Unseen Adviza

2.3K posts

Unseen Adviza

Unseen Adviza

@Unseen_Advisor

เข้าร่วม Mayıs 2025
852 กำลังติดตาม94 ผู้ติดตาม
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
“Ili waone aibu.”😂😂😂😂😂
Indonesia
81
18
157
8.1K
Aruatani✨
Aruatani✨@Aruatani·
Sasa Kati ya Dudubaya na Viongozi waliokanusha nani MPUMBAVU..?
Aruatani✨ tweet media
31
78
654
20.2K
mTusi original 👦
mTusi original 👦@mTusiOriginal·
Mnaona hapo hao masela watatu ni watoto wa kagame sasa ngoja niwape story ya huyo Ivan cyomoro Kagame 😂wa kwanza kulia yeye alikataa kuingia kwenye masiasa mzee unambiwa ulimwahidi kumpa kila kitu mpaka uraisi na ndio mwenye akili aligoma yeye anataka kuchezea ma computer tu😂👇
mTusi original 👦 tweet media
Filipino
37
13
495
85.9K
Kante
Kante@MkulimaKante·
Tutalaumu sana ila wale wakulungwa wa Sekretarieti Ya Ajira ni game changer, Kuna jirani yangu kabisa kutokea Inyalikungu kalelewa na bibi yake wazazi walifariki 2002 no connection zaidi ya Mungu kapata kazi B.O.T sasa hivi anajilia marupurupu kama mpumbavu alifaulu tu usahili
Indonesia
40
44
620
27.8K
SATIVA17 X ( TWEETS)
SATIVA17 X ( TWEETS)@Sativa2555·
Hii Iran 🇮🇷 ina wazimu Iran 🇮🇷 ilitoa moja ya makombora yake ya balistiki iliyolenga Israel alikoteswa Yesu Kristo Juu ya kombora waliandika ujumbe unaosomeka. “Kwa kulipiza kisasi kwa mateso yote ya Kristo.” Hii ni nchi ya Nchi ya Kiislamu inafanya haya 🙌 Repost 340
SATIVA17 X ( TWEETS) tweet media
Indonesia
35
47
334
20K
VOMOUS🪽
VOMOUS🪽@vom06·
@zed_officially Zile hela ni kama zina majini, hata geita wapo kibao waliziotea wakachezea
Indonesia
1
0
2
367
𝗭𝗘𝗗
𝗭𝗘𝗗@zed_officially·
Mwaka wa 2020 ,Chunya kuna jamaa alipiga 300M kwenye dhahabu. Alibadilika sana maisha yote hakuwekeza hata kwenye biashara wala kununua viwanja au majengo ila mpaka inafika 2022 hana hata 100 mbovu maisha yamekuwa magumu Ukitokea wewe umenasa jiwe la 300M unatoka? Kwanini
Indonesia
10
16
125
7.9K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Watu wa kiswahili na Transport officer kwenye ajira portal acc zao leo.😂
ProsperNow. tweet media
Filipino
22
24
509
26.9K
L
L@Kikare_·
@NjiwaFLow Ndiyo watu wengi hawajui hili. Ukiangalia kwa makini, sehemu kubwa ya maji ya Ziwa Victoria inaingizwa na Mto Kagera, hivyo chanzo cha Mto Nile kinaweza kufuatiliwa hadi huko chanzo cha Mto Kagera kilipo (Burundi).
Indonesia
5
0
9
4.4K
James Munisi
James Munisi@NjiwaFLow·
💨 Leo ndio nimejua kumbe chanzo cha mto Nile sio maji ya Ziwa Victoria!
James Munisi tweet media
Filipino
36
17
330
49K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Kwa majirani zetu apo, hao watu sijuw kama wamepona 💔💔
Indonesia
34
30
192
15.2K
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@Unseen_Advisor @KennedyMmari Watu watahonga huo mfumo uchezewe. VTS za mabasi naona siku hizi zinapigia tu abiria kelele, inalia Mwanza hadi Dar!
Indonesia
1
0
1
14
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
Matuta mengi barabarani ni ishara kuwa nchi na wananchi wake hawajastaarabika au hakuna miundombinu ya kuwafanya wawe compliant na sheria. Tanzania ndiyo nchi inayoongoza kwa matuta ya barabarani Afrika Mashariki na bado kuna ajali nyingi tu. Ukienda Rwanda unaweza kutembea mwezi mzima bila kukutana na tuta. Basically nchi nzima haina matuta. Barabara ya Goba pekee ina matuta mengi kuliko nchi nzima ya Rwanda🤣🙌🏾
Kenny Mmari Snr. tweet media
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari

Barabara za mwendokasi ni mradi mkubwa na mzuri ila unazingatia sehemu ndogo ya baadaye ya jiji linalokuwa kwa kasi duniani. 1. Vituo vya mwendokasi vipunguzwe. Mbadala wake, miti ipandwe kwa wingi kuruhusu watu kutembea short distances kuelekea kwenye vituo (could be 2kms apart) 2. Tujenge entry na exit points za kuingia kwenye vituo, kama ni subway au daraja la juu. Hii itasaidia kupunguza mwingiliano wa watu na barabara kuu. 3. Tupunguze mabamsi kwenye vituo vya mwendokasi. Kuna mabamsi mawili kila baada ya kilomita moja. That is extremely unfortunate, and unfair to other vehicle owners and does not reflect the nature of a fast moving, and fast growing city like Dar. We are going to be 10 million residents in 4 years and it’s unrealistic to imagine how chaotic it will become. I think, and I am not an engineer, barabara za mwendokasi tu kukaa katikati ya barabara kuu za jiji was a fundamentally flawed design kwa sababu hazina entry and exit za passengers zisizoingiliana na magari mengine. A fundamentally flawed design! A fast growing city cannot think, design and operate like that. Leo tumejaza mabamsi barabara ya kwenda Airport. Hata 5th-world country doesn’t do that.

Indonesia
21
13
63
11.6K
Anderson Jr.
Anderson Jr.@Emanuel29402387·
@udsm_ikoni Hizo ni movie ambazo ni true stori hazina mbambamba kama War Machine.Kwa hiyo hakuna kosa hapo.
Filipino
2
0
11
1.9K
UDSM ICON
UDSM ICON@udsm_ikoni·
Hivi Director wa hii movie hakupigwa majungu kweli? Kuonyesha kuwa wamarekani wanapokea kichapo hadi wanakimbia, maana ni movie chache sana kuona zipo hivyo.
UDSM ICON tweet media
Filipino
59
21
402
27.2K
Unseen Adviza
Unseen Adviza@Unseen_Advisor·
@pastajoshuatz Wale wazungu sio kwamba wanashindwa kuwa na mazoea na wasauzi ila wanajua wasauz weusi hamnazo ndio mana wakajitenga
Indonesia
1
0
3
262
PASTA JOSHUA
PASTA JOSHUA@pastajoshuatz·
Mwana katoka bongo kaingia SA kusaka dusko ana makaratasi kabisa kihalali lakini kachezea mikwaju ya kutosha kmmk Wasauzi wasenge sana huwezi ona wanamfanyia mzungu hivi na kuna sehemu katika nchi yao hawaruhusiwi kukanyaga 😖
Indonesia
72
38
301
26.6K
Johari Mshana
Johari Mshana@joharimshana·
Si mimi ni DM yangu, kazi yangu mie dada yenu kuwacopia na kupaste! Jaman inakuwaje Vijana wanaingia kwenye ndoa bado wakiwa wana nyonya maziwa ya mama zao, sasa kwanini akimbie 😂 pyee!!
Johari Mshana tweet media
Indonesia
34
28
167
45.7K
Unseen Adviza
Unseen Adviza@Unseen_Advisor·
@KennedyMmari Rushwa hata wakiwekw police yaondolewe matuta yatakuwa yale yale tu.
Indonesia
0
0
1
302
Unseen Adviza
Unseen Adviza@Unseen_Advisor·
@EsirEid Hela za mafuta hawajui wafanyie nini sasa wanafadhili vita
Indonesia
0
0
0
28
Unseen Adviza
Unseen Adviza@Unseen_Advisor·
@Aruatani Hta mkwere ana ile JKCI taasis ya moyo sidhan kama aliwah hata kwenda kuchukua PCM pale.
Indonesia
0
0
2
530