Machalee
7.5K posts

Machalee retweetledi

@Prontoz @mfinanga_j @Zamaswati_M @zoomafrika1 Speaking from a slam near a white community area that kills you if you tryna go in.🤣🤣
English
Machalee retweetledi

AFCON na Migogoro ya Uongozi Afrika: Tafsiri ya Sheria Inapochukua Nafasi ya Ukweli Haki na Busara.
Uamuzi wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuinyang’anya Senegal ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 na kuutunuku Morocco utaingia katika historia kama moja ya matukio ya kutatanisha zaidi katika michezo barani Afrika. Si kwa sababu sheria imetekelezwa, bali kwa sababu katika kudai kuitekeleza, CAF imeonekana kubadili ukweli na kuuweka katika kile kinachoweza kuitwa hali ya kisheria iliyobuniwa (legal fiction).
Tuwe wazi kuhusu ukweli. Senegal haikuacha mchezo kwa maana ya kawaida inayotambulika katika soka. Wachezaji wake walitoka uwanjani kwa muda mfupi kupinga uamuzi, walirejea, wakaendelea na mchezo, na wakaukamilisha. Mwamuzi aliruhusu mchezo uendelee hadi mwisho wake wa kawaida. Senegal ilifunga katika muda wa nyongeza na kushinda.
Hata hivyo, CAF sasa inadai kuwa Senegal ilipoteza kwa kuacha mchezo.
Hapa ndipo tatizo linaanzia.
Katika sheria na michezo, dhana fulani zina maana wazi. Kupoteza kwa kuacha mchezo kunamaanisha kuwa mchezo haukukamilika, kwamba upande mmoja ulikataa kuendelea, na hivyo hakuna matokeo ya uwanjani. Lakini katika tukio hili, mchezo ulikamilika. Matokeo yalipatikana. Yalishuhudiwa na mamilioni. Senegal ikashinda uwandani. Ikapongezwa.
Kwa hiyo, uamuzi wa CAF unatutaka tukubali hali mbili zinazokinzana: kwamba Senegal ilicheza na pia haikucheza, ilishinda lakini pia ilipoteza kwa kuondoka. Hii si tafsiri kali tu ya sheria. Ni uundaji wa hadithi ya kisheria, simulizi inayotofautiana na ukweli ulioshuhudiwa ili kuhalalisha uamuzi wa kiutawala.
Hadithi za kisheria zina nafasi yake katika sheria. Lakini zinapotumika kubadili matokeo ya wazi na ya umma, zinahatarisha uhalali wenyewe unaokusudiwa kulindwa.
Ndiyo maana suala hili linazidi mipaka ya soka. Linaakisi moja kwa moja mgogoro mpana wa uongozi Afrika. Na hata wazee limetushangaza na tukalazimika kuweka neno.
Katika taasisi nyingi barani, tunaona mtindo unaojirudia: mamlaka inapopingwa, majibu hayawi ya uwiano bali ya nguvu tena za ziada. Sheria hutumika si tu kurekebisha vijana, bali kuthibitisha mamlaka juu yao. Kukomoa.
Hatua ya muda mfupi ya Senegal kutoka uwanjani, iwe ilikuwa sahihi au la, ilikuwa ni changamoto kwa mamlaka. Jibu la CAF likawa si la kukosoa kwa kutoa adhabu stahiki, bali kufuta matokeo ya mchezo na kuwakomoa vijana. Kwa kufanya hivyo, jibu limevuka mstari kati ya nidhamu na kupitiliza kwa kiburi cha mamlaka.
Uongozi bora haujengwi tu juu ya sheria, bali juu ya busara. Inahitajika taasisi kutofautisha kati ya kurekebisha tabia na kulinda uaminifu. Faini au adhabu zingine zingeweza kudumisha nidhamu bila kubadili matokeo ya mchezo. Badala yake, CAF imechagua hatua kali zaidi.
Matokeo yake ni wazi. Imani inapotea.
Kwa mashabiki wa soka Afrika, swali si tena nani alishinda AFCON. Ni kama matokeo ya uwanjani yanaweza kuaminika tena. Ikiwa yanaweza kubadilishwa baadaye kwa tafsiri za kiutawala, basi uadilifu wa mashindano wenyewe unahojiwa. Unakuwa wa mashaka.
Kwa maana hii, CAF inaweza kuwa imeshinda hoja ya kisheria, lakini imepoteza kitu muhimu zaidi:
Uaminifu na Uhalali wake.
Na uaminifu ukipotea, si rahisi kuurudisha.
Suala hili sasa litapelekwa katika Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS). Lakini bila kujali matokeo, madhara tayari yameonekana. Soka la Afrika haliwezi kustawi katika maamuzi yanayoonekana kuwa ya kiholela au yasiyo na uwiano na busara. Yanayofutwa na watawala wa taasisi kwa kisingizio cha sheria.
Walioshindwa kweli katika tukio hili huenda si Senegal wala Morocco, bali ni AFCON yenyewe. Uhalali wake nahata uadilifu tayari vimetiliwa mashaka na walio wengi. Hata na wazee ambao hatufuatilii michezo kila siku, tukio hili limetugusa. Tukaweka neno.
Itambulike kwamba nguvu ya mashindano yoyote iko si tu katika sheria zake, bali katika imani kwamba sheria hizo zitatumika kwa haki na kwa kuendana na ukweli na busara.

Indonesia
Machalee retweetledi
Machalee retweetledi

@chaumma2030 Sawa Chadema tunaijua haya nyie ni kina nani? ANC, FRELIMO?
Filipino

@askariwahovyo @EsirEid Wazayuni hawatapoteza lolote kuwashushia moja Zito Kati yao. Ila wazayuni hawapigi Raia.
Filipino

@EsirEid For sure bro hiyo ndio maana halisi ya imani.hao wazayuni sina hakika kama wana dini
Filipino

#TajiriLaKihaya
While Israelis run into their bomb shelters, Iranians perform Friday prayers at the Iranian city of Tabriz. No fear of Israeli, US bombs and missiles. This is Islam!
English

@HildaNewton21 Mali gani walizo nazo bnah ww acha kuongea uwongo uyo tundu lissu alikuwa Belgium miaka kibao anajua mali zilizopo ndomana ndugu yangu mboye kaa pembeni kawachia ujinga wenu
Indonesia

#BreakingNews
Wananchama na Viongozi wa Chadema wanaowasili katika Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Dar es salaam, kufuatia maombi namba 28922/2025 ya Mhe Tundu Lissu akiomba kuunganishwa kwenye kesi ya msingi iliyofunguliwa na said issa Mohamed dhidi ya Bidi ya wadhamini wa Chama pamoja na Katibu Mkuu wa Chama, wamezuiwa na Jeshi la Polisi kuingia Mahakamani kwa kile kinachodaiwa kuwa wanaoruhusiwa kuingia mahakamani ni wanahusika na shauri hilo ambao Katibu Mkuu Mhe. @jjmnyika, Bodi ya Wadhamani ya Chama na Mhe. @TunduALissu.
Indonesia
Machalee retweetledi
Machalee retweetledi

Today I decided to download the Ayatollah Khomenei's manual of Islamic law, the Tahrir al-Wasilah.
Page 229, Volume 3: ''Intercourse with a woman is not allowed unless she attains the age of nine years, regardless whether the marriage is permanent or temporary. There is, however, no objection in other sexual enjoyments like touching lasciviously, hugging and rubbing the thighs, even with a suckling infant.''


English

@rugemeleza Wewe kichwa chako ni kama umejaza mchanga kwani huko Havadi ulienda kupiga picha?!
Filipino

Ni mtu punguani na hayawani anaweza kuandika uliyoyaandika.
Thom Mnkondya@Thommunkondya
Mwenyekiti wa Chama changu,Rais wa nchi yangu na Amir jeshi mkuu wa Tanzania. Nitasema mazuri yote yaliyofanywa na serikali ya CCM unayoiongoza sio kwasababu ni wajibu wangu kama kijana wa CCM ila kwasababu yanatija kubwa kwa umma na maslai ya nchi yetu💪🏿💪🏿.
Indonesia

@YerickoNyerereT Ivi unajikia vipi mbele ya watoto wako kuitwa Malaya?
Indonesia

@kocoryko Bloodthirsty Labda majambazi wenzie. Hata yeye Banjoo kaua sana
Eesti

1. Paul alikua RC na Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Chuga. Aache kushughulikia then amshughulikie now?
2. Kwa kusema "Haukuwa threat to that extent" unakubali kuwa alikua threat to some extent. Si ndio?
3. Ni mzigo gani Banjoo alikua anapitisha airport? Alikua anapitisha kihalali au kwa magendo?
Kubali tu mnamtetea Banjoo kwa sababu ya ajenda zenu ila kwa bahati mbaya wanaomjua wamemkataa propaganda zenu na wanasema ukweli kuhusu jamaa😂😂😂
Hasta La Victoria Siempre@Oktoba29
Haukuwa threat to that extent, ni ujinga tu wa Paulo na Dully pale airport wanataka wapitishe mizigo kimonopoly. Rest easy man.
Filipino

UPOTOSHAJI WA MAKUSUDI - SASA PATA UKWELI 👇🏿
katika Mkutano wa African Union (au), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan hawezi kutambulishwa kama rais mpya kama ilivyofanywa kwa marais wa Gabon, Namibia na Seychelles kwa sababu wao ni viongozi wapya waliochaguliwa na si anayeendelea na muhula wa pili.
Kwa upande wa Rais Samia, tayari alishawahi kutambulishwa katika mkutano uliopita baada ya kuapishwa na kupokea kijiti cha uongozi kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli (JPM).
hivyo, si sahihi kumtambulisha tena kama Rais mpya katika mkutano huu wakati yeye anaendelea na Muhula wake wa pili wa uongozi wake sio Rais mpya.

Filipino
Machalee retweetledi













