Nkuna@VitusNkuna·
Kamanda @RehemaNM2 yupo?? Tangu 2025 sijaona akiwa active hapa X.....
Filipino
4
1
35
3.7K