MASATU POWER TECH

489 posts

MASATU POWER TECH banner
MASATU POWER TECH

MASATU POWER TECH

@julius99168

KWA HUDUMA ZA UMEME MAJUMBANI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0742772066 KWA HUDUMA BORA KABISA

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Temmuz 2023
489 Takip Edilen89 Takipçiler
Moshi Jnr
Moshi Jnr@moshijnr·
Huu Mtandao wa Halotel ni Hovyo sana aisee [@Haloteltz] Upo Slow sana kwenye Internet , Yani utafikiri Bando tumenunua bure dah😠😠 Huu mtandao upo chini sana Kwenye Mtandao wa Internet aisee🗑🚮
Filipino
6
3
37
1.5K
Ole-Sebele
Ole-Sebele@OleSebele·
@MkulimaKante Vyuo bora vya Engineering ni UDSM (CoET) labda na ARDHI basi hivyo vingine hamna kitu
हिन्दी
8
0
4
2.5K
Kante
Kante@MkulimaKante·
Kuna chuo kinaitwa MUST kipo mbeya huko pale bwana kozi zao zote za engineering zinahitaji mtu awe makini sana. Ninao wanangu kumi walidisco pale na wote nawajua form four ndio walipataga division one kali wakati sisi wengine tunapata zile division four za kukupeleka vyuo vya kati. Nilipowauliza walinambia MUST ni chuo bora sana ila lazima uwe serious na masomo kweli kweli.
Filipino
23
21
267
25.6K
Laptop Point 💻
Laptop Point 💻@usedpointTz·
HP ELITEBOOK x360 830 G6✅ TOUCH SCREEN X360 ROTATION Processor i5 8th generation with (8CPUs) *RAM :8GB* SSD : 256GB* ✅Touchscreen ✅rotating 360 ✅fingerprint ✅NFC touchpad ✅Wifi ✅Direct X 12 ✅battery life 3-5 hours ✅color = Silver 950,000/=
Laptop Point 💻 tweet mediaLaptop Point 💻 tweet mediaLaptop Point 💻 tweet mediaLaptop Point 💻 tweet media
English
1
5
6
1.3K
FC Barcelona
FC Barcelona@FCBarcelona·
🔥 𝐅𝐈𝐆𝐇𝐓 𝐅𝐎𝐑 𝐎𝐔𝐑 𝐁𝐀𝐃𝐆𝐄 🔥
FC Barcelona tweet media
English
679
3.3K
23.5K
1.6M
MASATU POWER TECH retweetledi
MalisaGJ
MalisaGJ@MalisaGJ_·
ZXX
3
5
34
1.5K
MASATU POWER TECH retweetledi
That's Freaking Amazing
That's Freaking Amazing@DesireToSee·
Who else cried watching this? 🥹🥺🥹
English
3
5
84
11K
MASATU POWER TECH
MASATU POWER TECH@julius99168·
@ezzy_wix Habari ndugu watanganyika nina swali Je muungano wa tanganyika na zanzibar je unafaida gani kwa tanganyika na pia wewe kama mtanganyika umenufaika vipi na huu muungano
Indonesia
1
0
1
23
EZEKIAH JEREMIAH
EZEKIAH JEREMIAH@ezzy_wix·
Leo ipi ni big match kati ya Liva VS PSG na Baca VS Atletico Madrid??
Indonesia
11
2
30
928
MASATU POWER TECH
MASATU POWER TECH@julius99168·
@RevocatusMagum1 Habari ndugu watanganyika nina swali Je muungano wa tanganyika na zanzibar je unafaida gani kwa tanganyika na pia wewe kama mtanganyika umenufaika vipi na huu muungano
Indonesia
0
0
0
3
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
TUONGEZE FOLLOWERS WETU MUDA HUU. ✍️ Reply handle yako hapa ✍️ Like handle zilizowekwa na watu ✍️ Mtu aki like handle yako mfollow ✍️ Mtu akikufollow follow back usimuunfollow usiku wa manane📌 Kwa pamoja tutafika 10K. ✍️Repost ili tupate followers wengi wapya🔥🔥
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
35
20
41
1.2K
MASATU POWER TECH
MASATU POWER TECH@julius99168·
@Millambo_ Habari ndugu watanganyika nina swali Je muungano wa tanganyika na zanzibar je unafaida gani kwa tanganyika na pia wewe kama mtanganyika umenufaika vipi na huu muungano
Indonesia
1
0
1
266
Revocatus Millambo, Ph.D.
Revocatus Millambo, Ph.D.@Millambo_·
Ni AI tool ipi inaweza Kutoa Kiswahili sanifu, kilichonyooka, cha Tanzania, achana na matamshi ya Kenya.
Indonesia
16
0
79
6.5K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Nitajieni Mchezaji Aliesajiriwa Dirisha Dogo ambae anacheza Kama mshambuliaji wa pembeni anaemzidi Libasse Gueye kwenye namba za magoal na assist kwenye Nbc…… Ukimtoa Anicent Oura Mashine ya kazi NIPENI WENU🫲 Mkishindwa hizo hoja hoja msizilete sasa✍️
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
HT
15
8
90
2.3K
MASATU POWER TECH
MASATU POWER TECH@julius99168·
@iamNehemia @prossoff Mbn mzee unazungumzia waalimu sana hv ushafka ofs za uhamiaji ukaona yanayoendelea. Asilimia kubwa ya waalimu wanatimiza majukumu yao na tatzo kubwa ni maslahi yao sio mazur kulinganisha na wengine
Indonesia
0
0
0
32
Liber Nehemiæ
Liber Nehemiæ@iamNehemia·
@prossoff Tatizo sio ajira tu, hata wanaoajiriwa ni tatizo. Ajira Tz imekaa kama sehemu ya kupigia hela. Imagine Mwalimu hafundishi makusudi ili baadae awacharge wanafunzi fedha ya Tution ilihali analipwa kila mwisho wa mwezi.
Indonesia
3
0
8
637
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Mi naona hata wanaoajiriwa ambao wanafanya kazi kweli ni wachache. Watu hawaendi makazini, hawa walimu mnasema ni wachache lakini bado hata hao waliopo hawaingii makazini au wanaingia kidogo na kusepa. Usimamizi wa waajiriwa umekuwa wa hovyo kiasi kwamba hata kazi imekuwa sio kipaumbele cha watu wengi zaidi ni kwakuwa wanapata pesa. Sawa shule hazina walimu ila hata waliopo hawana moyo wa kusaidia watu. Ukienda halmashauri watu wanajiachia tu, nafasi za juu za kazi mpaka uhonge ko mambo ni mengi mbali na kuajiri.
Sean 🦩@iboysean

Watumishi wa Umma TZ hawafiki hata Milioni moja kwenye nchi yenye nguvukazi ya watu zaidi ya Milioni 30. Ajira bado tatizo kubwa na Ajira za Serikali sio jibu.

Indonesia
6
4
113
8.8K
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
"Simsemi vibaya, ni mchezaji mzuri, ni rafiki yangu, nampenda sana, ni nahodha wetu na amekaa kwetu miaka 15, Siwezi kumvunjia heshima hata kidogo lakini jana alifanywa vibaya sana, alikuwa kama Golikipa, hakufika hata kati kati ya mstari" 🎙️ Ahmed Ally kuhusu Mohamed Hussein.
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
15
26
1.2K
33.5K
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
6️⃣—IDADI kubwa zaidi ya mabao kufungwa Kariakoo Derby ilikuwa mwaka 1979 👉 Simba waliishindilia Yanga mabao 6-0 ambayo hayajarudi hadi leo. Hayajarudi hadi leo.
SportsArenaTz tweet media
Filipino
20
24
288
7.8K
Zoom Afrika
Zoom Afrika@zoomafrika1·
Guess the Country
Zoom Afrika tweet media
English
228
97
665
54.1K
Heis_
Heis_@son_noeli·
Ukiweza kupatia huyu ni kiumbe gani, naendaa kulewa leo.
Heis_ tweet media
Indonesia
20
14
74
2K
PASTA JOSHUA
PASTA JOSHUA@pastajoshuatz·
DAWA YA KUKOMESHA WACHAWI. ukiona wachawi wanakuandama Sana nyumbani kwako Basi usijali hii ndio kiboko Yao. mahitaji 1.mizizi ya muarobaini (neem roots). 2.mavi ya nguruwe(pig dung). saga vyote upate unga wake kisha tumia kuchoma kwenye nyumba au chumba unacho ushi.hii ni kiboko yao.wachawi watateseka Hadi wakome.utawashudia live bila chenga. Fanya hii nyumbani kwako🫵
Indonesia
8
23
217
23K