weeknd yrn

4.1K posts

weeknd yrn banner
weeknd yrn

weeknd yrn

@yrnweeknd

AfterHours

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ekim 2022
348 Takip Edilen83 Takipçiler
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Kwenye Hili Kundi Take Off ndo alikuwa mkali kuliko wote, Ndo alikuwa mstaarabu kuliko wote, alikubalika street kuliko wote na hakuwa na scandal ya mauaji wala bifu na mtu yeyote ila ndo ameanza kwenda futi sita. Hawa wengine wawili mitaa huwa inawatamani kule waishi kimasta.
Taivina James tweet media
Filipino
22
26
344
41.1K
weeknd yrn
weeknd yrn@yrnweeknd·
@GodemaE @Barongo01 sahihi alafu km1000 za shimo ,barabara finyu alafu gari double clutch gia 10 si mchezo ndo mana wale fudenge huwa wanamwagika tu kwenye down utafikiri wana jake brake au retarder kudadek
Filipino
0
1
0
62
Tate !Gawaxab
Tate !Gawaxab@Barongo01·
Tanzania ni kati ya nchi chache ambazo ni rahisi kupata driving license. Ndio maana ajali ni nyingi sababu madereva wanaunga unga. Nchi nyingine kupata driving license ni ‘mchakato’ na ukiipata ni kama achievement 😀
Filipino
32
30
343
19.5K
weeknd yrn
weeknd yrn@yrnweeknd·
@GodemaE Huwezi nambia kitu juu ya Time na shacam dume hizi, hapa ndipo unaona chuma halali kwa matumizi ya transit
Indonesia
0
1
0
49
weeknd yrn
weeknd yrn@yrnweeknd·
@Sharb84 @GodemaE unaweza kuwa sahihi ila hujajua upo mezan na nani labda pili hapo ni congo sio Tanroad nyie barabara chenga sheria mlima!!! ijue congo kwanza
Indonesia
1
0
1
19
Francis
Francis@Sharb84·
@GodemaE Included. Kwa kawaida GVM ya Semi trailer ni 56tn. Siyo kila Axle unayoongeza inakupa 10tn. Pitia mizani watakusaidia kuelewa the bridge formula. Nimesimamia mizani sana enzi za Shukuru Kawambwa akiwa Waziri wa Ujenzi,hadi Magu aliporudishwa. In Short hiyo gari ni around 60tn.
Indonesia
2
0
1
66
weeknd yrn
weeknd yrn@yrnweeknd·
@millardayo kwani kale kanchi ni kama dini,watangaze basi kaujinga kao ni nchi ya kiislamu ndo mana wakubwa wao kina iran,iraq wanapigwa kila siku huwezi ruhusu huyu mtu amiliki nyuklia
Indonesia
0
0
0
180
millardayo
millardayo@millardayo·
Baraza la Sanaa na Sensa ya Filamu Zanzibar (BASSF) limewakumbusha Wamiliki na Waendeshaji wa maeneo ya kumbi za Starehe na Burudani, Wapigaji wa Muziki na Wananchi wote kwa ujumla kwamba shughuli za upigaji wa muziki bado zimezuiliwa katika maeneo hayo pamoja na viwanja vyote vya sikukuu vilivyo katika Sheria za Zanzibar. Baraza la Sanaa na Sensa Filamu Zanzibar limeleza hayo kupitia Taarifa yake iliyotolewa hii leo Machi 17, 2026 ambapo limeeleza kwa mujibu wa Sheria Nambari 7 ya Mwaka 2015. Baraza limepewa Mamlaka ya kusimamia Shughuli zote za Sanaa, Wasanii na sehemu zote za burudani hivyo kuelekeza Sikukuu ya Eid el-Fitri 2026 shughuli za Muziki zitatolewa kwa kibali maalum. "Kwa muktadha huo, Baraza linawasihi wamiliki na waendeshaji wa shughuli za Sanaa na Burudani kuzingatia uamuzi huu unaolenga kustawisha Maadili, Utamaduni na Silka za Kizanzibari, kwa mtu au eneo lolote litalokutwa linakaidi uamuzi huu, Baraza kwa kushirikiana na mamlaka nyingine za Serikali hazitasita kuchukua hatua stahiki kwa mujibu wa Sheria." Imeeleza Taarifa ya Baraza. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
12
8
198
22.9K
Doctor Mishy🇷🇺
Doctor Mishy🇷🇺@SharonMontana20·
Lakini Wazanzibar uwaga watu Wazuri nashangaaga vile mnatakaga mvunje muungano 🤦
Indonesia
27
23
216
9.2K
IbRaH
IbRaH@Ibrah_Sheby·
@fredkavishe Mjapani katengeneza fuso inabeba mwisho tani nne,,wewe tajiri unataka fuso ivae bogi za tandam ipakie tani 18 kwa mafuta ya ratio ya mzungu Wewe unaona kuna usawa hapo!? Kwnn isiwe kama south Africa mafuta unapewa kwa km per ton badala ya makadirio kama bongo landiiii😂
Filipino
9
5
72
5.7K
Fred Kavishe
Fred Kavishe@fredkavishe·
Vita ya Diesel na Madereva ni kubwa sana Ukiwa Nje ya game unaweza hisi wanaonewa lakini kaa kwenye game uone ujinga wa madereva kwenye diesel
Indonesia
25
23
339
25.3K
Bony 📚
Bony 📚@bonifacejoseph_·
TVS zinaunguza sana Plug 💔🚮
Bony 📚 tweet media
Filipino
49
19
381
18K
†hømz
†hømz@ThomzJoseph·
Ndio nimejua leo vijiwe vya bodaboda huwa kuna viingilio🙌🏾 Nilikuwa napiga stori na dereva mmoja, Ananiambia inategemeana na sehemu mfano yeye anapopiga mishe kwasasa kiingilio kimefika 3OOK, wakati anaanza ilikuwa 100K anaendelea... kusema kuna sehemu Town wanafika 5OOK.
Indonesia
29
25
379
26K
Akech Andrew
Akech Andrew@akech_andrew·
Tanzania is executing construction of over 2,000 km of roads across the country and over 500km of that is linking Tanzania to DRC, Zambia and Burundi purposely for trade. Tanzania like Uganda is shifting attention to DRC with roads and connection of the 350 km Central Corridor Standard Gauge Railway into DRC as well. Tanzania and Uganda aren't waiting for the market, they are coming for it.
Akech Andrew tweet mediaAkech Andrew tweet media
English
35
144
863
80.7K
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Swali kwa wakali wa pikipiki Kati ya BOXER na TVS – ipi ni pikipiki kali zaidi na inayodumu muda mrefu? Ongeza brand nyingine pia. BOXER. Vs TVS
Headboy wa mtaa tweet mediaHeadboy wa mtaa tweet media
Filipino
65
49
287
39.5K
weeknd yrn
weeknd yrn@yrnweeknd·
@EsirEid kama nani vile kwenye historia😂😂😂😂😂ila kwenu ipo kisheria sio
Filipino
0
0
1
37