PRINCE NATHAN

4.4K posts

PRINCE NATHAN

PRINCE NATHAN

@princkitivo

Lupur malyasia Katılım Şubat 2023
243 Takip Edilen173 Takipçiler
Abiodun
Abiodun@realAdeyemo·
HIRING! 💼 Position: Chat manager 🌍 Location: Remote (Worldwide) 💰 Salary: $400 to $1000 per month ✅ Requirements: •Basic English •Laptop •Internet connection ⚡ Limited slots
English
2.2K
153
2.2K
246.8K
Mr Charles (Remote Jobs)
Mr Charles (Remote Jobs)@MrCharlesky·
"If you're a student or a graduate with proficiency in Microsoft Word, Excel, PowerPoint, I have a remote opportunity for you. $1,200/mth (Night shift)" ___________________________________ Application is still open for this. Check email if you applied two days ago. Congrats
English
3.9K
122
2.1K
206.9K
MTANZANIA 🇹🇿
MTANZANIA 🇹🇿@GilbertPaul095·
🚨 UPDATES Faisal Salum to Simba Sc here we go!! Ni kweli Mazungumzo ya Fei na Mo yanaendelea na hii ni Mara ya pili. Ikumbukwe kipengele kilichowekwa na Yanga kinaisha mwisho wa Msimu huu. Na za ndaaaani Fei hana shida ni Simba tu kumalizana na Azam. Taarifa zaidi utazipata kwa @meamswahili
MTANZANIA 🇹🇿 tweet media
Filipino
8
17
89
3.7K
PRINCE NATHAN
PRINCE NATHAN@princkitivo·
@emabilly2001 Mpk malaya anakubali bila kinga huyo ni ana ukimwi kijana Anza kula vizuri na mazoez kwa mbali
Indonesia
1
0
1
346
Beast
Beast@emabilly2001·
Vijana wenzangu' kwa kuwa mimi limenikuta naomba nishare na nyie toka juzi kwenye sehemu za siri nilikuwa nahisi siko sawa nikaamua kupotezea leo naingia harakati asubuhi naona natoka na usaa' 💔 nikaamua kuomba ruksa kuja kupima 👇
Beast tweet mediaBeast tweet media
Indonesia
160
50
582
91.8K
PRINCE NATHAN
PRINCE NATHAN@princkitivo·
@RevocatusMagum1 Broo huyo yupo world cup ni best refreee in Africa kila hatua mchezaji anayokimbia yupo achana na watumbua macho akina kayoko na ndajirage kunyoosha mikono kama wanaomba Sadaka
Filipino
1
0
2
91
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
🚨🔥Simba na Yanga kimepigwa! Lakini wakati tunajadili lile pichwa la Boka na sarakasi za Chama, hebu tumuangalie huyu refa wetu kutoka Morocco. Mbona kama kuna upande unanuna? 😂 Huyu Mwarabu ameamua mechi kwa staili ya kimataifa, lakini tunajua wabongo hatukosi kipengele.😂🫵
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
7
3
95
2.9K
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
Mchekeshaji Jol Master ameshindwa jizuia ameamua kumpa maua yake live mtayarishaji wa mziki wa bongo fleva S2kizzy. ''Leo naomba nimuongelee huyu jamaa , brother of mine @s2kizzy Huyu ni moja ya binadamu wenye moyo na roho nzuri sana sana sana 🫡 MAUA TUTOE MTU AKIWA HAI 💪 Kuna kipindi nilikuaga napitia situation ya kimiyeyusho sana financially ila mwamba alikua ananifata kila siku makongojuu CCM ananichukua ananiambia utakuja ujinyonge mbwa ww 😂😂 Tunazurura tunaenda studio kwake Anawarecodia wasanii mimi niko pale Najikuta najifunza vitu vingi then baadae ananirudisha Ananiachia 50k kila siku. 🫡 NIKAWA NAANDAA SHOW YANGU YA KWANZA MLIMANICITY AKAWAAMBIA WASANII WOTE A LIST WAFANYE PROMO YANGU YA SHOW , Haikutosha Mwamba hajawahi kosa show yangu hata moja''Ameandika- Jol Master
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️ tweet media
Filipino
4
10
316
23.7K
HOPE FARMS
HOPE FARMS@GeraldLudovick·
@Sativa255 Hana degree wala masters Ila Ana PhD 😂😂😂
Filipino
3
0
5
1.6K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kwamba Tanzania nzima hatuna WASOMI mpaka tunaenda kuchukua hawa VILAZA na kuwapa WIZARA waongoze wasomi? Hivi huyu kweli anastahili Uwaziri achilia mbali hata Udiwani? Waziri gani ambaye ni Form Four Failure? Waziri gani ana certificate 3 na zote ni za online? Waziri mwenye certificate ndio ataongoza wizara ya ajira? Atamsaidiaje kijana mwenye degree ambaye yuko mtaani hana ajira? Waziri gani ana udaktari wa mchongo wa kupewa? Samuya kaamua kutafuta Form Failure wenzake awajaze ndani ya serikali haramu maana hapendi wenye akili KUBWA anajua watamchallenge. Anapenda vilaza wenye elimu mbalimbali kama yeye ili awaburuze. Ni kama tupo zama za MAWE.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
74
105
598
49.7K
PRINCE NATHAN
PRINCE NATHAN@princkitivo·
@KojoMasta @Sativa255 Kaka ikiwa hivyo hakuna haja ya elimu sasa broo elimu ni daraja la kutofautisha hata kama wanakwama ndio sikati lakin huwezi mpa form failure aongeze kundi la wasomi tena wenye level kubwa kisha upate maendeleo never nchi gani duniani inafanya ivo
Filipino
1
0
0
51
KOJO MASTA
KOJO MASTA@KojoMasta·
@Sativa255 Hapo unge'judge utendaji wake man na sio elimu,maana till now viongozi wengi nchini ni wasomi na ndo lawama kwao kila siku....university degree is nt important factor in leadership
Filipino
3
0
2
2.2K
PRINCE NATHAN
PRINCE NATHAN@princkitivo·
@Sativa255 Mbona mwaka wa kumaliz form 4 hajaweka huyo kajitahid ku repeat mitihani akakwama 😂😂😂 alafu vijana tuna master's mtaa unatusurubu viongozi muwe na huruma basi itisheni hata cv za vijana wa level fulani ya elimu mkiona wanafaa kweny nafasi kweli 4 four failure anaongza PhD
Indonesia
1
0
1
1.1K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
Nimeona huyu jamaa anaitwa KAKA WA TAIFA, kamchana sana BONGO ZOZO, kuhusu madai yake juu ya Tume ya Jaji Chande. Inashangaza how BONGOZOZO awe na uchungu na Tanzania kuliko Uingereza alipotoka
Dr. Sisimizi tweet mediaDr. Sisimizi tweet media
Indonesia
44
8
77
16.4K
Kante
Kante@MkulimaKante·
@gmachangu27 Nimelia sana anko mimi mwalimu💔💔
Filipino
2
0
1
556
Kante
Kante@MkulimaKante·
Nasikia kuna kozi inaitwa Radiography wadau wanasema hata ukisoma certificate tu ajira ni uhakika na mshahara wanajipangia wao. Nasikia inafundishwa Bugando pale.
Indonesia
44
36
504
31.3K
PRINCE NATHAN
PRINCE NATHAN@princkitivo·
@vistovic17 Sasa edo unajidai hujui mpira wa bongo hapa kununua mechi unazani azam atashindaje kombe Maybe aanze kununua kwa kuhonga marefa,wachezaji na baadhi ya viongozi ndio atamaliza utawala wa vilabu vya kariakoo
Indonesia
3
0
0
770
BIGV 🎩
BIGV 🎩@vistovic17·
🚨 Edo Kumwembe akitoa maoni makali kuhusu Project ya Azam FC: “Uwezi kutumia billions za fedha kwenye project kama hii ya Azam na kushindwa kuwa underdog wa Simba na Yanga. Hii timu nilidhani itakuwa kama Mamelodi Sundowns nchini Afrika Kusini — kuchukua utawala kutoka Orlando Pirates na Kaizer Chiefs. Lakini kwa Azam ni story tofauti kabisa. Wanashindwa hata kuchukua vikombe vidogo kama Muungano na FA Cup, wakati wana miundo yote ya mpira, academy, facilities na kila kitu. Ni kundi la watu tu ambao hawajui wanachotaka.”
BIGV 🎩 tweet mediaBIGV 🎩 tweet media
Filipino
31
35
928
54.8K
M K
M K@MarryKayoa·
Mtoto mzuri kama huyu unavujisha video zake ili iweje jamani wanaume acheni hii michezo 😭🥲
M K tweet media
148
33
679
228.1K
Njox
Njox@Njox16·
Course gani unatamani kujifunza ila ni kwa sababu ni ya kulipia unashindwa kusoma course, nitajie hapo chini nikupe link kama kutakuwa na uwezekano
Filipino
13
4
43
3.7K
Mr Charles (Remote Jobs)
Mr Charles (Remote Jobs)@MrCharlesky·
HIRING These roles are up for hire: 1. Virtual Assistant (3) 2. Customer Service Rep (2) 3. Data Entry(2): $8/hr 4. Social Media Manager (2): $12/hr 5. Medical VA 6. Graphic Designer (2): $7/hr 7. Video Editor(2) 8. Copywriter 📍Remote Let us know whether you're interested👇
Mr Charles (Remote Jobs) tweet mediaMr Charles (Remote Jobs) tweet mediaMr Charles (Remote Jobs) tweet mediaMr Charles (Remote Jobs) tweet media
English
870
92
882
108.4K
PRINCE NATHAN
PRINCE NATHAN@princkitivo·
@IbrahimNassib @gerino_andrew @Adventure_36 Usizan utaneemeka baada ya hapo kuna mama ako huko kimbiji kuna dada ako huko chanika kuna mjomba wako huko kibaha alfu ni walala hoi usikoment kwa mihemuko hiyo itaanza kukuumiza wew na familia yako pale ambapo utakuwa na watoto watatu au wanne wote wanasoma fikiria nauli zao
Filipino
1
0
1
70
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Mwenyekiti wa chama cha Wamiliki wa Daladala mkoani Dar es Salaam anasema hizi ndo nauli walizopendekeza wao kutokana na kupanda mwa mafuta. Nauli ya 600 iwe 850 Nauli ya 700 iwe 1300 Nauli 800 iwe 1700 Nauli ya 900 iwe 2100 Nauli ya 1100 iwe 2500 Nauli ya 1300 iwe 3000 Lakin
Indonesia
139
74
875
69.2K
ALLY MSANGI
ALLY MSANGI@ally_eh·
Kuna watu wataanza YouTube Automation mwaka huu… na kuna wale watakaoishia kuisikia tu. Tofauti yao na wewe sio uwezo ni maamuzi tu. Tarehe 20 April, nafanya YouTube Automation Masterclass ya kipekee kwa kundi dogo sana la watu walio tayari kuchukua hatua halisi, sio kusubiri “wakati sahihi”. Hii sio webinar ya kawaida. Ni session ya vitendo, ya kukuonyesha hatua kwa hatua nini cha kufanya kuanza na kukua, kwa mfumo ninaoutumia mwenyewe. Nafasi zilikuwa 20. Sasa zimebaki 9 tu. (Watu 11 tayari wameshachukua hatua) Ukichelewa hapa, utaendelea kuscroll content nyingine bila action… halafu unajiambia bado hujui namna ya kuingiza kipato online. Chukua nafasi yako hapa: allymsangi.com/YTAmasterclass
ALLY MSANGI tweet media
Indonesia
4
8
44
2.7K
Msomi Khan
Msomi Khan@MsomiKhan18·
Dhamana ya Mkopo ni CHETI Ukiwa na GPA kuanzia 2.0 hadi 3.5 Utakopeshwa pesa chini ya Tsh 5M Ukiwa na GPA kuanzia 3.5 hadi 5.0 Utakopeshwa pesa kuanzia Tsh 5M hadi 10M Hapo Mnasemaje? 😂
Indonesia
14
8
166
5.3K
Manisha Mishra
Manisha Mishra@manishamishra24·
Paid Course? I'm giving you access to 15+ FREE Courses 1. Microsoft Excel 2. Advanced Excel 3. Probability 4. Statistics 5. Mathematics 6. Tableau 7. PowerBI 8. SQL 9. SQL + Tableau 10. Python 11. Python Programmer Bootcamp 12. Git and GitHub And Many More To get it, just: 1. Like & Retweet 2. Comment "Free" 3. MUST be Following (so that I can dm)
Manisha Mishra tweet media
English
136
118
246
19.3K