Unseen Adviza
2.3K posts


💨 Leo ndio nimejua kumbe chanzo cha mto Nile sio maji ya Ziwa Victoria!






Barabara za mwendokasi ni mradi mkubwa na mzuri ila unazingatia sehemu ndogo ya baadaye ya jiji linalokuwa kwa kasi duniani. 1. Vituo vya mwendokasi vipunguzwe. Mbadala wake, miti ipandwe kwa wingi kuruhusu watu kutembea short distances kuelekea kwenye vituo (could be 2kms apart) 2. Tujenge entry na exit points za kuingia kwenye vituo, kama ni subway au daraja la juu. Hii itasaidia kupunguza mwingiliano wa watu na barabara kuu. 3. Tupunguze mabamsi kwenye vituo vya mwendokasi. Kuna mabamsi mawili kila baada ya kilomita moja. That is extremely unfortunate, and unfair to other vehicle owners and does not reflect the nature of a fast moving, and fast growing city like Dar. We are going to be 10 million residents in 4 years and it’s unrealistic to imagine how chaotic it will become. I think, and I am not an engineer, barabara za mwendokasi tu kukaa katikati ya barabara kuu za jiji was a fundamentally flawed design kwa sababu hazina entry and exit za passengers zisizoingiliana na magari mengine. A fundamentally flawed design! A fast growing city cannot think, design and operate like that. Leo tumejaza mabamsi barabara ya kwenda Airport. Hata 5th-world country doesn’t do that.






Qatar’s Foreign Ministry spokesperson Majed al-Ansari: Iran has been here for millennia. Nobody is going anywhere. Total annihilation is not an option. No people or country will disappear from existence by the wish or whim of any political actor. We will live next to each other. We will be neighbors for the future of humankind, and we have to find ways of living next to each other. We will have to find a way past this. This is a very difficult moment, but we will find our way out of it.





















