Sabitlenmiş Tweet
Crusader Lambart
3.8K posts

Crusader Lambart
@licocorasul
MoVies/Series/Viral clips/Life/News/Politics/ Health /Football /Business/ Best movie shows &Daily trending TV shows👉Follow me
Mbwinde Katılım Ocak 2023
992 Takip Edilen945 Takipçiler

@prof_mandugume @Oktoba29 😄😄 huyu inabidi mada kama hiz aziache zimpite maana daaaa hahahaha ni kilaza ile badly
Filipino

@Oktoba29 Mathematics ya madrassa? Hao radical islam ni wapumbavu tu hawana elimu yyte. Ukibisha angalia yanavyouwawa harafu bado yanasema yameshinda?
Indonesia

@MwanzoTvPlus Yanayoendelea Africa naanza kuamini mtu mweusi inawezekana kweli amelaaniwa
Indonesia

#BREAKING: MUHOOZI: 'TUNAWEZA TUKAMNYONGA BESIGYE IFIKIAPO MWEZI UJAO. TUSIPOFANYA HIVYO TUTAMPIGA RISASI’
"Nadhani tunaweza kumnyonga Besigye ifikapo mwezi ujao. Tusipomnyonga tutamuua kwa kumpiga risasi. Hiyo itakuwa siku nzuri sana kwa Uganda." Ameandika Muhoozi Kainerugaba, Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi, Uganda kwenye akaunti yake ya X

Indonesia

@EsirEid Kimsingi hawa feminists wanajifanya nganganga sana majumbani, ila huko maofisini wanapigwa sana pumbu. Tena unakuta boss anapiga na dereva wa boss nae anapiga
Filipino

#TajiriLaKihaya
Mume: Tafadhali nitengenezee kahawa.
FEMINISTS : Jitengenezee mwenyewe.
Boss: Nitengenezee kahawa.
FEMINISTS:Ungependa sukari ndani yake?
Tunaishi katika dunia ya ajabu💔
Indonesia

@Mr_Mawazo Ukifika usiwe na haraka sana yakuongea moja kwa moja, kua mtulivu Kisha muulize ameolewa, baada yakukujibu unamwambia unaogopa sana wake zawatu, hapo kidogo unamuingilia akilini, afu Kisha mwambie, yeye ni unyevu unyevu kwenye moyo wako, unahitaji joto lake Kila muda🫢🫢
Indonesia

@RKimbawala @mshambuliaji Yani unajua kuhusu hii vita kuliko waanzilishi wa vita🤣🤣🤣
Indonesia

Kiongozi wa upinzani nchini Israel, Yair Lapid, amesema Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu ameshindwa kisiasa na kimkakati kufikia malengo ya vita dhidi ya Iran, akielezea hali ya sasa kama “janga kubwa la kisiasa katika historia ya Israel.”
Katika taarifa yake, Lapid amesema:
“Netanyahu amefeli kisiasa, amefeli kimkakati, na hakufanikisha hata lengo moja aliloweka yeye mwenyewe.”
Kauli hiyo imekuja baada ya makubaliano ya sitisho la mapigano la muda kati ya Israel, Marekani na Iran, ambapo Lapid alikosoa serikali kwa madai kwamba Israel haikuhusishwa kikamilifu kwenye maamuzi muhimu ya usalama wa taifa.
Lapid, ambaye anaongoza chama cha Yesh Atid, amesema kuwa malengo yaliyotangazwa mwanzoni mwa vita — ikiwemo kuondoa tishio la makombora, kudhoofisha uwezo wa kijeshi wa Iran, na kufikia ushindi wa kimkakati — hayajafikiwa hadi sasa.
Aidha, ameitaka serikali ya Netanyahu kutoa maelezo kwa wananchi kuhusu mwelekeo wa vita na sababu za kushindwa kufikia ushindi uliotangazwa awali.
Wachambuzi wa siasa za Mashariki ya Kati wanasema kauli ya Lapid inaweza kuongeza presha ya kisiasa kwa serikali ya Netanyahu wakati ambapo taifa hilo linaendelea kukabili changamoto za kiusalama na kidiplomasia.
#KitengeUpdates

Indonesia

@RKimbawala @mshambuliaji Sasa ww unajua kuliko wao?? wenyew wanasema malengo hayajafikiwa ww unasema ni mpuuz daaaaaa
Indonesia

@mshambuliaji Huyo kiongozi wa upinzani wa Israel ni mpuuzi tu.
Lengo la vita ya Iran ni kumpokonya Iran uwezo wa kuzalisha Nyuklia bomu na kuharibu uwezo wa Iran kuwa na makombora ya masafa maref
Had sasa Israel na Marekani wamefanikiwa maana walishaharbu uwezo huo wa Iran na kuua leaders
Indonesia

@JongweKipomela @Innocen89950594 @EsirEid Nimesoma replie zako nimeona uwezo wako ni mdogo sana wakufikr kijana wang yaaan ww ni kilaza ujuy kitu chochote🌛 .sasa sijuy kwann kiduku alijibu replie yako maana haukua na fact yeyote
Indonesia

@Innocen89950594 @EsirEid Tuko uliwe kiboga umekua bwabwa bwa
Indonesia

@JongweKipomela @Innocen89950594 @EsirEid Ww ni kuma kweli 🌛ujuy kitu.Sasa kiduku anapinga uonevu wa Us kwa iran ww unasema kushambuliwa ni halali yao kivp!!!
Indonesia

@Innocen89950594 @EsirEid Iran kupigwa ni halali kwa sababu ya maslahi ya Israel na Marekani
Filipino















