Sabitlenmiş Tweet
Joshua
3.7K posts


@LukonaJNR Nyumba za hovyo. Hata isipovuja kwenye bati, itakugharimu kupiga rangi ukutu mara kwa mara kutokana na kunyeshewa na mvua. Pia, maji kuingia ukiacha dirisha wazi wakati wa mvua
Indonesia

@MkulimaKante mm nimesoma Bachelor of Tower construction, ulichosema ni kweli kabisa
Filipino

@RealkolaKE kuna jamaa hapa ako na 72 inch alipata zawadi toka kampuni flani but amesota mbaya
Filipino

@iammpemba Na chunguza pia hao wapinzani wakichukua nchi ni huwa kinatokea baadae
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Kuna huyo Dem kila Tukionana Lazima anipige search mfukoni- Nkienda Kuoga!
Anapita na Laki Mara laki 2…na bado Hela yake ya matumizi Laki 5 namtumia kwenye simu!
Ashanipiga hayo matukio Kama Mara tatu hivi-
Tatizo Anajua saana ,Nashindwa kumuacha na naogopa kumuuliza 💔
Leo nmempangia HELA FEKI kapita nazo- ngoja kesho Afunzwe na Walimwengu awe na Adabu 😅😂
Filipino

@IamLyenda kwa hiyo watu wamekuja mara 1, wakarudi tena mara 2 mmeshindwa kuwarekodi/piga picha hata kwa dirishani ?
????????????
Mtu anamiliki magari ya mizigo anakosaje CCTV Cameras nyumbani ?????????
Indonesia

👇🏽👇🏽Taarifa hii amenitumia kiongozi wa Chama chetu Kata ya Mongo la Ndege, Jimbo la Ukonga Dar es Salaam.
Hofu ni kubwa sana kwa Watawala kuelekea DARK WEDNESDAY (Oktoba 29).
Tutashinda. Tupo na Mungu ✊🏽
#NoReformsNoElection

Filipino

@spana_Konki Hapa wote hawana akili😂 pipa na mfuniko, na hiyo English waachane nayo tu😂
Filipino

@Happinesmlay hivi rangi ni sura ? Maana wengi humu mnamsema kuhusu sura yake kana kwamba leo ndio mmeiona. Kilichobadilika ni rangi ila sura ni ileile.
Na nyie mabinti msiwe mnajikataa, umeumbwa black jikubali, ma filter ya nini ?
Hebu ona sasa DP na picha uliyo tweet rangi tofauti kabisa
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Mwakani nampango wa Kujenga Ghorofa Kinyerezi…
Hii itakua Maalum Kwa ajili ya Michepuko yangu kumi na tatu Nlionao hivi sasa baada ya kupunguza saba mwaka Juzi.
Maana kila manzi nmempangishia Nyumba ya Laki nne Kwa mwezi.
13@400,000/=
Ni 5,200,000/= kila mwezi
Kwa mwaka ni
5.2m @12 months ni
TZS 62,400,000/=
Yaani natumia 62.4m kila mwaka KWA ajili ya RENT tu ya manzi wangu 13.
Mwakani niwaHamishie ghorofani kwangu kila mtu aishi Chumba chake… itanisaidia kuSave hela saana- nitakua najilipa kodi.
Indonesia

@millardayo Ila huyu mwanamke ni mkatili sana, angemkata tu pengine tungesema ni hasira tu, sasa hii kuutupa nje ni ukatili mkubwa sana
Indonesia

Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Veronica Muhale (40), Mkazi wa Kata ya Endagaw, Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, anadaiwa kumjeruhi Mume wake Josephati Kasi (45) kwa kuzikata kwa kisu sehemu zake za siri na kuzitupa nje ya Nyumba.
Imeelezwa kuwa chanzo cha Veronica kufanya hivyo ni ni wivu wa mapenzi ambapo baada ya kufanya tukio hilo Mtuhumiwa alijisalimisha kwenye Kituo cha Polisi.
Kwa mujibu wa Majirani na Mashuhuda akiwemo Mohamed Ramadhan Mwenyekiti wa Kitongoji, amesema kuwa alisikia yowe na alipofika eneo la tukio alikikuta kiungo hicho cha mwili kikiwa nje. #MillardAyoUPDATES

Indonesia

#TajiriLaKihaya
Ila Tanzania hatupo serious kabisaa…
Leo nmekaa home nacheki hapa Azam… wanachambua Tamthilia 😅😂
Yaani Movie ambayo watu walisha Act tayari… INACHAMBULIWA🙌🏽🙌🏽
Na kuna wachambuzi kabisaa wanahojiwa au mm ndio sijaelewa hapa 😂
Indonesia

@qwille @kasesco_tz Kuna Doctor moja wa Uchumu alituambia wakati wa ukoloni haya jamaa qa Asia walitumia mbinu hiyo ya kujisaidia hovyo hovyo ikiwa ni njia ya kuresist ukoloni.
Indonesia

@mkongo_24_ @EsirEid itakuwa kuna mtu alimdanganya, hawa wamezoea kupewa pewa vitaarifa wanajifanya wanajua kila kitu. Sasa kupatwa kwa mwezi ndio inatokea kwa mara ya kwanza TZ? Hizo nyakati zingine ilipotokea ni utawala gani uliiaha ?
Niliwekwa kabatini siku nyingi sana.
Indonesia

@EsirEid 😂😂😂😂 hii moon eclipse hata hawakupaswa kuisemea kitu maana hiki ni kipindi cha tecnolojia ,huwezi muaminisha mtu ujinga kama.huo kizembe kizembe
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Huyu hapa Hana Cheo chochote… lakini anagawa BLOCK ukimchallenge kidogo tu!
Anataka wote tuwe na akili za kuamini Ujinga anao uleta wote bila kuuliza Tafkiri hapa ni Facebook!
Huyu akiwa na dhamana ni Dikteta hata kuzidi Mama - Amini nawajenga!


Indonesia

@kasesco_tz Matumizi ya Net, unywaji wa maji mengi, mbogamboga na matunda + mazoezi
Indonesia

@SirPius15 @kasesco_tz sasa kichaa anaanzaje kwenda Hospitali ?
Kuumwa wanaumwa sana, wapo vichaa waliopoteza maisha kwa kukosa kutibiwa
हिन्दी

@kasesco_tz nina maswali kadhaa
Ulishawahi kuona mvuta bangi hospital anaumwa yaani ana malaria kali au UTI sugu?
Kichaaa pia ulishawahi kumwona hospital ?
Filipino

#TajiriLaKihaya
Sema kuanzia mwaka Juzi … binti wangu wa kwanza alipofika darasa la Tano…
Nliapa sitawahi tongoza tena Mwanafunzi hata Wa CHUO…
Maana naona kama ni binti yangu- inauma saana!
Saa hizi binti wangu yupo Darasa la Saba anajiandaa na mtihani wa Taifa…
Naona yale ni maamuzi sahihi nliyafanya wakati ule…
Wakuu Tuache kutongoza wanafunzi wa Chuo- tuwaache wasome aisee!
Its so painful kama mzazi- unajua binti yako yupo chuo anasoma kumbe yupo kwa msela pika pakua💔💔💔
Indonesia

@grok @donminja47 @MaxTz255_ @HKigwangalla @grok ondoka hapa na majibu yako ya takataka. Muongo wewe, eti aliwataka atembee kama wanyama.
Filipino

@josure22 @donminja47 @MaxTz255_ @HKigwangalla Pole, lakini maelezo yangu ni sahihi. Tukio la 2018: Dk. Kigwangalla, kama Naibu Waziri, aliaadhibu maafisa wa NCAA waliohusika na ufisadi na ujangili kwa kuwafanya watambae kama wanyama ili kuwakumbusha wajibu wao. Una ushahidi gani wa uongo?
Indonesia

Hii ni tukio la 2018 ambapo Dk. Hamisi Kigwangalla, alipokuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, aliwapa adhabu maafisa wa NCAA (Ngorongoro) waliohusika na ufisadi na ulaji wa wanyama pori. Aliwaamuru watambae kama wanyama ili kuwakumbusha wajibu wao. Ilitokea katika sherehe ya kuwapa vyeti.
Indonesia

@ValarMistaken @KMarucho @Langatt_KE Bongo lala wapo Shakahola. Kwenda huko na maneno yako ya takataka.
Filipino

@KMarucho @Langatt_KE Eeh umesema Bongo kumejaa mabongolala
Indonesia














