kha'lid bin waleed

2.3K posts

kha'lid bin waleed banner
kha'lid bin waleed

kha'lid bin waleed

@mackavala2

muslim... entrepreneur$|mwana CA(commerce and accountancy)... whatever evil we do we choose to do it....you and i will die one day

Tanzania Katılım Nisan 2018
519 Takip Edilen357 Takipçiler
kha'lid bin waleed
kha'lid bin waleed@mackavala2·
@BlessedThomist @Officialnjuga Wewe mbona una bichwa gumu hivo, nimekwambia ilo andiko ameleta la uongo hizo hadithi alizotoa kama reference ni uongo, usahihi wa izo hadithi ndio nimekuekea hapo
Indonesia
0
0
0
8
🇻🇦BlessedGenius|🌐✝️
@mackavala2 @Officialnjuga English ni shida au?? Kuna swala la mkojo hapa?👇👇 Touching them both (the Black Stone and the Yemeni Corner) is an expiation for sins.” Citation: Sunan al-Tirmidhi, Hadith 959; Sunan al-Nasa’i 2919
Filipino
1
0
0
10
kha'lid bin waleed
kha'lid bin waleed@mackavala2·
@CoolestDudeOnX @Granitinho85459 @BlessedThomist Sunan al Nasai, hadith imepokewa kutoka kwa Abu Huraira (RA) Mtume ﷺ amesema: “Yeyote anayemuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, basi aseme yaliyo mema au anyamaze.” Hivo acheni kupotosha maandiko yetu enyi makafiri, sisi dini tunaisoma hasaa amuwezi kutupotosha
Indonesia
1
0
0
18
PaYRoLL🗽
PaYRoLL🗽@CoolestDudeOnX·
@Granitinho85459 @BlessedThomist Touching them both (the Black Stone and the Yemeni Corner) is an expiation for sins.” Citation: Sunan al-Tirmidhi, Hadith 959; Sunan al-Nasa’i 2919
English
5
1
1
61
kha'lid bin waleed
kha'lid bin waleed@mackavala2·
@CoolestDudeOnX @Granitinho85459 @BlessedThomist Tirmidh 959, imepokew na Abdulah ibn Abbas(RA)“Mtume ﷺ alipita karibu na makabur mawili, akasema: Hakika wao wanaadhibiw, na hawaadhibiwi kwa jambo kubwa (kwa mtazamo wao). Ama mmoja wao hakuwa akijiepusha na mkojo wake, na mwingine alikuwa akieneza maneno ya fitina (kusengenya)
Català
0
0
0
8
kha'lid bin waleed
kha'lid bin waleed@mackavala2·
@CoolestDudeOnX @Granitinho85459 @BlessedThomist Ach kupotosha wewe kafiri izo hadithi azihusiani kabisa na ulichoandika, sisi atuwezi kuwa na andiko la kishirk kama kwenu mnaoabudu masanamu, iyo ni tafsiri uliotunga wewe ili kujifurahisha, sisi kwetu Allah pekee ndio anatostaili ilo ulilosema na sio jiwe
Indonesia
1
0
0
6
kha'lid bin waleed
kha'lid bin waleed@mackavala2·
@BlessedThomist @Officialnjuga Tirmidhii 959 “Mtume ﷺ alipita karibu na makaburi mawili, akasema: Hakika wao wanaadhibiwa, na hawaadhibiwi kwa jambo kubwa (kwa mtazamo wao). Ama mmoja wao hakuwa akijiepusha na mkojo wake, na mwingine alikuwa akieneza maneno ya fitina (kusengenya). Kisha........inaendelea”
Català
1
0
1
9
🇻🇦BlessedGenius|🌐✝️
@Officialnjuga Kauli ya Muhammad, Touching them both (the Black Stone and the Yemeni Corner) is an expiation for sins.” Citation: Sunan al-Tirmidhi, Hadith 959; Sunan al-Nasa’i 2919
English
2
0
0
34
kha'lid bin waleed
kha'lid bin waleed@mackavala2·
@BlessedThomist @Officialnjuga Daah, ata kam unachuki kiasi icho na uislamu acha kupotosha maandiko yetu, izo hadith ulizotoa hapa aihusiani kabisa na maan ulioyotoa, hadith ya 595 tirmidhii inahusina na watu waliokuwa wanaadhibiwa kutokana na kutojikinga na mkojo na hadith 2819 inahusiana na kusema yalio mema
Indonesia
1
0
1
10
🇻🇦BlessedGenius|🌐✝️
Bas itakua wewe sio muislam mana waislamu wote hiyo ni nguzo yao wanaamini inaondoa dhambi , na kwamba hilo jiwe litaongea na litakua na ulimi, Ushahidi 👇 Touching them both (the Black Stone and the Yemeni Corner) is an expiation for sins.” Citation: Sunan al-Tirmidhi, Hadith 959; Sunan al-Nasa’i 2919
Indonesia
4
0
0
116
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Kwanza, ni muhimu kuelewa kuwa akiba ya mafuta ya miezi mitatu (strategic/operational reserves) inalenga kuhakikisha upatikanaji wa bidhaa haukatiki (security of supply), siyo kudhibiti bei zisibadilike. Katika masoko ya mafuta, bei huamuliwa na mchanganyiko wa gharama za kimataifa (international benchmark prices kama Brent), gharama za usafirishaji (freight), bima (insurance premiums), pamoja na gharama za ndani kama ushuru na logistics. Hivyo hata kama mafuta yaliyopo yaliletwa kabla ya mabadiliko ya bei duniani, thamani yake ya kiuchumi hubadilika mara moja kulingana na bei ya sasa ya soko (market valuation), siyo bei ya zamani ya ununuzi. Pili, biashara ya mafuta inaendeshwa kwa kanuni ya ‘replacement cost pricing’ badala ya ‘historical cost’. Hii ina maana kuwa bei ya kuuza leo inaangalia gharama ya kununua mzigo unaofuata, siyo gharama ya mzigo uliopo. Kama utaendelea kuuza mafuta kwa bei ya zamani wakati gharama ya kuagiza mzigo mpya imepanda kwa kiasi kikubwa, basi mapato utakayopata hayatatosha kurejesha kiwango kilekile cha stock (volume). Hii husababisha kile kinachoitwa ‘inventory loss’ au ‘under-recovery’, ambacho kinaweza kupelekea upungufu wa mafuta sokoni. Ndiyo maana marekebisho ya bei hufanyika mapema kabla hata akiba ya zamani haijaisha. Tatu, katika muktadha wa Tanzania (na nchi nyingi zinazo-import mafuta), mfumo wa ununuzi wa pamoja (bulk procurement system) unalenga kupata bei shindani, lakini bado unaathiriwa moja kwa moja na mabadiliko ya soko la dunia na thamani ya fedha (exchange rate risk). Hivyo kinachoonekana kama faida ya muda mfupi kwa wauzaji au serikali, kiuhalisia ni ‘price smoothing mechanism’ inayolinda mzunguko mzima wa ugavi (supply chain sustainability). Kwa lugha rahisi: fedha inayopatikana leo kwa bei ya juu ndiyo itakayowezesha kununua mafuta ya kesho kwa bei hiyo hiyo ya juu, ili kuhakikisha kiasi cha mafuta (volume) kinabaki kilekile bila kusababisha uhaba sokoni.
The SPECIAL ONE ™️@bajabiri

Wewe ulikutana na Waziri, alikwambia "Kuna mafuta ya kutosha" Kwanini mafuta yapande kwa 1000/= wakati bado tunatumia mafuta yaliyopo kwenye reserve ya hadi Julai? Naombeni mnipe shule hapa,haya mafuta tunayotumia yameingia kwa meli kipindi hiki cha VITA au yalikuwepo kabla?

Indonesia
132
103
321
32.1K
msngi.
msngi.@abusumayyah_o·
*#BALOZI WA JORDAN HUKO #IRAN🇮🇷 METHIBITISHA KWAMBA HAKUNA MSIKITO HATA MMOJA WA KISUNNI TEHRAN ..ANASEMA WALIKUA WANALAZIMIKA KUSALI KWENYE UBALOZI WA SAUDIA NCHINI IRAN AU SHULE MOJA YA KIPAKISTANI📚💦* >>ILA UKIFIKA IRAN🇮🇷 MAHEKALU YA KIYAHUDI NA MAKANISA YAMEJAA TELE ILA MSIKITI WA SUNNI HAMNA 🤣 🫴HALAFU MNASEMA KUNA UMOJA HAPO BAINA YA WAISLAMU⁉️🤣 There isn't a Single Sunni Mosque in Tehran 🇮🇷 -Jordans Ambassador to Iran Bassam Al Omoush explained @Granitinho85459 @MwangaHJ @cityfan1tz
Indonesia
4
0
4
349
msngi.
msngi.@abusumayyah_o·
Mimi wanaharakati wengi wa kimagharibi wale wenye chuki na uislam wameniblock wengi Kina tommy robinson wa uk Paul Aslea simon Wengi tu majina yamenitoka Kima valentina wa usa🇺🇲 mwanaharakati mhamiaji kutoka columbia Wengi tu...ni mda sana
Indonesia
1
0
0
69
msngi.
msngi.@abusumayyah_o·
Hizo ni tumbaku zako *WOTE #ISRAEL🇮🇱 NA #MASHIA WA SERIKALI YA IRAN🇮🇷 NI #MAKAFIRI KAMA VILE URUSI NA UKRAINE WOTE NI MAKAFIRI NA VITA VYAO HAVITUHUSU SISI WAISLAMU 📚💦* >>ALLAH AWALAANI KWA KHIANA ZAO DHIDI YA WAISLAMU 🫴HATUSINAMI NA MYAHUDI WALA MUIRANI...YEYOTE ATAKAYEVULIWA NGUO SISI FURAHA KWETU _NA ALLAH AKIANZA NA ADUI MKUBWA DHIDI YA UISLAM NA WAISLAM KATI YAO BASI ITAKUA NI AULA ZAIDI إِنَّ اللَّـهَ لَعَنَ الْكَافِرِينَ وَأَعَدَّ لَهُمْ سَعِيرًا ﴿٦٤﴾ 64. Hakika Allaah Amewalaani #makafiri, na Amewaandalia moto uliowashwa vikali mno. خَالِدِينَ فِيهَا أَبَدًا ۖ لَّا يَجِدُونَ وَلِيًّا وَلَا نَصِيرًا ﴿٦٥﴾ 65. Ni wenye kudumu humo abadi. Hawatopata mlinzi wala mwenye kunusuru.
msngi. tweet media
Indonesia
2
0
0
28
Zanga zarara
Zanga zarara@AbdallahAl91947·
@mackavala2 Nae tamka shahada siwez kumuita kafiri Kwan ukikosekana ukafiri kwake utanirudia Mimi Halaf una amanisha shia ni makafiri ?
Indonesia
1
0
0
3
Zanga zarara
Zanga zarara@AbdallahAl91947·
Ndie rais wa amerika alie mwehu na shoga
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid

#TajiriLaKihaya Donald Trump amesalimu amri kabisa mbele ya 🇮🇷 Iran 1 Machi: Trump 🇺🇸: “Tutafanya mabadiliko ya utawala (regime change) Iran kwa gharama yoyote” 😂 10 Machi: Trump 🇺🇸: “Tumemaliza kabisa uongozi wote wa Iran” 😂 15 Machi: Trump 🇺🇸: “Iran italazimika kufungua Strait of Hormuz ndani ya saa 48 zijazo” 😂 20 Machi: Trump 🇺🇸: “Nitadhibiti Strait of Hormuz pamoja na Ayatollah” 😂 25 Machi: Trump 🇺🇸: “Kama Iran haitafungua Strait of Hormuz, nitaharibu mitambo yao ya nishati” 😂 30 Machi: Trump 🇺🇸: “Naweza kufungua Strait of Hormuz ndani ya dakika 2 tu” 😂 LEO: Trump 🇺🇸: “Niko tayari kumaliza vita hata kama Strait of Hormuz haitafunguliwa” 😭 Ni kiongozi wa kiwango cha chini sana. Uongozi dhaifu na wa kusikitisha 🤢

Indonesia
1
0
0
27
kha'lid bin waleed
kha'lid bin waleed@mackavala2·
@Magomelo10 @___Aiman90 @cw_pedro Wawe muisrseli mbona unakichwa kigumu hivo, mwenyew umesema kasha, sasa kuna ulazima gani wakuendelea kukaa na kasha na kuongeze garama na machungu kwa watu bila sababu
Indonesia
2
0
2
85
CWPedro
CWPedro@cw_pedro·
Mzee Bwege kafariki jana atazikwa leo. Sisi Wakristo bado tunazunguka na Mwili wa Marehemu Lukuvi karibu wiki moja sasa. Kwa hili naomba niwakubali na kuwapongeza ndugu zetu Waislam.
Filipino
47
37
758
27.6K