Ludwing Krapf
3K posts







#TajiriLaKihaya Mimi nitafukua Makaburi… na MSAADA NITATOA… Umekua miongoni mwa watu walionipiga Spana kwa kuwasaidia watu Mitandaoni ila leo mm nakutumia Hela mtandaoni na wewe unaomba Msaada mtandaoni kama walivyoomba wale uliokua unawaponda! Sina Beef na wewe… tunaweka kumbukumbu sawa! Kama jinsi nlivyowasaidia wale na Leo tunakusaidia wewe… ila ingekua bora kama ungeweka Bill nzima hapa- ili tujue tunachanga kiasi gani! Mtu anaweza toa laki 5 kumbe bill ni laki 2 au mtu akatoa elfu 50 akajua amemaliza kumbe bill ni milion 5. UGUA POLE Bro… MWENYEZI MUNGU AKUPONYE na Akujaalie uwe na AFYA NJEMA🙏🏽 Binafsi nipo tayari kwa mchango mwingine- ukiweka taarifa zako sawa!



Kama kuomba msaada ni aibu then kulala kwa kuchomwa sindano ni mateso zaidi kuliko aibu. 💔 Please nisaidie kwa chochote napitia mengi nisiyoyaweza. M PESA 0764122090 REGAN 🙏🏽
















Siku namwambia big bro kuwa nimeresign from gavoo😅 Angekuwa na uwezo wa kunipa laana nahisi ningepata😅😅💔














