💸

527 posts

💸 banner
💸

💸

@BizzMexen

For short term success, fight like you have nothing to lose✊

Dodoma, Tanzania Katılım Haziran 2022
207 Takip Edilen76 Takipçiler
💸
💸@BizzMexen·
@LuhambaI 🎶karibu duniani x2🎶
Indonesia
1
0
1
4
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Malizia aendelee na forex ama aache kaka?🤣🤣
Haulay@Positivenga1

Nimesikiliza interview Part 1 na 2 ya @ThisIsMagnetics na @amrisaly; ni moja ya mazungumzo muhimu sana kwa kijana yeyote mpambanaji hasa huku Africa ambapo mara nyingi hatupendi kusimulia hadithi za kufeli kwasababu watu wanataka kusikia kuhusu mafanikio tu. Nimejifunza kwamba unaweza kutoboa kimaisha, mpaka kuwa na access ya zaidi ya TZS bilioni 1.7 na bado ukapoteza kabisa (Kwa sababu nzuri au mbaya). @ThisIsMagnetics amefanya kitu ambacho watu wengi hatuwezi. Ameamua kuwa muwazi. Ameeleza makosa yake wazi ili wengine tusiyarudie. A lot of lessons from him; umuhimu wa diversification kipindi mambo yanapokwenda vizuri, decision making and more. Lakini binafsi somo kubwa zaidi kwangu ni: @ThisIsMagnetics ameweza kushinda mental battle. Kupoteza kiasi hicho cha pesa, na Kurudi mbele ya watu na kuzungumza kwa utulivu (waliotizama interview wananielewa) si jambo la kawaida. Kwa mwingine that was an opportunity ya kushambulia watu ambao anahisi walimfelisha hata kama ni kwa asilimia ndogo. @ThisIsMagnetics bro! pole na hongera kwa ujasiri! namna unavyoishi sasa kutokana na mafunzo yote uliyoyapitia ndio itaamua hatua zako zinazofuata!

Eesti
5
2
34
5.4K
💸
💸@BizzMexen·
@DadaEstie "Kafiri hazaliwi, hutengenezwa na dunia" Dizasta vina
Indonesia
0
0
0
47
SIMA
SIMA@abelsima45·
Tunduma vifo ni 0 daah, na yule dogo aliyeambiwa shuka kwenye gari, kimbia then akala chuma kwa nyuma.
Filipino
31
90
861
28.3K
Habeeb
Habeeb@NaSeifHabeeb·
@EsirEid Hapo ndio linakuja suala la kuoa bikra. Mademu wengi wakitaka kuolewa lazima wakapige last match kwanza na ma boyfriend wao wa pembeni kabla ya kwenda kwa waume zao😃😃
Indonesia
3
1
3
1.8K
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Mwaka Juzi nmewahi kutuma 50k Kwa Random tweep… Kipindi Kile watu wanacomment namba zao Wanaokota Randomly…. Jamaa alikua Chuo pale IFM…akaniambia “Tajiri leo nlikua nalala njaa… umenisaidia saana… Kwa heshima hii Niambie kesho saa 10 jioni utakua wapi nataka nkupe zawadi” Nkampa location pale Mediterraneo Restaurant… Alifika na Manzi mkali balaa… kidogo dogooo,Kibichi,muarabu mswahili hivi,Kitoto cha Zanzibar-22 yrs… Nafikiri Ile ni miongoni mwa Zawadi Bora kuwahi pata humu X… To cut the long story short…. Huyo Binti kanitumia sms Anaolewa tarehe 29 mwezi huu kwenda Oman💔 Ila anataka this weekend Aje Kuniaga… Sasa sijui anataka kunipa zawadi gani,aisee! Au ni Maua😅?
Indonesia
146
55
645
43.1K
Billy
Billy@BillyTronix1·
Nimekutana na video za Mex alipokuwa Friday Night na Cado aisee aibu tupu 😂😂😂
Tanzania 🇹🇿 Filipino
41
19
356
27.2K
💸
💸@BizzMexen·
@mhdhamad Nahisi nilikuona kwenye syrian exhibition dodoma
Filipino
0
0
1
37
💸
💸@BizzMexen·
@ElinaMeena2 Umeanza kwenda off topic , kwanza nani kakwambia single mothers wanatukanwa kwa kulea watoto wao 😂.
Filipino
0
0
0
11
Meena Eli
Meena Eli@ElinaMeena2·
Wanawake wanafanya wajibu wao na wajibu wa wanaume as single mothers, hawapigiwi makofi wanaishia kutukanwa, wewe mwanaume unafanya wajibu wako usifiwe for what? Ndo wajibu!
💸@BizzMexen

@ElinaMeena2 Ukipata worst child delivery and at the same time taking care of ur husb'd hatakiwi ku-appreciate sababu ur doing ur job as a woman?

Indonesia
1
0
0
24
💸
💸@BizzMexen·
@ElinaMeena2 Ukipata worst child delivery and at the same time taking care of ur husb'd hatakiwi ku-appreciate sababu ur doing ur job as a woman?
English
0
0
0
54
Meena Eli
Meena Eli@ElinaMeena2·
Ur doing ur job as a man
💸@BizzMexen

@ElinaMeena2 Means wanaume wanaoprovide ni wachache and that's more reason to appreciate huyo afanyaye, saying "ur doing a lot for this family and we are grateful for that" does it hurt to say that?

English
1
0
0
30
💸
💸@BizzMexen·
@ElinaMeena2 Means wanaume wanaoprovide ni wachache and that's more reason to appreciate huyo afanyaye, saying "ur doing a lot for this family and we are grateful for that" does it hurt to say that?
English
0
0
0
46
stunner
stunner@KooNti10·
Branding is soo crazy...we all know who this is
stunner tweet media
English
1.5K
3.2K
42.7K
2.1M
🌬️SERAPHIM🫧
🌬️SERAPHIM🫧@onlygodonsight·
ndio mzee🙌🏾😅!! Ulikuwa combania gan mkali
💸@BizzMexen

@onlygodonsight Yule jamaa alikuwaga C coy eeh na yule mwizi wa simu alijaza ndoo kabisa akafukuzwa kwa kuzomewa na camp nzima

Filipino
1
0
0
22
💸
💸@BizzMexen·
@onlygodonsight Kwenye lile hall lililokuwa linajengwa ni noma mnakalishwa siku nzima yani mnaenda mesi mnarudi kuchambua alizeti, nilirudi 2024 kufata nida yangu lilishaisha na wameongeza mapya
Indonesia
1
0
1
7
🌬️SERAPHIM🫧
🌬️SERAPHIM🫧@onlygodonsight·
@BizzMexen Mimi nilikuwa E coy kwa mtaalamu afande Masatu..Hakuna kipindi kilikuwa jau Kama zile siku za kuchambua alizeti unaambiwa “Tenganisha nyeupe na nyeusi)😅
Indonesia
1
0
0
9
💸
💸@BizzMexen·
@onlygodonsight Yule jau anapenda sifa alikuwaga anasema anataka tuwe fit kuliko coy zingine af hiyo ishu ya kidemu ni ilikuwa anakigonga wakati askari wote waliitwa kufoleni tukashangaa ma MP watatu wanakuja kombania wakambeba
Indonesia
1
0
1
12
🌬️SERAPHIM🫧
🌬️SERAPHIM🫧@onlygodonsight·
@BizzMexen Yule alikuwa anawapeleka kinoma😅 afu alikagonga kaserengeti kamoja mpaka demu akashindwa kutembea akawekwa ndani ndio ikawa ponea ponea yenu😅😀
Indonesia
1
0
1
7
💸
💸@BizzMexen·
@onlygodonsight Yule jamaa alikuwaga C coy eeh na yule mwizi wa simu alijaza ndoo kabisa akafukuzwa kwa kuzomewa na camp nzima
Filipino
0
0
1
28
🌬️SERAPHIM🫧
🌬️SERAPHIM🫧@onlygodonsight·
Addiction ya weed ni noma. 2021 pale makutu (OP samia) kuna kuruti wa mujibu alikutwa na kete 100 za bangh Kwenye trunker na he was not a plug zilikuwa zake za kuvesha tu.
Witcher 🧹@AmaraIke9

4:20💚

Indonesia
2
0
0
107