#TajiriLaKihaya
Ni Ukweli Usiopingika kwamba WANAHARAKATI WANALIPWA….
hasa waliopo Nje ya nchi kwa huku kwetu na kuna foundations kibao tu za HUMAN RIGHTS ACTIVISTS karibu kila Nchi duniani kote….
ila Kwa yaliotokea Oct 29. haikuhusiana na Malipo haya wala msukumo wa wanaharakati…
Wananchi wenyewe tu walichoka… kuna raia waliandamana hata hawana SmartPhone… wengine hawapo hata mitandaoni…
Yaliotokea ni matunda ya Udhalimu wa Viongozi wetu….
Huwezi zuia chama kikuu cha Upinzani chama kinachoPendwa zaidi Tanzania nzima- KUTOSHIRIKI UCHAGUZI MKUU…
Umfunge Mgombea Urais wa Chama…anaependwa zaidi na Vijana…
Alafu u expect ZERO REACTION… HAIWEZEKANI!
Tusijifiche kwenye malipo ya FORD FOUNDATION…
Hawajaanza leo kulipwa… wanalipwa toka enzi… kila mtu analifaham hili… wanalipiwa RENT, CHAKULA na UPKEEP ZOTE na hata Kutoa Elimu, yale ma space nk. Ni kazi kama kazi zingine tu. Wengine wanaotaka kuongeza Elimu… wanapewa ufadhili!
Hili lipo wazi… na sijui kwa nn WANAHARAKATI wanalificha hili,hawataki lijulikane!
Ila haihusiani kivyovyote vile na yaliotokea Oct 29th.
Tuliweke hili sawa!
Ila millennials walitupiga kamba sana. Eti Xavi aliwahi kupiga pasi 600 mechi moja. Kitu ambacho hakiingii akilini, inawezekana vipi mtu apige pasi 600🤔
@mlinganya@WideEdson Hakuna mchezaji mmoja anaweza kupiga pasi zaidi ya 200 kwa mchezo mmoja. Xavi alipiga pasi 148 mwaka 2011 fainali ya uefa dhidi ya Man u. Alipoteza pasi 7 tu maana yake alipiga pasi 155, zikafika 148. Man u kama timu walipiga pasi 355 , wakati Barca walifikisha 777 jumla
Niaje wakali, kuna mtu yoyote anaesafiri toka Mbeya kwenda Dodoma Jumapili?
Kuna tweep ameitwa interview Dodoma J3 lakini hana nauli, na mimi pia kwasasa mambo ni magumu siwezi kumsaidia.
Tafadhali kama unasafiri kwenda Dodoma Leo au kesho nicheki DM nikuunganishe nae.
BLESS🙏🏿
Tareh 12 may 2026 oldi moshi maeneo ya longuo. Nimeibiwa pkpk yangu plate no' 341 EVZ mida ya saa9 jioni tuliwa kwenye maziko ya baba wa kijana mwenzetu anaitwa Raymond massawe Baada ya kumalza maziko nilirudi sehemu niliacha pkpk yangu zilikua pkpk 3 apo na yangu niliweka kbsa