fred

9.2K posts

fred banner
fred

fred

@olenanu02

Me&i

Katılım Temmuz 2023
848 Takip Edilen504 Takipçiler
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
Ila kale kanyimbo ka Chande kako vyedi 😄😄😄
HT
13
14
231
9.3K
CHOLLO
CHOLLO@nassor_01·
Hivi ni mwanaume ndio anaomba kufira au demu ndio anaombaga afirwe?!,mnieleweshe kwa upole.😎
Indonesia
73
30
400
52.9K
fred retweetledi
Malafyale
Malafyale@MwansasuSnr·
Mwanetu Ninja @Ninja_Damour yuko Nje kwa Dhamana. Ahsante kwa kila mtu na Special shout out kwa @Cowwbama ✊👊
Indonesia
63
305
992
20.4K
◇
@Mrisho_K·
@taifa_mbunge Wasomi huwa hawakurupuki, huwa wanajipa muda wa kutafakari kwenye kila jambo
Indonesia
1
0
0
413
Mbunge Wa Taifa
Mbunge Wa Taifa@taifa_mbunge·
Kwani wasomi wa miaka hii wote wamerogwa kizazi gani hiki? Mtu ameuliwa kikatili hivi halafu wapo kimya tu! Hii sio kweli kabisa kuna mambo ya kufunika kombe ila sio kwahili! Mtu amekatwa kichwa et Innalilah wainnalilah Rajiun #Tutauwepo
Indonesia
31
94
494
18.5K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Rwanda imezindua taksi ya angani ya kwanza barani Afrika inayoruka yenyewe na inatumia nishati ya umeme. Lengo ni kuwa na huduma ya taksi za angani kwa umma nchini Rwanda hivi karibuni.
Polycarp The Bibliophile tweet mediaPolycarp The Bibliophile tweet media
Indonesia
11
13
250
12.4K
fred retweetledi
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
KICHWA CHA MWENDA WAZIMU HAKIOTI NYWELE. Mwambieni Ndugu Paul Makonda kwamba Tulikuwa na watu kama Mzee Jella Mtagwa au Mzee Peter Agustino ( Peter Tino) Ngulungu au Hata Sunday Manara aliyefungua mlango wa TZ kucheza ulaya na kwa kizazi kipya akina Mbwana Sammata nk ndani ya Taifa hili . Tunge kuwa na utashi wa kweli tunge wa enzi hawa kwa mchango wao katika Taifa hili kulipeleka Afcom kwa mara ya kwanza tuna Wallace Karia ambaye ametufanya tuzoee sasa kushiriki Fainali za AFCON na akina Mohamed Dewji kwa kuondoa vilabu vya Tanzania katika Unyonge kiasi kwamba kila klabu ikipangwa na Yanga au Simba inapata hofu. Lakini kwasababu sisi nikichwa cha Mwenda wazimu usishangae kuona akina Didier Drogba au David Beckam wakienziawa. Ndiyo ukichwa cha mwenda wazimu wenyewe. ANY WAY CHA MUHIMU TUJUE WALIOTEKWA WAKO WAPI,OKTOBA 29 NANI ALIHUSIKA NA ALIHUSIKA VIPI KABLA,WAKATI NA BAADA. UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI VITALIPONYA TAIFA. BAK Mwabukusi.
Indonesia
29
274
1.3K
40.3K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Kuna aina 5 za car transmissions ambazo ni; 1. Automatic 2. Manual 3. IMT 4. CVT 5. DCT Je wewe umebobea kwenye ipi..?😎
Filipino
20
19
91
5.7K
fred
fred@olenanu02·
@TheChanzo Vitabu vitakatifu vinasema tuwachape watoto wewe na kitabu kitakatifu tumfwate nani?
Indonesia
0
0
1
13
The Chanzo
The Chanzo@TheChanzo·
'Viboko vinaua udadisi na ujasiri wa mtoto'
Indonesia
5
5
19
1.4K
Fichua Hub
Fichua Hub@fichuahub·
Video clips zinazosambaa za mauaji ni za Gaza na sio Tanzania - TUME Tamka neno kwa hawa wapuuzi
Indonesia
125
20
108
23.8K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Kitambo sana sijavaa Suti, tuone picha yako uliyovaa Suti.
The mandevu tweet media
हिन्दी
36
32
600
26.2K
fred
fred@olenanu02·
@meamswahili Alishawahi shinda kesi gani alipo kuwa yanga?
Filipino
0
0
0
448
MeaMswahili
MeaMswahili@meamswahili·
🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 Aliyekuwa mwanasheria msomi wa Yanga SC SIMON PATRICK ameandika Haya kupitia mitandao yake ya Kijamii. “Maamuzi ya kupeleka Derby uwanja wa Mej. Jenerali Isamuhyo - Mbweni ni ushindi wa Yanga na Simba kufanikiwa kuwa juu ya vyombo vya mpira wa Tanzania na kielelezo cha UDHAIFU wa viongozi wa soka nchini jambo lililolelewa kwa muda mrefu.” “Derby hii ni urithi wa taifa la taifa letu, kitendo cha kuruhusu mchezo huu kuupelekwa Mbweni ni kuwakosea heshima mashabiki wa mpira, kwani uwanja huo ni mdogo sana kwa derby ya kariakoo.” “Kwa trend hii, sitashangaa derby ijayo tukiambiwa inapigwa Avic Town na inayofata tukaambiwa inapigwa Bunju.” Mungi ibariki Tanzania🇹🇿.” NB: Tulilinde taifa letu, sis sote ni ndugu🙏🏿" #MeaMswahiliUPDATES
MeaMswahili tweet media
Indonesia
68
10
458
43.6K