Wa Khaya
6.3K posts


@TheRealJongwe Hiii imeenda hakuna kukosekana nitakuwa siti za mbele sana
Indonesia

Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa nitakuwa Uyole Jumapili hii pamoja na Viongozi wengine wa ngazi mbalimbali za chama…Ni mkutano wa hadhara na Wananchi wote wa Mbeya Mjini njooni tuendelee tulipoishia…✌🏾✌🏾
#LiMwenyekiti #NyasaMpya #FREELISSU

Indonesia

@cleansheet_1 @Adv_innocent Aibu ya nini hapo Janja janja ninyingi sana hapo
Indonesia

“ it is not beyond our power to create a World in which all children have access to a good education” @NelsonMandela
Proud of the opening of the first school from The Didier Drogba Foundation today in Côte d’Ivoire 🇨🇮 the first one we built 🙏🏾🙏🏾
English

@HildaNewton21 @robichacha96 Humu hivi hana account kweli jamn
Filipino

Didier Drogba apelekewe moto aambiwe aache kutumika na Serikali haram ya wauaji kuhalalisha mauaji waliyofanya Oktoba 29 dhidi ya raia wa Tanzania.
Hii ni namba ya Taasisi ya Drogba inaitwa
Drogba Foundation +2250719190089
Hii ni email yake contact@didierdrogbafoundation.org
Nyingine hii info@thesportsprcompany.com

Indonesia

Kama kuna mtu alikua hajui kwanini serikali hii haiwajali Watanzania, Kama kuna mtu alikua hajui kwanini watu wanatekwa, wanauwawa, kama kuna mtu alikua hajui kwanini watu hawana maji, hawana barabara, hawana shule bora, kama kuna mtu alikua hajui kwanini kodi za umma zinaibiwa na watu wakisema hawasikilizwi..
Kama kuna mtu alikua hajui kwanini watu wanaweza kuuwawa kama kuku, watu wakadhulumiwa haki zao na bado watu walioko kwenye madaraka wasijali.
Kama kuna mtu huyo ambae alikua hajui namna Serikali hii inavyowaona na Kuwafikiria Watanzania aje asome hii kauli ya msemaji wa serikali na kwa maana hiyo kauli ya serikali.
Tanzania ni Jamhuri, maana ya Jamhuri umma au Wananchi ndio wenye mamlaka, ndio wenye nguvu… ndio maana Katiba yetu ibara ya 8 inasema mamlaka yatatoka kwa wananchi no matter how wananchi wanaweza kumuudhi Kiongozi wa umma huwezi kuwaita “Nguchiro “ tumeona kwenye Nchi nyingi tu viongozi wanakosolewa tena hata vibaya, na sheria zipo kama kuna kosa kuna hatua za kuchukua…
Msemaji wa serikali au serikali inawezaje kuita watu Nguchiro!!!!
Kumbe ndio maana mnawadharau Watanzania, mnaiba kodi zao huku wao wakiteseka, mnaua na kuteka, mnauza rasilimali za Nchi .. kwasababu hamuoni utu wao mnaona Nguchiro, hamuoni thamani yao mnaona Nguchiro!!!
Nafikiri Hii ni statement ya serikali kupitia msemaji wake na katibu wa wizara..
Watanzania msikubali dharau hizi kwenu na watoto wenu, ndio maana wakitafuta kazi hawapati kwasababu hawa wanawaona nyie sio binadamu, kwamba wao ni binadamu kuliko nyie!!!
Hakuna kiwango cha hasira au matusi kinachoweza kujustify serikali kuita raia wake Nguchiro hata kama ni mmoja.

Indonesia

@nguchiro47 @_zack255 @Britanicca0 @chapanombombwi @EsirEid @Jaguar_455 @Kipanga1986 @MankindUwezo @munyamambogo @Sisimizi3 @Baradhuli2 Sisi tunamtaka yupo wap
Filipino

@SuphianJuma @SuluhuSamia Huna ubongo ww unatumia matako kufikili
Indonesia

Sasa CHADEMA muache “mawenge” muwe na Shukrani kwa Rais wetu Dkt @SuluhuSamia kwa wema wake lukuki kwenu na muwe watiifu kwa dola inayoongoza nchi, otherwise mkiendekeza “kilomolomo” mtarudi kifungoni si punde hadi 2030.

Indonesia

@iamkizzyh Wengi sana hawa ni nunuee namba kwaajili ya ku view wasp status au
Indonesia

@PhysicsJ7 @TBoundBuses Kuna mpuuzi anamfanyia vituko mama aiseee
Indonesia


























