
@Nindi_Jr Script i aonesha Homo Aqua walikuwa mbele kiteknolojia..
Ila eti ghafla tukawashinda kwa "Man Made Virus"..
Kama waliweza kusafisha bahari zote na uchafu ukaja nchi kavu ndani ya dakika kadhaa, isingekuwa rahisi kuwamaliza vile kwa kirusi tu!
Uongo usioshawishi!!!
Indonesia
























