Sabitlenmiş Tweet
Syankisu
2.2K posts

Syankisu
@1ernestnene
Haijalishi paka ni wa rangi gani muhimu tu anakamata panya.
Katılım Şubat 2024
682 Takip Edilen104 Takipçiler
Syankisu retweetledi

@MkulimaKante Waambie warudi huku. Sisi wanatutumia kitu gani......? Watulie Jua liwababue
Indonesia

@MtwaMng @MkulimaKante Live life at fullest has If You Dont Know Tomolo
English

@MkulimaKante Hakuna matajiri kule, ndo maana njombe hakuna mjini. Pesa huwa inajionesha tu katk maisha ya mtu. Kama una pesa halafu huli maisha wewe ni mshirikina kaka..
Indonesia

Vijana wa Njombe ukiwaangalia kwa haraka haraka unaweza hisi ni maskini wa kutupwa ila vitu wanavimiliki vitakushangaza.
Unashangaa kijana wa miaka 22 tu anavaa zake koti moja zito suruali pana na magumboot kichwani wanapenda kuvaa mizura.
Ila sasa unashangaa ana ekari tano za viazi mviringo, msitu ekari moja na ekari tano zingine za maparachichi.
Hamna hamna thamani ya anavyovimiliki inafika milioni 50+ na hapo unakuta ashajenga tayari🙌
Njombe kuna vijana matajiri mno tena wanainuana kwa kutengeneza vikundi vya ujasiriamali📌
Indonesia

@MarekaMalili Nilikuwa nmwambie Malaya Mmoja ivyo, Sasa Anaishi Vizuri Tuu Mkoani
Indonesia

@Rydx_017 @athanas_pius @Balyx_ @MissChelsea1221 @DullahTheking2 KOSA LA NDUGU YETU NI KUJENGA BILA KIBALI
Indonesia

@swahilispark Bodaboda Zinawaua Sana Pale Mto Wa Mbu,Mnadani,Engaruka Na Mkuyuni.
Indonesia

@JosephBaharia Kuna wanao tangulia byke 2 alafu mzigo unafata alafu kuna ambao wapo nyuma kufata mzigo mamae 🙌🙌🔥🔥🔥
Filipino

@RevocatusMagum1 Dah nimetoka kuuza chupi hapa naingia huku nakutana na hiii! Leo nathibitisha kusema huyu nabiii nimngese
Manina zake😆😆
Filipino

Mtoto Wa kiume umetoka huko kwenu Geita unakuja dar kuuza chupi za kike, halafu unabana pua kabisa, eti oooh Chukua hizi chupi dada Zina vutika,,
Unatoka sehemu ambayo wanaume wenzio wana chimba madini wewe unakuja dar kuuza chupi? Achana na hizo kazi, Wazungu Wana toka ulaya wana enda Geita halafu wewe unatoka Geita kuja dar kuuza chupi acha ufala.
🗣️Nabii IPM

Indonesia

@Sativa2555 People of Mara have the same genotype😀
Look at Mwl nyerere
Look at waryoba sinde
Look at John heche
Yaani hamna kiongozi ambye amewahi kushika nafasi ya juu kutoka mara afu akawa fala.
Filipino

Hakuna mkurya Fala
Wakurya ni kabila la watu wenye Misimamo na uthabiti juu ya mambo wanayoyasema.
Mkurya akikwambia ntakupiga na atakupiga kweli
Ndo maana huwezi kuta mkurya anae jitambua yuko CCM maana kuwa CCM inakuhitaji ukubaliane na mambo Mengine ambayo nafsi yako inakwambia hili Sipendezwi nalo, ila unabidi ukubali kutetea ugali
Mkurya timamu kama John heche hawezi kuwa namna hiyo.
Huwezi kuta Mkurya anatabia za Akina Zitto kabwe za kimalaya malaya na kukosa msimamo
Watu wa aina hii ndio tunataka waongoze nchi hii na sio vinginevyo
Repost 340

Indonesia

@Ms__wealthy @kilepi_tweve Mtoto Moja Wa Kihaya,Tulikuwa Tunapiga Sana Stori alichukuaga Na Cv Yangu Corona ilizingua
Indonesia

@mTusiOriginal Ila Wanaume Wa Dar Wakiwaki Sana So Mmeoa Na Hamjui Majukumu Yenu.
Indonesia

@Vitabu247 @NamdiAzikiwe Kusoma kukimbia
Kusoma kukalili
Kusoma kuelewa ✓ Hii itakufanya ukumbuke daima
Indonesia














