C I A
3.3K posts


BWC x chocolate bunnies.
FREE promotion for BWWM contents creators, just ask.
telegram links :
WMAF : t.me/bwwmporn
WMLF : t.me/BWCLATINAS
IR GC : t.me/+qaz6ma0-aSo0Z…
English

@Kategoladslaus3 @fbuyobe sasa huyu kimemponza nini ??
wakati yeye muelewa sana siasa za tz.
Indonesia

Jeshi La Polisi Ni Vyema Likazingatia Haki Za Binadamu Kumshikilia Wakati Wote Bila Kumfikisha Mahakamani @fbuyobe,Ni Kinyume Na Haki Za Binadamu Mpelekeni Mahakamani Ama Muachieni Kama Mmetambua Ya Kuwa Hana Kosa Ni Vyema Vyombo Vya Ulinzi Na Usalama Waka-Heshimu Haki Za Binad

Indonesia

@HecheJohn usisahau sila mzito na nyepes zinatengezwa kwa jili ya siesie binadam, mana ndo badhi yetu tuna ukorofi na ubishi na ukatili,
Filipino

Hivi Duniani hapa kuna kitu cha muhimu kuliko uhai wa mtu?
Magari yameundwa na binadamu kwaajili ya kusaidia binadamu.. Kama hakuna binadamu magari hayana maaana, lakini binadamu anaweza kuishi bila gari… gari haliwezi kuwepo bila binadamu.
Nyumba, Barabara, vituo vya mafuta na kila kitu sio muhimu kuliko mtu.
Serikali inayothamini na kujadili vitu badala ya maisha ya watu inaonesha kabisa kwanini wameua watu na hawajali kabisa.
Kwetu sisi maisha ya watu ndio kila kitu na Hatutakubali maisha yachezewe bila watu kuwajibika.
Wapeni watu ndugu zao wakazike.
Indonesia

@JumaAbdukarim ALLAH amfanyie wepesi,,ila atakapo toka asisahau tasbihi na mtandio jela atoke nao huku uraiyani pia MUNGU yupo
Indonesia

@denhope26 @HarryGodfirst hawa vijana sikuhizi kumiliki sm za kuchati nawao wanaitaji kusema kila jambo halikua hawana wajuwalo.
Indonesia

@MdeePaschal @HarryGodfirst kabosa bora umjibu leo wanasema nini au anambie moja katia viunganishi vya mungano ni bunge lini alikaa supika wa binge mzenji au naibu? yani yaonesha mtoto kisiasa za tz.
Indonesia

Waziri Mkuu mteule Dkt. Mwingulu Nchemba amesema kuwa licha ya Tanzania kuwa tajiri lakini bado asilimia 8% ya Watanzania wanaishi kwenye umaskini wa kupindukia na asilimia 26% ya Watanzania wanaishi kwa mlo mmoja ambapo amesisitiza kuwa maisha ya Umaskini hajayasoma kwenye kitabu bali ameyaishi Kijijini kwa takribani miaka 32.
Dkt. Nchemba ameyasema hayo hii leo Novemba 13, 2025 baada ya Kuthibitishwa na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano kuwa Waziri Mkuu ambapo amesema kuwa akiwa kama Waziri Mkuu atahakikisha kuwa kila Mtanzania anahudumiwa kwa heshima katika taasisi za Serikali na atahakikisha wavivu wote na watumishi wote wa uma wenye kauli mbovu kwa watanzania wanashughulikiwa.
“Mimi Umaskini wa Watanzania Sijausoma kwenye vitabu nimeuishi, Mheshimiwa Spika katika maisha yangu haya na Umri wangu huu miaka takribani 32 nimeishi katika maisha hayo ya umaskini nimeishi katika maisha ambayo nilikuwa najifunika nguo aliyokuwa anajifunga shemeji yangu hivyo kwa kuzingatia kazi kubwa iliyopo mbele yetu”
“Watumishi wa Umma na Watanzania wote lazima twende kwa gia ya ya kupandia Mlima, lazima twende na gia ya kupita kwenye bahari yenye mawimbi na anga lenye mawingu chombo kifike salama na watu wake wakiwa salama hivyo watumishi wote wa Umma walio wavivu, wazembe, wala rushwa na wenye lugha mbaya kwa Watanzania tuwe tayari nitakuja na fyekeo na rato lazima maono ya Mheshimiwa Rais yatekelezwe. ” Amesema Dkt. Mwigulu Nchemba
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@Liberatus80 sasa hili linawezekana,kuliko kutaka uchaguzi katika mungano,
kwanza daini nchi yenu kwa madai makubwa kabisa hapo ndipo wazungu wataingilia kati hi mutaungana na wapinzani wa zanzibar sasa lengo litafikiwa,
Indonesia

@davitheempire sasa hili linawezekana,kuliko kutaka uchaguzi katika mungano,
kwanza daini nchi yenu kwa madai makubwa kabisa hapo ndipo wazungu wataingilia kati hi mutaungana na wapinzani wa zanzibar sasa lengo litafikiwa,
Indonesia

@Axsonmwasaga @1Maliga ndio kwani huoni timu za mpira za taifa zikicheza unambiwa tanzania bara na zanzibar 😂😂😂😂😂

@VitusNkuna sawa tunasubiri.
ila nijiwavyo Obama alisema moja katika kosa lake ambalo amefanya katika utawala wake nikumuondoa gadaffi Libya,
wanachi walibiya walishawishiwa na wakuu wa upinzani hatima yake,gesi wanakwenda nunua kwa foleni,sasa sijui nyie munataka kutufanyia lipi jipya??
Indonesia

@Twaha_Mwaipaya nyie ndomana hafiki malengo,
ivi hua munajisahau sana ndomana,siwaungagi mkono,
polepole leo muna muona mwema sana
wakati yeye alikua kimya wakati wa ulaji wake na watu wakitiwa katika viroba na alikia akisema ujinga sana kuhusu upinzani,
nyie🚮🚮
Indonesia

@JoyceHuru @swahilitimes washatoka huko,
au ulikua ujazaliwa?
jela wamekaa ya miaka 3 na wamekufa sana,
mpaka wakafikia mariziano
sema sasa hawa ccm mariziano hawayataki tena.
Indonesia

@kibaha_finest @dicksoni96 haya kakosea,
swali nakuliza,
madai ya wandamanaji wanadai nini walikua ???
1) kama tasisi tungeona logo ya tasisi na kioongozi angekuwepo mbele ya wandamanaji,
2 kama nichama tungeona bendera ya chama na kiongozi wa chama.
3kama wananchi basi hakuna kudai kitu serikalini bila..
Indonesia

@Baba_shimi @NellyNyamandege kuna ujumbe nilimpa moja katika wanaharakati wa chadema asubu tarehe 29
kilicho fata kaniblock,
nilimwabia kinachofata kuharibu mali na kuiba tu hamuwezi badili kitu mana hakuna kiongozi anae simamia madai yenu.
Indonesia

@HildaNewton21 hambadilishi kitu mana hakuna faida mwisho,mana kiongozi nani wakutetea faida badae,
wewe upo wapi??
Indonesia
























